Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mimi nataka kuwa nakopi matukio,historia,takwimu mbalimbali na makala halafu nazichapa kwa lugha ya kiswahili badala ya kiingereza kama vijarada na kuviuza. Nauliza je kuna makosa ya keshiria...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Itafute uisome na kuitafakari halafu chukua hatua.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiongozi wa mashtaka ktk mahakama ya kimataifa Binsouda amesema kuwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya hana makosa ya kutosha kumtia hatiani na kuwashauri waendesha mashitaka wa mahakama hiyo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
KWA UFUPI Waiomba Serikali kuingilia kati ili waweze kupata malipo stahiki kulingana na ugumu wa maisha uliopo. Dar es Saalam. Wananchi wa Mji Mpya Majohe, Guluka Kwalala na Ulongoni katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa ufupi sina cha kuongeza hapo naomba mwanasheria aniongoze katika hilo, naomba uni-PM. mwaka huu ndo mwaka niliopanga kumuwajibisha mtu... la kuvunda halina ubani
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Samahani jamani mnaojua sheria naombeni msaada wa kimawazo. Mi nina kiduka changu,ninajitahidi kulipa TRA kila mwaka. Sasa nashangaa watu wa halmashauri yangu wanadai kuwa natakiwa kulipa ushuru...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa kifupi napenda kutoa maoni na uzoefu wangu juu ya ripoti iliyotolewa kuhusiana na kunyanyaswa na kuteswa kwa wananchi katika opresheni TOKOMEZA iliyofanyawa na majeshi ya ulinzi na usalama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kutokana na Tanzania kufuata utaratibu wa maadili (moral) katika utawala wake, inaweza kuwa chanzo cha ugumu wa utekelezaji wake. Hukumu ya Kifo hutolewa chini ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Binafsi nimejionea DVDS nyingi sana ambazo zimekuwa zikiuzwa kama njugu katika nchi kwa zaidi ya mwaka mmoja. Ukiziangalia DVDS hizo unapata taabu kuamini kama vyombo vya dola kweli viko kazini...
0 Reactions
85 Replies
9K Views
Capital punishment in Macau was abolished in 1976. Under the principle of independence of legal system in Macau Basic Law, Macau continues its repudiation of capital punishment after the handover...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
mtazamo wa viongozi wasemao hatuna uwezo wanaangalia mtu binafsi kama chanzo cha mtaji. lakini uwekezaji mkubwa unaweza kufanikiwa kuuza hisa hisa. kwa mfumo wa hisa asilimia ya wa tz wenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba msaada wa kisheria.... hivi kwenye kesi ya kukopeshana pesa ni ushahidi gani ambao unatakiwa mahakamani? i mean wa mtu kuona au wa maandishi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni mteja wa kampuni mbili za simu; tigo na vodacom. Cha ajabu mitandao hii imekuwa na tabia ya kuniibia pesa kwa hila. Walianza vodacom wakishirikiana na kampuni ya pushmobile. Kupitia huduma...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi jamani ni upi ni utaratibu sahihi wa kumfukuza mfanyakazi wako ambaye ameshakutumikia zaidi ya mwaka mmoja na nusu hivi,ili sheria isikubane?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wengi tunamjua kama babu wa loliondo huyu tapeli, Kaua watanzania wengi kwa sumu(kikombe) lakini ajabu serikali bado inamwangalia tu, binafsi kaniulia mama yangu mdogo na rafiki yangu Nobert, sasa...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Wanajamvi,tunaombeni msaada wenu! Kuna jamaa alikuwa na mkopo ktk bank fulani (unsecured salary loan). Alichukua 40,000,000 Tshs toka May, 2012 na amekuwa akilipa takribani 1,600,000 Tshs kila...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kama tunavyojua Sheikh Ilunga alikamatwa Tabora na si kama ilivyo kawaida anapokamatwa kiongozi wa kiislam. safari hii imetumika staili ya kizenzi, kakamatwa tabora na kaambiwa anahitajika mwanza...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
nilikuwa na mpenzi wangu na baada ya kuachana amekwenda kufungua kesi ya kwamba nimejipatia pesa kwa njia ya udanganyifu kesi ipo mahaka ya mwanzo. na hakuna ushahidi wowote ila hakimu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi x-mass ni biblical au ni uvumbuzi wa binadamu
0 Reactions
4 Replies
920 Views
Back
Top Bottom