Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Serikali kupitia Wizara ya Kazi na ajira iko katika mchakato wa kuanzisha sheria ya mkataba wa wafanyakazi wa majumbani. Mkataba huo utasimamia na kuteteahaki, maslahi, afya na usalama, mazingira...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi dini zinaweza badili uelewa wa watu kiasi hiki?Hadi watu waelewe tofauti na kuelezea vitu vilevile tofauti kiasi hiki?Walioblackmail uhuru wanataka dai kuwa walileta uhuru na wanataka...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Mawakili wa lwakatare wataweka pingamizi la awali( preliminary objection) kutokana na ombi lililowasilishwa na DPP katika mahakama ya rufani kupitia upya rulling ya high court sababu ni maombi...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
KWA UFUPI Mahakama hiyo ilitoa amri hiyo katika hukumu yake iliyotolewa na Jaji Lawrence Kaduri, katika rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyekuwa akipinga uamuzi wa Mahakama ya Kisutu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Posted by: In Tanzania 27 May 2013 Advocate, magistrate, Managing Editor, State Attorney, trial attorney The Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam ordered the arrest of former...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
LWAKATARE AKWAMA TENA KUPATA DHAMANA, KESI YA JAYDEE YARUSHWA MPAKA JUNE 13. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph wamekwama tena leo...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Wanasheria na TRA experts naombeni msaada wenu katika utata huu. Kipato chochote lazima kikatwe kodi kulingana na sheria za nchi. Naomba kufahamu endapo mtu ameachishwa kazi kisha akalipwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikua employed kwenye company ya private as salesman for a year,mwanzon mwa mwaka huu dereva wangu akafanya kosa lilipelekea kufukuzwa kazi mm na yeye ila kwenye barua za kazi kosa likasemekana...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari ya leo wanaJF Naomba msaada katika gharama za kupata hati miliki ya ardhi (Tittle Deed). Maana mi nimeendaa kwenye ofisi za wilaya hapa karatu (Arusha) nimetajiwa kama Tsh 1,400,000/=...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
KIJANA Ramadhan Suleiman Mussa ‘Rama mla watu’ na mama yake Khadija Ally, leo wameachiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam baada ya kubainika kuwa mshitakiwa namba moja katika kesi...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Your are here » Home » Coast Man charged with the murder of wife who is alive and wellUpdated Thursday, May 23rd 2013 at 21:32 GMT +3 By WILLIS OKETCH Mombasa, Kenya: A port clerk was...
0 Reactions
3 Replies
902 Views
Ndugu wanabodi, Kwa uelewa wangu, sheria ya Uhujumu Uchumi nchini inamnyima dhamana mtu "yeyote" aliyeshitakiwa mahakamani kwa kosa hilo. Lakini jambo la ajabu nilaloendelea kulishuhudia ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii forum, ni mara yangu ya kwanza kuingia hapa na kuomba msaada wa kisheria. Huyu mdogo wangu amepata kua mfanyakazi kwenye NGO kwa muda Fulani hadi pale mkataba wake ulipokwisha...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
mimi ni mwajiriwa wa halmashauri ya ulanga, nimeanza kazi zaidi ya miaka 5 ilopita, sijapandishwa daraja kwa uzembe wa afisa utumishi wangu, je naweza kumshtaki na kumdai fidia kwa kunifanyia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Juzi nilihadithiwa kisa hiki,kuna mwalim ambae aliwahi kusimamishwa kazi kutokana na kumpa uja jauzito Mwanafunzi,na baadae akarejeshwa kazi kwa kuweka katika ofisi ya ELIMU WILAYA YA MAGHARIBI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kwa mujibu wa katiba,kanuni na sheria za nchi ni sahihi kwa serikali kutumia jeshi la wananchi kudhibiti fujo au ghasia za wananchi? Kama sheria na taratibu za nchi kweli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
what is the weakness of the current constitution of United Republic of Tanzania?
0 Reactions
1 Replies
10K Views
Wakati bunge likiendelea kujadili bajeti ya Wizara ya habari, vijana, jana jioni wabunge wawili Ester Bulaya na Vicky Kamata walichangia mzozo kati ya Lady JD na Ruge. Wote wametoa maoni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wana jf naomba kufahamu kama mtu mwenye umri uliozidi miaka 18 na ni mtoto wa nje ya ndoa ana haki ya kurithi mali za marehemu babake ikiwa babake hakuwahi kumthibitisha kuwa ni mtoto wake na...
0 Reactions
57 Replies
17K Views
Wana Jf Napenda kuleta kwenu wazo langu la muda mrefu, nimekua nalo kwa muda sasa nalo ni je kwa hivi sasa ninaweza kuanza kuandaa Mashitaka dhidi ya Chama kinachoondoka madarakani (ccm) watendaji...
1 Reactions
4 Replies
922 Views
Back
Top Bottom