Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

The authority to search is not automatic "anonymous" by using the criminal procedure law
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Inatambulia Tanzania kama Taifa haina Dini. Ni nchi isiyoendeshwa kwa dini. Pia inatambulika vema nchi yetu ina wenye imani tofauti zenye kuamini Mungu na zisizo amini Mungu. Watu ambao...
7 Reactions
9 Replies
1K Views
Nawashangaa Wanasheria wetu kukaa kimya wakati wananchi wanahangaika kupata tafsiri kisheria Juu ya uteuzi wa Wabunge 6 wanaume uliofanywa Na Mh.Rais.Niliamini wanasheria wetu wangetusaidia...
1 Reactions
0 Replies
848 Views
Rejea kichwa cha habari. Moderetor ukitoautahusika
2 Reactions
0 Replies
819 Views
Naomba kujua Jaji aliyesikiliza kesi ya Lema aliyeruhusu prosecution kuomba rufaa mahakama ya rufani ambayo haina hukumu!
0 Reactions
1 Replies
808 Views
Wakuu, Naombeni kujua kama pana sheria zinazoyatambua mabaraza ya ukoo na kimila katika shughuli zake na utekelezaji wa hukumu zake katika jamiii? Mfano: Bibi kizee ananyanyaswa na mwanae wa...
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Wakuu naombeni kujua kama pana sheria zinazoyatambua mabaraza ya ukoo na kimila ktk shughuzi zake na utekelezaji wa hukumu zake katika jamiii ? Mfano: Bibi kizee ananyanyaswa na mwanae...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Naomba kufahamishwa juu ya kuingilia uhuru wa mahakama na ni nani anahusika kutekeleza kama imezuiwa? Mfano Mitambo ya Richmond iliuzwa hali ya kuwa iliamriwa iwe chini ya mahakama wakati kesi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kwa jicho la kisheria consequenses za employee kuandika barua ya kumnotify employer kwamba hatataka kurenew mkataba ujao kutokana na sababu binafsi siku 28 kabla ya muda wa mkataba...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
ZIFAHAM SHERIA ZAKO ZA MSINGI UKIKUTANA POLISI USINYANYASWE FANYA HAYA UWAPO MIKONONI MWA POLISI IMEANDALIWA NA MAWAKILI. 1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako...
5 Reactions
13 Replies
39K Views
Hakika nimekuwa nafuatilia utendaji Kazi wa Majaji, Mahakimu Na Wanasheria wetu wa kila siku. Watu hao Kwa pamoja waliapa Kwa Mwenyezi Mungu kuwa Watatenda haki bila upendeleo Na uonevu. Naamini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natanguliza shukrani,,nilikuwa unafanya kazi ktk sekta ya utaliii,,kwenye restaurant Fulani ya mwekezaji kwa miezi 6..naaingia asbuhi saaa tano mpaka saaa tano usiku,,,no malipo muda wa ziada...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwenye mikataba tuliyosaini sisi watumishi wa serikali,kuna kipengele kinasema you shall be entitled to annual increment every July, swali langu ni kwamba mpaka sasa hatujaongezwa mishahara mpaka...
0 Reactions
1 Replies
953 Views
Mm nilikamatwa na jeshi la polisi taree10-01-2017 mnamomajila ya saamojausikunikiwa nyumbani kwangu walikuwa wanawakimbiza wavuta bangi kwa bahati mbaya na mm nilikimbia pasipokujua...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana jamii forum, jukwaa la sheria nauliza lini sheria inakubaliwa kutungwa leo na kutumiwa kuhukumu matukio yaliyopita. Nauliza kwa sababu siku za nyuma nilikuwa nimeajiriwa na shirika moja la...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Baba yangu alifariki miaka 10 iliyopita na wakati wa uhai wake alikuwa na wake wawili. Kwa bahati mbaya mke wa pili hakubahatika kupata mtoto. Kabla ya kifo aliniita mimi na mama mdogo (mke wa...
0 Reactions
1 Replies
878 Views
MTAMBUZI, NAOMBA KAMA UPO UWEZEKANO TULETEE ILE KESI YA YULE MAMA WA BAGAMOYO ALIYEMUUA KISHA KUMTUMBUKIZA KISIMANI MUME WAKE, ALIHUKUMIWA KIFO LAKINI KABLA YA UTEKELEZWAJI WA HUKUMU INASEMEKANA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sheria inasemaje kama yafuatayo yakitokea? 1. Rais akichanganyikiwa au akiugua kichaa akiwa madarakani. * je, maagizo yenye utata yataendelea kusimama kama maagizo halali ya rais? * Nani...
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna aina ngapi za ujibuji maswali uwapo chini ya sheria? (Mfano uwapo mahakamani au kwenye mabaraza ya kata)
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom