Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

wadau Wizara ya katiba na sheria kwa kizungu wanai itaje? Kwenye website yao hawajaweka moja kwa moja ila ukiangalia hotuba na documents zilizopo hapo zinaonyesha majina haya 1. Ministry...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Habari ya leo kaka na dada zangu mlio ndani ya jukwaa hili la sheria, mimi ninahitaji ufafanuzi na ushauri iwezekanavyo, juu na tofauti ya majina katika vyeti viwili ambavyo vinakuwa ni vya mtu...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Nimeipitia katiba mpya na kuona ni nzuri lakini kwanini suala la mapambano dhidi ya rushwa lisiingizwe katika Muungano Naomba ufafanuzi nipa mwanga na mimi
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Mi ni mwajiriwa wa serikali nilijiendeleza fani ambayo sikuruhusiwa na mwajiri wangu .nimeomba nifanyiwe recategolization mkurugezi ameniandikia barua nijieleze kwanini nisichukuliwe hatua za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni maneno mawili yanayochanganya sana,ikitokea mtu anasema ukweli anaambiwa ni mchochezi/anakashifu.Mfano Gazeti la Mwanahalisi.mpaka likafungiwa kwa kile kinachodaiwa uchochezi.Kwa hiyo serikali...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau, Naomba kuwasilisha taarifa za mjini Arusha, inadaiwa hivi karibuni RC Mullongo alidaiwa kufumaniwa akiwa na mke wa Balozi. Mpaka sasa taarifa hizo hazijathibitishwa kama ni mke wa balozi wa...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Kuna sheria ipi ya madhara mabayo inaweza kutumika kumsaidia mtu kama lwakatare na kesi inayomkabili kama akishinda ? na anaweza dai kama kiasi gani cha fidia kutokana na madhara hasa ya kiafya na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tafadhali mwenye uzoefu na public writers hapa Tanzania anisaidie kufahamu kazi wanazofanya na kama zinahusu uandaaji wa nyaraka za kisheria/huduma za ushauri wa kisheria nk.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wiki iliyopita, niliwasili katika uwanja wetu wa kimataifa JK Nyerere, katika moja ya safari zangu nje ya nchi., Kwa bahati mbaya ticket yangu ilikuwa na matatizo nikaambiwa nikae katika madawati...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki Kituo cha Televisheni cha Star, imeingia katika mgogoro na Kampuni ya Ving’amuzi ya Startimes na kufikia uamuzi wa kuitoa kurusha matangazo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama watanzania tutaikubali rasimu ya katiba kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muuungano ya mwaka 2013 na kwa kuwa inapendekeza mfumo wa serikali tatu, basi ni vizuri badala ya serikali ya bara kuitwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UPDATE: LWAKATARE AKWAMA KUPEWA DHAMANA TENA....HAKIMU ALIKUWA HAJAYAPITIA MAFAILI YAKE Lwakatare (kulia) na mtuhumiwa mwenzake Ludovick wakiwa mahakamani leo. Baadhi ya wanachadema waliofika...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimefurahi kupata taarifa ya wazee wa tatu wa kikenya kukubaliwa kuishtaki Serikali ya Uingereza kutokana na mateso waliyoyapata wakati wa Ukoloni. Inavyoelekea wazee hawa wanaweza kushinda na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
baada ya kuhitimu chuo kikuu. mwajiri hamtaki mwajiriwa. anamwandalia mafao yake. kwa tendo hilo haki za mwajiriwa ni zipi. baada ya kufanya kazi lwa miaka kumi bila onyo.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tupo pamoja ila ngoja niandae vitu vya kupost
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Ndugu zangu wanasheria naombeni msaada. Wote mnajua kwamba kesi nyingi za jinai hupelekwa mahakamani na polisi na hivyo wakati kesi inaendeshwa wewe mwenye kesi unakuwa kama shahidi wa jamhuri...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana bodi Takribani miezi minne iliyopita nilibaini kwamba mawasiliano yangu na watu wengine kupitia simu ya mkononi yalikuwa yanafuatiliwa i.e kuna mtu ambaye naamini ni mfanyakazi wa kampuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaaamm..! ...naomba kufahamishwa kwa mujibu wa sheria za tanzania,katiba inasema nini endapo rais atatoa kauli au matamshi yoyote yatakayothibitika si ya kweli..??? kwa mfano kauli ya uwongo au...
1 Reactions
3 Replies
748 Views
Asema yapo mengine wanayakubali Kamati Kuu ya CCM kukaa Jumatatu Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakiungi mkono rasimu ya katiba mpya...
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Helo wanajamvi, Jamani naomba mwenye kufahamu vizuri majukumu ya hawa watu katika nchi hii. Hivi viongozi wabovu katika taasisi za umma wanaweza kushitakiwa kwa tume hizi na wahachukuliwa hatua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…