Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Heshima kwenu wakuu. naangalia Itv Huyu wakili anaelezea vizuri sana kuhusu mambo ya bunge la katiba...fuatilia
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu!! Naomba msaada katika hili.. Nipo Zambia nahitaji msaada wa kisheria, naweza kwenda wap ili nipate msaada, vp kwenye balozi huwa zinahusika kutoa msaada kwa raia endapo anahitaj...
0 Reactions
1 Replies
766 Views
Taasisi ya kupambana na rushwa ina kurugenzi nne zinazo saidiana katika utimjzaji wa lengo la kuzia na kupambana na rushwa Tanzania bara. Kurugenzi hizo ni 1. Dirrctor of investigation 2...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katiba ya nchi ikivunjwa ni nani anapaswa kushtakiwa? Je utaratibu wa kufungua mashataka hayo ukoje? Naombeni msaada katika hayo maswali mawili.
0 Reactions
1 Replies
930 Views
fidia ya ardhi nzega tumepunjwa,tumelipwa sh, 150 tu kwa mita skwea moja badala ya rate inayotambulika rasm kwa hapa nzega mjini ambayo ni sh.5000, waziri tumemwandikia barua yapata miezi mitatu...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Zanzibar kuna vituo viwili vya msaada wa kisheria ZANZIBA LEGAL CENTER na ZAFELA hiki ni chama cha wanawake wanasheria lakini kwa uzoefu wangu ivi vyote havina msaada sana katika jamii kwa sababu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndugu wa jamii,naweza kupata msaada wa kisheria kuhusu ni njia gani za kufuata ili niweze kumripoti raia wa kigeni ambaye natilia shaka uwepo wake nchini na kibali chake cha kazi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MI bado naona mahakama imebugi kiaina.CDM wana kesi nyingine za kumfukuza , kwani charge yake inasemaje.Anaweza fukuzwa kwa kesi ingine ili akishinda ya mahakama awe kafukuzwa na ingine.So...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimelazimika kuuliza hivi kwa sababu ya changamoto za hapa na pale za kila siku, mfano ukinunua bidhaa dai risiti ukiuza dai risiti kwa mujibu wa TRA! Mara nyingi nimekumbana na adha ya maana...
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Jamani nimepigiwa simu na mama yangu mdogo kutoka mbeya mjini kuwa mtoto wake wa kike amewekwa mahabusu jana eti kisa rafiki yake wa kike toka nyumba ya jirani ambaye amemaliza form four mwaka...
0 Reactions
4 Replies
896 Views
Mimi ni mpangaji kwenye flani huku nilipo sasa nimepewa notice na mwenye nyumba notice ya mwezi mmoja tu wakati huo nilikua nilishalipa kodi ya miezi mi3 je sheria inasemaje kwa mwenye nyumba...
0 Reactions
41 Replies
9K Views
Kama utapenda kuja Namtumbo Songe, idara ya sekondari mi nije huko kati ya mikoa tajwa hapo juu, nicheki,0713320319 .
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kisheria hapa. Hawa jamaa wa kikosi cha zima moto wanapita katika maduka hapa babati na kuwalazimisha watu watoe hela Tsh 40,000/= kwa ajili ya certificate ya usalama wa moto...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Nataka kuanzisha kampuni, niliona thread inayoeleza taratibu za kufata, lakini mie kidogo nna maswali mawili matatu ivi.... Kuna kampuni tayari ipo, ishasajiliwa na ina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nahitaji mchango wenu hapo wadau maana nnachojua mimi Polisi wanaruhusiwa kutoa Ulinzi tu na sio kibali! . Sijui kama niko sahihi! Mchango wenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman hivi ustawi wa jamii idara ya watoto, mbona hatuelewi, imagne mtoto anaishi na shangazi yake ,anamfanyia ukatili kwa kumpiga na kumnyima chakula,,halafu ofisi za ustawi wa jamii,,zina sema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii biashara mi naona kama isajiliwe na wakina dada wanaojiuza walipe kodi kama nchi nyingine kama ulaya kwani mimi ninaona inaingiza sana pato la taifa......
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kisheria kama inavyojieleza hapo wazazi wametengana na mtoto anakaa na mama yake.Natanguliza shukrani zangu za dhati
0 Reactions
2 Replies
2K Views
haya ndiyo maajabu ya chadema:- (1) wabunge wa chadema mwaka 2010 baada ya kushinda ubunge kwenye majimbo yao ya ubunge mfano john mnyika, joseph mbilinyi, freeman mbowe, godbless lema, zitto...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Wakuu! naomba kufahamu malipo stahiki anayepaswa kulipwa mwajiriwa wa kudumu ambaye si wa mkataba endapo atandika barua kwa HR ya kuacha kazi yeye mwenyewe yenye notice ya mwezi moja si yamasaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom