Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Wadau habari za jioni. Mida hii wakati natokea sehemu fulani kuelekea nyumbani, nilipishana king'ora cha polisi kuashiria kua kuna msafara wa kiongozi wa nchi anakuja. Hivyo nikakaa pembeni...
Sheria ya kubaka inasema nini iwapo mwanaume atatembea na msichana mwenye umri chini ya miaka 18 lakini akiwa alishazaa na mtu mwingine(ambaye tuseme alimbaka na yuko gerezani kwa kosa la kubaka)...
Nimesikia mara nyingi maafisa mbalimbali wa polisi wakionya wahalifu kwa kusema: Atakayekamatwa kwa kosa....... atapata adhabu kali. Nikisikia hivyo huwa najiuliza: Adhabu hutolewa na jeshi la...
RIPOTI MAALUMU KUHUSU KUACHIWA HURU KWA "RAMA MLA WATU'
Ramadhani Suleiman 'Rama mla kichwa' (kulia) na mama yake mzazi, Khadija (katikati) walipofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza...
Nahitaji mtaalamu (HR personnel) wa kuweza kuniandalia Mikataba ya wafanyakazi wa ndani (House girl na House boy/ Shamba boy). Mikataba ya miezi 3 au 6 (renewable based on operational requirements...
Wana JF, mimi ni mwajiriwa wa serikali! Nina mkopo wa tpb tangu mwaka jana, mikopo ambayo waajiriwa hudhaminiwa na mwajiri! Mwaka huu nataka niende kufanya Msc (ughaibuni), kwa mazingira ya...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.PICHA|MAKTABA
KWA UFUPI
Ni kesi ya Abdulrahman Kinana kumtaka Peter Msigwa kufuta kauli yake.
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es...
salaam sana wakuu.
hivi majuzi tu nilishuhudia kwenywe ITV nadhani ni maeneo ya IRINGA walikamata lori la mafuta likiwa ndani limesheheni vipodozi toka kongo na kesho yake wakaviteketeza.
_sasa...
Habari wakubwa.
Samahanini, ninaomba kujuzwa juu ya utaratibu unaopaswa kufuatwa pale mtu anapohitaji kubadilisha rangi ya gari zima. Je, kuna gharama zozote kisheria katika mchakato huo-mfano...
kama RAIA halali wa nchi hii name wengineo tutakubaliana kuwa jeshi la polisi lipo kwa ajili ya kulinda RAIA na mali zao..sasa hilo jukumu jana nimeona 'likigeuzwa kichwa chini miguu juu'...
Dr. Ott ni mmarekani aliyekuwa anafanya kazi ya udaktari huko Kenya. Muda wote alipokuwa anafanya kazi hiyo aliwanajisi watoto wengi kwa kuwadanganya na zawadi pamoja na wengine kuwalipia karo za...
Salaam wakuu
Nina kesi ya madai ya talaka.
Mimi ndiyo mdai ba kesi imefikia hukumu. Ilipangwa hukumu iwe disemba, mdaiwa akaleta udhuru na ikapangwa jana alhamisi ambapo mdaiwa akaleta tena...
CHETI CHANGU CHA FORM FOUR HEAD MASTER WANGU KAKIUZA! Nimeshauriwa NIENDE NIKAMCHULIE RB! Sasa KABLA YA KWENDA POLISI NI VYEMA MNISAIDIE MAANA YA RB? NAWAOMBENI SANA WADAU MSAADA WENU!
Mtaniwia radhi maana mimi sio muelezaji mzuri
Inshort ni hivii kama wiki moja iliyopita mdogo Wangu alikua anahitaji chumba cha hostel, so akaja kwangu na kunieleza kua amepata na hivyo...
Wanajf
Kwa hali halisi inayoendelea ktk Taifa letu hatuelekei kuwa na Rais wa mahakama?
Japo mimi sio mwanasheria lkn naamini mahakama zina mipaka yake.
Chombo pekee ninachoamini kinaweza...
Nimekuwa najiuliza kwa nini haki za binadamu za ki-Magharibi hazikubali ndoa za mke zaidi ya mmoja?
Nchi kadhaa za Ulaya zimeharamisha ndoa za mke zaidi ya mmoja, japo ziko tayari kuruhusu...
Ukishajua kuwa chama hakikutaki hata kidogo kwa kukuchoka kwa kukiuka matakwa ya chama halafu unang'ang'ania hadi mahakamani, kuna raha gani ya kuwa mwanachama kwa amri ya mahakama? Hii inatokana...
Aliyekuwa Mkrugenzi wa Utawala wa BOT,Amatus Liyumba, amedai kuwa kesi inayomkabili ya kukutwa na simu gerezani ni ya kupikwa na kubambikiwa. Akijitetea mbele ya Hakimu Mkazi Augusta Mmbando wa...