Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mambo ya uongo na uzushi huwa ni hatari sana, nchi nyingi zimeingia katika mapigano na mifarakano kwa ajili ya uongo wa watu wachache. Ben - verified user hapa JF ameshiriki ku-publisize uongo...
4 Reactions
30 Replies
5K Views
Upo kazn kwako unahudumia wateja ofisini au mishemishe zako ghafula unagundua kuna mtu anakurecord kwa camera au anakupiga picha pasipo ridhaa yako na ukadhibitisha kwa ushahidi. Je hili ni kosa...
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Sheria ya Ajira na Uhusiano kazininNA6/2004 na sheria ya Taasisi za kazi Na7 ya mwakan2007 zinamtafsiri mfanyakazi kuwa Ni mtu yeyote aliyeingia katika mkataba wa ajira wa aina yoyote kumfanyia...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Utafiti ni jia ya kupata ufahamu mpya kuhusiana na jambo au kitu fulani katika muda fulani ndani au nje ya dunia. Mtafiti baada ya kufanya utafiti wake kiutaratibu uwatangazia wahusika na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna suala linaendelea DRC cha kushangaza polisi wanawatawanya wananchi wakati katiba inavunjwa na mtawala kwamaana hiyo polisi ni wajibu wao ni kwa watawala tu?
0 Reactions
2 Replies
844 Views
mtu anadaiwa na manispaa kodi iliozuka kwa mfanyabiashara inaitwa Level anashitakiwa mahakama ya mwanzo eti kesi ya jinai hii inakaaje kisheria wanasheria mtufafanulie
0 Reactions
3 Replies
800 Views
Wanasheria kifungu hiki ni kwa kiasi gani kimeleteleza kufukuzwa kwa Mwele? Kumekuwa na hoja kuwa alikiuka kifungu hiki. Sioni uhusiano wa yeye kuwajibika. 17. Where there is occurrence of a...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Yaan n hivi: nipo na jamaa tunashea kwenye biashara ya kukopesha pesa kwa liba. Alikuja dada mmoja anaitwa Tatu aliwaleta wenzake wawili wanaoitwa Juliana na mwajuma kwa lengo la kutaka hela sh...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba kujua kupitia wanasheria je mtumishi wa umma anapokuwa ameshtakiwa Na Pccb je anaruhusiwa kuendelea Na Kazi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Polisi waliofika Jamii Media wame confiscate nyaraka za usajili wa BRELA and there is a compelling reason for that. Labda tusome kwanza regulation iliyomkamata Maxence Melo: Electronic and...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninauliza kufuatia tukio la Bw. Max huku nikilinganisha na lile lilitokea la Apple kule Marekani. Kama JF ingekuwa kampuni with limited liability, Max angekamatwa au kampuni ndio ingeshtakiwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
ALTERNATIVE DISPUTES RESOLUTION as morden way of problem solving compared to customary /tradition way.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wadau, Awali nilishtakiwa kwa uvamizi wa eneo la mtu ambalo nami niliuziwa, nikashinda kesi baraza la ardhi nyumba na makazi ngazi ya kata, niliemshinda akakata rufaa, baraza la wilaya...
0 Reactions
1 Replies
706 Views
Case study, case ya mexence mello Pale inapotokea polisi/serikali wanapokukamata kwa lengo la kukuhoji kuhusu case fulani bila idhini yako baada ya muda let say 3 days wanakuachia baada ya...
0 Reactions
1 Replies
587 Views
State the activities are most regulated by law so as to reach a certain end.
1 Reactions
6 Replies
767 Views
Background of the case High court of Iringa registry found G. 2573 Pacific Cleopas guilty of manslaughter. On 2cd September 2012, Chanel Ten Television Journalist, Daudi Mwangosi had gone to...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
When bias is alleged in a case by the accused/applicant, the Judge is advised to do the following: In the case of, Kishore Vallabhdas and Another Vs. SMZ (Zanzibar) Criminal Appeal No. 80 of 1999...
4 Reactions
0 Replies
996 Views
Salaam wadau! Yapata miaka miwili sasa tangu nifungue mashtaka CMA dhidi ya kampuni fulani ya hapa jijini Dar (jina kapuni). Kampuni ilisitisha mkataba wangu wa miaka 2 due to redunducy ambayo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dawa Ya Deni Ni Kulipa!,jamani Naombeni Msaada Wa Kisheria Kuna Jamaa Alinikopesha Hela Ya Riba Laki Nne400000 Ambapo Nilitakiwa Nimlipe Laki Sita,nilikubali Coz Nilikuwa Na Matatizo Nimemlipa...
0 Reactions
2 Replies
726 Views
Habari wanajanvi! Naomba kujuzwa. Je, Kuna sheria yoyote ambayo inamlinda mfanyakazi ambaye hajapewa mkataba na amefanyakazi mwaka mmoja na nusu ikitokea amesimamishwa Kazi Mara moja?
0 Reactions
2 Replies
659 Views
Back
Top Bottom