Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Usilitaje jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye meseji za utani au vichekesho ambavyo lengo lake ni kuchekesha tu, isipokuwa kwa taarifa ambazo una uhakika nazo na...
Wadau naomba kusaidiwa nimekua na mgogoro wa kazi na mwajiri wangu kuniachisha kazi baada ya kunihamisha kituo bila kufuata taratibu.
kwasasa tupo CMA mwajiri katika mgogoro wa kazi anasema kituo...
Mimi nilipatwa na mkasa wa kushambuliwa na mpiga DEBE siku ya tarehe 22/11/2016 majira ya SAA moja unusu usiku nilikua na mwenzangu tulitoka kumtembelea mwenzetu ambae alikua mgonjwa sasa wakati...
Nilikamatwa na nikashtakiwa kwa kosa la kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu.Na kesi imeenda mwisho wa siku nmekutwa sina hatia, lakini tayari nilikaa jela kwa wiki moja kama mahabusu.
Je...
Rais Mstaafu awamu ya Pili Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi amezitaka Mahakama zetu kutoingiliwa na vyombo vingine badala take Zitende Haki bila kuonea. Mzee Mwinyi amesema hayo baada ya kuona Chombo...
Kuna binti nilizaa nae mwaka 2012 lakini nikiwa bado nasoma chuo mwaka wa kwanza BA, binti kwasababu alikuwa bado anaishi na walezi wake hakutaka kunitaja mapema, kwani alikuwa anajua hali yangu...
NAOMBA TAFSIRI YA HIYO SHERIA,
je mfanyakazi aliemaliza muda wa mkataba wake wa mwaka 1 na kuongezewa mkataba mpya wa mwaka 1, akafukuzwa kwa kosa lililotokea kwenye mkataba wa awali akiwa...
Habari za jioni wanasheria !!
Ndugu wanajukwaa nimekuja kwenu naamini hapa nitapata msaada,Nina ndugu yangu ambaye mume wake ametangulia mbele ya haki,Enzi za uhai wake marehemu alijaliwa kuwa na...
Kuna ndugu yangu wa kike kampiga mpangaji mwenzie wa kiume na kumjeruhi na mawe.
Sababu za ugomvi wao ni kurushiana maneno ya maudhi na ndipo huyo mdogo wangu alipokasirika na kumrushia mawe...
Ndugu wanaJF,
Rafiki yangu mmoja kanipa taarifa kua jana usiku walikamatwa na Police Keys Pub Kimara kwa kuwa bar baada ya saa sita usiku na leo wamepelekwa mahakamani Mbezi mwisho.
Nijuavyo...
Habari
Naomba msaada wa kisheria nimetishiwa na boss wangu kupigwa bastola pindi tukizinguana na mara nyingine amesha zipiga mara kadhaa lakini amekua akiokota maganda lakini nimebahatika kuokota...
Serikali imetangaza kusimamisha kupokea wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kwa makundi, kutokana na kutokuwepo kwa sababu za kiusalama, zinazowafanya wakimbizi hao kukimbia nchi zao na kuomba...
Serikali imetangaza kusimamisha kupokea wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kwa makundi, kutokana na kutokuwepo kwa sababu za kiusalama, zinazowafanya wakimbizi hao kukimbia nchi zao na kuomba...
habarini wana jm, mimi ni kijana mjasiliamali na nnajiendeleza na elimu ya juu (shahada ya kwanza), naishi ubungo kutokana na mkataba wa kupanga miezi sita iliisha alhamisi ya tar19, japo...
Mke wangu ameondoka na ameenda mahakamani anadai talaka tuachane na pia ameshafungua kesi anadai tugawane mali tulizo chuma wote nyumba mbili kiwanja kimoja na vitu vya ndani na hapa tulipo tayati...
Mimi nimezaa na Dada mmoja ambaye tulikuwa kwenye mahusiano ya muda baadae tukaachana, kwa saa kila mtu anaendelea na maisha yake.
shida iliyopo ni kuwa huyu mzazi mwenzangu hataki nimchukue...
Terehe 1/1/2017 saa sita usiku nilipigwa mapanga na jirani yangu sababu tulikuwa tunasherekea mwaka mpya. Mtuumiwa baada ya kunijeruhi alikimbilia kwa mwenyekiti na kuripoti amevamiwa kitu...
Habarini wa JF? Mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi mwezi wa tano sasa ila kumekuwa na kutokuwa na maelewano mazuri kiutendaji na waajiri wangu wawili ila mmoja ni muelewa sana. imenifanya...
Nimekaa nikajiuliza sana baada ya kuona silaha zinachomwa moto,na mmoja wa polisi akisema bunduki hizi zimekamatwa na nyingine zimerudishwa kwa hiyari na hapo ndio swali likaanzia.
Naomba msaada .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.