Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Nimeona watu wengi wakiuliza maswali juu ya ajira zao, soma sheria uielewe ukiona haipandi tafuta mjuvi wa sheria akutafasirie!
3 Reactions
1 Replies
869 Views
Usilitaje jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye meseji za utani au vichekesho ambavyo lengo lake ni kuchekesha tu, isipokuwa kwa taarifa ambazo una uhakika nazo na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomba kusaidiwa nimekua na mgogoro wa kazi na mwajiri wangu kuniachisha kazi baada ya kunihamisha kituo bila kufuata taratibu. kwasasa tupo CMA mwajiri katika mgogoro wa kazi anasema kituo...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
Mimi nilipatwa na mkasa wa kushambuliwa na mpiga DEBE siku ya tarehe 22/11/2016 majira ya SAA moja unusu usiku nilikua na mwenzangu tulitoka kumtembelea mwenzetu ambae alikua mgonjwa sasa wakati...
0 Reactions
1 Replies
730 Views
Nilikamatwa na nikashtakiwa kwa kosa la kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu.Na kesi imeenda mwisho wa siku nmekutwa sina hatia, lakini tayari nilikaa jela kwa wiki moja kama mahabusu. Je...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais Mstaafu awamu ya Pili Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi amezitaka Mahakama zetu kutoingiliwa na vyombo vingine badala take Zitende Haki bila kuonea. Mzee Mwinyi amesema hayo baada ya kuona Chombo...
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Kuna binti nilizaa nae mwaka 2012 lakini nikiwa bado nasoma chuo mwaka wa kwanza BA, binti kwasababu alikuwa bado anaishi na walezi wake hakutaka kunitaja mapema, kwani alikuwa anajua hali yangu...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
NAOMBA TAFSIRI YA HIYO SHERIA, je mfanyakazi aliemaliza muda wa mkataba wake wa mwaka 1 na kuongezewa mkataba mpya wa mwaka 1, akafukuzwa kwa kosa lililotokea kwenye mkataba wa awali akiwa...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari za jioni wanasheria !! Ndugu wanajukwaa nimekuja kwenu naamini hapa nitapata msaada,Nina ndugu yangu ambaye mume wake ametangulia mbele ya haki,Enzi za uhai wake marehemu alijaliwa kuwa na...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Kuna ndugu yangu wa kike kampiga mpangaji mwenzie wa kiume na kumjeruhi na mawe. Sababu za ugomvi wao ni kurushiana maneno ya maudhi na ndipo huyo mdogo wangu alipokasirika na kumrushia mawe...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Ndugu wanaJF, Rafiki yangu mmoja kanipa taarifa kua jana usiku walikamatwa na Police Keys Pub Kimara kwa kuwa bar baada ya saa sita usiku na leo wamepelekwa mahakamani Mbezi mwisho. Nijuavyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Naomba msaada wa kisheria nimetishiwa na boss wangu kupigwa bastola pindi tukizinguana na mara nyingine amesha zipiga mara kadhaa lakini amekua akiokota maganda lakini nimebahatika kuokota...
1 Reactions
0 Replies
837 Views
Serikali imetangaza kusimamisha kupokea wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kwa makundi, kutokana na kutokuwepo kwa sababu za kiusalama, zinazowafanya wakimbizi hao kukimbia nchi zao na kuomba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Serikali imetangaza kusimamisha kupokea wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kwa makundi, kutokana na kutokuwepo kwa sababu za kiusalama, zinazowafanya wakimbizi hao kukimbia nchi zao na kuomba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habarini wana jm, mimi ni kijana mjasiliamali na nnajiendeleza na elimu ya juu (shahada ya kwanza), naishi ubungo kutokana na mkataba wa kupanga miezi sita iliisha alhamisi ya tar19, japo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mke wangu ameondoka na ameenda mahakamani anadai talaka tuachane na pia ameshafungua kesi anadai tugawane mali tulizo chuma wote nyumba mbili kiwanja kimoja na vitu vya ndani na hapa tulipo tayati...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi nimezaa na Dada mmoja ambaye tulikuwa kwenye mahusiano ya muda baadae tukaachana, kwa saa kila mtu anaendelea na maisha yake. shida iliyopo ni kuwa huyu mzazi mwenzangu hataki nimchukue...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Terehe 1/1/2017 saa sita usiku nilipigwa mapanga na jirani yangu sababu tulikuwa tunasherekea mwaka mpya. Mtuumiwa baada ya kunijeruhi alikimbilia kwa mwenyekiti na kuripoti amevamiwa kitu...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habarini wa JF? Mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi mwezi wa tano sasa ila kumekuwa na kutokuwa na maelewano mazuri kiutendaji na waajiri wangu wawili ila mmoja ni muelewa sana. imenifanya...
1 Reactions
5 Replies
813 Views
Nimekaa nikajiuliza sana baada ya kuona silaha zinachomwa moto,na mmoja wa polisi akisema bunduki hizi zimekamatwa na nyingine zimerudishwa kwa hiyari na hapo ndio swali likaanzia. Naomba msaada .
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom