Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

TUKIO la hivi karibuni la kuvamiwa kwa Mchungaji wa Kanisa la Maombezi Utashinda, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako (pichani) na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi limechukuwa sura mpya...
0 Reactions
26 Replies
10K Views
International law is a double standard,they are countries are forced to obey the laws while other do not obey them"discuss for mee plllzzz through great reasons
0 Reactions
1 Replies
739 Views
Wakuu, Kuna mtu nilimkopesha Pesa kiasi, na tuliandikishana "locally" sababu kipindi hicho alikua ni hawara/boyfriend wa Mama yangu Mdogo. Hatukwenda kwa Mwanasheria yeyote na alinipa hati...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kama kuna mdau anafahamu kama kuana sheria za kusafirsha mbwa kuja tz anitonye tafadhari sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wiki iliyopita mke wangu alihukumiwa kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Tsh 300,000/= kwa kosa la kutukana. Tulilipa faini,wiki hii ameambiwa alipe fidia ya Tsh 81,000/= kwa mtu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana jamii, mimi ni mtanzania mwenzenu naomba msaada kujua kama wazazi wa marahemu wanaweza kupata mgao wa mirathi baada ya mtoto wao kufariki; naomba nitoe ufafanuzi km ifuatavyo. kuna...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Muda huu hapa Masaki, yule kijana ambaye niliwahi kutoa taarifa kuwa anataka kudhulumiwa haki yake amevamiwa tena na wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni na wameendelea kubomoa. Kijana huyu juzi...
1 Reactions
46 Replies
10K Views
wakuu habari,napenda kufahamu jinsi nitakavyoweza kuwapata hawa jamaa wanaozuia na kupambana na rushwa hapa tz (TAKUKURU) pale nitakapoombwa rushwa maana nimechoka saaana kuombwa rushwa kila mara...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
naomba kujunzwa kama particulars zako za madai ya mirathi zimepotea/ibwa je unafungua file jingine mahakamani au inakuaje msaada wana jamvi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajf naomba mnishauri kisheria jamani!Mimi ni mwajiriwa katika halmashauri nimeona matangazo ya kazi katika chuo kikuu cha umma ni taratibu gani za kisheria ninapaswa kuzifuata kabla ya kuomba...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Habarini wakuu?! Im currently a law school student, im in a very bad economic situation to the extent it is threatening my studies. Im asking someone with (preferably a law firm) to sponsor me...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa, Nina pikipiki ya kutembelea ambayo nilikua namiliki kabla ya kumachia rafikiyangu anihifadhie kwa kipindi ambacho nilisafiri. Naye akampitia mtu asiyekua na lesen ili...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF, nahitaji mwanasheria wa kwenda kunisaidia kushuhudia utiaji saini wa mkataba wangu wa ununuzi wa shamba. Hapa Dar kwa maeneo ya Ubungo, Sinza na Magomeni naweza kuwapata wapi (Naomba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Wanajamii. Kuna rafiki yangu 1 tulisoma nae chuo sasa majuzi nimekutana nae tukaanza kubadilishana mawazo ya hapa na pale. Basi akaanza kunieleza jinsi alivyonusurika kufungwa miaka mitano...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kitendo cha Times kuishtaki Clouds kwa mkataba iliyoingia na Davido kinanipa wasiwasi wa uelewa wa sheria wa mwanasheria wa Times. Katika mkataba thirdy party yani clouds hanufaiki wala hana...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Msaada wadau, Wakuu kuna wakina mama wamejiunga hapa mtaani kwetu kwenye kikundi chenye uongozi rasmi, lakini hawana katiba wala hawajasajiliwa, wamekua wakiendesha shughuli zao mbali mbali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda kuuliza kwa wanasheria kama mimi ni mwajiriwa wa kampuni na nilikopeshwa nyumba na kampuni 2002 na baadaye mwaka 2005 nikamuoa mwanamke aliyenikuta ndani ya nyumba hiyo na nimeshaanza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada wa kisheria kuhusu sisi waalimu wa halmashauri ya bagamoyo tumekatwa mishahara yetu eti kwa ajili ya ujenzi wa maabara shule za kata. Hili limekaaje kisheria na tufanyaje...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kuuliza: kwa mtu anayesoma> 1.certificate of law 2.diploma of law 3.bachelor of law a)anakuwa na cheo gani? b)anasoma kozi namba 1,2 na 3 kwa muda gani? c)ni kipi kima cha chini cha...
0 Reactions
25 Replies
14K Views
Naomba msaada; hukumu ya kesi yangu madai imetolewa jana. Je nifanye utaratibu gani wa kukata rufaa? Sijapata nakala ya hukumu ila hakimu alisema kuna siki 60 kama kuna yeyote anaka kukata rufaa.
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…