Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Chinese ivory smuggler gets record Kenyan fine Tang Yong Jian in a Nairobi court ( Tang Yong Jian is the first person to be sentenced under the new laws Continue reading the main story...
0 Reactions
0 Replies
660 Views
! ! Salaam wanajamvi hili. Leo naleta kwa mara ya kwanza shida yangu katika jukwaa hili, hasa kwa wazoefu wa kazi, wajuzi wa sheria za kazi na kwa yoyote mwenye uelewa juu ya "warning letter"...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hali zenu wadau wa jukwaa hili.... Mwenzenu mie ni mama wa mtoto mtoto mmoja... (single mother) sasa huyu mzazi mwenzangu kiukweli naeza sema kanitelekeza kabisaaa... Kwani majukumu yoote ya...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Naomba ushauri wana jamii,mimi nimeoa mke miezi 7 iliyopita,ndoa ya kiserikali.Mimi na mke wangu tunaishi mikoa tofauti kutokana na mazingira ya kikazi,ndoa nilikwenda kufunga nae ktk mkoa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Unaposhitakiwa mahakamani na swahiba wako inauma na inaashira kumaliza uswahiba na urafiki wenu. Adui anapotetewa na rafiki yako ili kukuangamiza akimtumia rafiki yako kwasababu anakujua vizuri...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mathias Chikawe. WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mathias Chikawe amesema atashughulikia tatizo la polisi kulalamikiwa kula rushwa kwa kuwaandalia mazingira...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Master plan
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanajF, Kuna kampuni ya nje tunataka kuingia nao mkataba wa kutuuzia bidhaa. Wameleta mkataba kwenye kipengele cha jurisdiction kinasema mkataba utatambulikwa kwa cheria za nchi yako (wameitaja)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
endapo baba aliwahi kuoa wake wanne kwa wakati tofaut tofauti yani anaoa af anaachana nae kisha anaoa mwingine. kumbuka ktk wake hao wanne alijenga namke wa pili tu. na huyo mke ambae badozyipo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna Professa Mmoja (Jina namhifadhi) ambaye alifariki Dunia 2012. Kaacha Majanga kwa watoto wake kwa Sababu hakuandika wosia kabisa. Huyo Mzee tumsamehe tu lakini nachoomba ni ushauri tu kwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Zitto noooooooooooooooooooooooooooooooommmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmaaaaaaaaaa!!!!!!! Tunakushukuru kijana mwenzetu mpenda haki na mtetezi albert msando. umewabwaga hao mawakili maarufu ambao...
3 Reactions
52 Replies
8K Views
PRESIDENT KIKWETE HAS DONE JUSTICE TO MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS....DR. ASHA ROSE MIGIRO ....something better MUST happen....
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dah, ama kweli news is seven dayz wonder, ile story ya Kapuya ndio imetupwa kapuni?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
PRESIDENT KIKWETE HAS DONE JUSTICE TO MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS....DR. ASHA ROSE MIGIRO ....something better MUST happen....
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Wapendwa niko njia panda nilizaa na mwanaume lakn amefikia hatua ya kuoa bila kunitarifu kinyume na makubaliano ye2,kwa ss mtoto anahitaji ma2nzo pamoja na shule je nifanye nn ili huyu mtto apate...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mwajiriwa wa idara fulani ya serikali. HOME OF DOMICILE ni kusini kituo cha kuripoti kazi kaskazini magharibi
0 Reactions
2 Replies
890 Views
je kuna sheria yoyote kwa swala hilo hapo juu kwa viongozi wa umma? Nchini kwetu TZ ?? Ni ki reffer impeachment trial; clinton vs monica karibuni wana sheria
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Kuna Idara ya Maendeleo ya Jamii na Idara ya Ustawi wa Jamii. swali langu kwenu nyinyi wachambuzi nomba mnisaidie kutofautisha Idara hizi pamoja na sheria za kutumia wakati wa kutekeleza...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Wana JF Nimekutana na makaratasi yenye kuonyesha yameandaaliwa na Mch. C. Mtikila wa Liberty International Foundation yenye kuelekeza madai ya ekari 199 eneo la Kurasini, Dar. Nimeonelea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jf mambo vpi? mimi nilikuwa na mpenzi tumeishi kama miezi mitano sasa kuna siku mpenzi wangu akazikuta msg za demu mwingine kwenye simu yangu akaamua kwenda police na kusema nimemtapeli sh milion...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom