Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Omar Mussa Makame leo hii ameachiwa huru mahakama kuu mjini Zanzibar baada ya kusota gerezani kwa miezi kadhaa leo hii ameachiwa huru na kuungana na familia yake na marafiki zake baada ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekaa naye kwa muda wa miaka 20 akiishi ktk nyumba ndogo iliyopo pembeni anakaa yeye na ndugu zake kwa mshngao leo asbh kaniibukia anadai kwa muda wote huo aliokaa nami anahitaji alipwe kiinua...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Mtuhumiwa wa mauaji ya padri Mushi, Omar Mussa ameachiwa kwa dhamana na mahkama kuu Vuga. Mahakama Kuu ya Zanzibar imemuachia kwa dhamana ndugu Omar Musa Makame baada ya wadhamini wawili...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mbeya, imewaachia huru watuhumiwa watatu ambao ni Mwekezaji wa Shamba la Kapunga(Kapunga Rice Project) lililopo Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya ambao walikuwa wakituhumiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Human rights are neither fixed in scope. Nor are they absolute in application" discus the validity or otherwise the statement with reference to human rights istrument of your choice and the...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mwenye facts za case plz
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je ni kweli kwamba serekali imewashindwa hawa watu je sio miongoni mwa raia wa tz kwa nini waishi watakavyo wanatuibia stand kuchana mabegi wanatumia silaha ya nyembe kudhuru wengine kwa nini...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
11th December 2013 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete alitoa msamaha kwa watu 1,475 waliokuwa wakitumikia vifungo katika magereza mbalimbali nchini ikiwa ni sehemu ya...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Nimekuwa nikipata changamoto juu ya Penal Code, na maboresho yake yote yaliyofanywa na Bunge. Hii itasaidia kwani maboresho hayo hayapo wazi kwa wengi. Hii inafanya watu kuona kana kwamba sheria...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Taarifa: Mahakama kuu kitengo cha kazi imefutilia mbali kesi inayoihusu MAT na serikali kupitia kwa mwanasheria mkuu wa serikali. Hukumu hii ilitolewa tarehe 5.12.2013 na Mh. Jaji Aboud baada...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
nnashida na materials ya INTELLECTUAL PROPERTY , yeyote atakayeguswa kunisaidia naomba ani 'PM'
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sipendi Kusema mengi,lakini tukubaliane,malezi tunayowalea watoto wetu siku hizi,yanawacost kweli ukubwani..... Imagine, Mko wanachuo zaidi ya mia sita,wanaingia wahuni (maana siwezi sema...
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Nilitaka kununua nyumba wamiliki ni warithi (nyumba ya urithi) mmoja wa wa warithi wa nyumba hapatikani yuko nje ya nchi lakini ndugu zake watatu walikuwa tayari "tumalize" kila kitu. Hati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo ni kilele cha siku 16 za kupinga vitendo vya mbalimbali vya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto. Katika kipindi chote hicho matukio mbalimbali yametokea katika sehemu kadhaa nchini...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Embu wasomi leo tuichambue hii document kama ushahidi mahakamani na ni nini na inasainiwa na watu wangapi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
iwapendeze ndg zangu, umekuwepo mkanganyiko kuhusu sheria zilizofanyiwa marekebisho 2010 kama zimeshaanza kutumika? kama kuna mtu ana ushaidi kuwa zimeshaanza kutumika anisaidie juu ya hilo.
0 Reactions
2 Replies
961 Views
A non stop song of Justice 'at a gun shot' reflects the required meaning of courts we deserve to day. (Basila, 2013)
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Ni Prof. Geofrey Mmari aliyekua Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu DSM, Anachukua nafasi ya Askofu Elinaza Sendoro
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ndugu wana jf siku chache zilizopita katika kata ya kawe mtaa wa mzimuni na ukwamani walipita baazi ya watu waliodai wanatoka tanroads hawa jamaa waliweka x nyumba zote zinazotezamana na barabara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Leo ilikuwa ni kesi ya Kamanda Kilewo na Wenzake katika Mahakama ya Wilaya Igunga. Kilichojiri Mahakamani Mwendesha mashtaka wa Serikali PP Mpimbwe amewasilisha nakala ya kukata rufaa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom