Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Nina ndugu yangu kawekwa rokap toka juz na polisi kwamba wamedhurum mtu pesa lakn mpaka sasa polisi hawana ushahidi wowote je nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Naomba kujua ikiwa wazazi wanatengana na wanamtoto wa miaka 2 je uhalili wa baba kumchukua mtoto ni miaka mingapi?
0 Reactions
1 Replies
940 Views
If a person is judged not guilty, it does not mean that the person is proved innocent; it only means that there was not enough evidence to reach the guilty verdict. Je ushahidi unatafutwa na nani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Victor Ambrose ni kijana aliyekamatwa na jeshi la polisi na kushtakiwa kulipua kanisa huko Arusha. Kijana huyu ambaye anafanya biashara ya kuwabeba watu na pikipiki, maarufu kama bodaboda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna hali ya sintofahamu juu ya WILFRED LWAKATARE kufutiwa mashtaka ya UGAIDI huku wengi wakiamini kuwa maamuzi hayo ya mahakama yametokana na ukweli kwamba suala hilo lilitawala mijadala ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
MAJINA YA WATUHUMIWA WALIOACHIWA HURU PAMOJA NA RIPOTI YA POLISI KUHUSU BOMU LA ARUSHA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA MAENDELEO YA UPELELEZI WA TUKIO LA...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Hivi ina maana gani kusema kuwa Victor Ambrose anafikishwa mahakamani kwa shitaka la kurusha bomu Kanisani Olasite na kuua watu watatu, lakini wakati huo huo unaendelea kusema kuna donge la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu ninaomba kupewa maelezo kuhusu sheria na taratibu zinazo simamia suala la kujenga nyumba mbili katika kiwanja kimoja. Kwamfano mtu mwenye kiwanja cha mita 30 (30m) kwa mita 50 (50m), je ni...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Jamani kama ilivyoripotiwa na vyombo vya habari kwamba Victor Ambrose mtuhumiwa wa ulipuaji wa kanisa kule arusha ambaye amesababisha vifo na majeruhi kibao jana alifikishwa mahakamani na...
0 Reactions
3 Replies
976 Views
Wana sheria hebu niambieni hivi mtu akimwambukiza mtu ukimwi kwa makusudi sheria inasemaje?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana JF, ninaomba nisaidiwe kujua Taratibu za matumizi ya majina ya vitu au product hapa Tanzania kutoka nje ya nchi. Kwa mfano kama kuna kinywaji Huko Uganda au Kenya tuseme kinaitwa UDU...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Do women in Tanzania have equal access to land as men do?(in reference to National Land policy and its related laws):panda::panda:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina issue ambayo nahitaji msaada wa kisheria kwenye maswala ya Ustawi wa jamii.kama ni mtaalamu basi ni PM ukiwa na CV yako .veting itafanyika baada ya hapo appointment itapangwa, Nnacho hitaji...
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Mtuhumiwa wa kurusha Bomu kwenye Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph, parokia ya Olasiti, Jimbo Kuu la Arusha, Victor Ambrose Calist amefikishwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la Polisi kwenye...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa kuwatungia uongo . Na kama ana ushahidi wa aliyoyaongea basi akatoe vielelezo mahakamani. Na akishindwa wamdai fidia nzito kwa kuwachafulia radio yao ili iwe fundisho kwake na kwa wengineo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
*Asema mkakati wa kukamatwa kwake uliandaliwa Sheikh Ponda Issa Ponda SIKU moja baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dares Salaam, kumwachia na kumweka chini ya uangalizi wa mwaka...
0 Reactions
68 Replies
7K Views
Naomba kuelezwa kuhusu Act No 1 of 2005 inahusu nini na inaelezea nini na ilipewa jina gani?
0 Reactions
0 Replies
758 Views
advocate huyu ambaye anashikiliwa katika mahabusu ya gereza la kisongo aliyasema hayo leo katika muendelezo wa kesi inayomkabili. Amedai mawakili wa serikali humfuata mara kwa mara na kutaka...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Nimekuwa nafuatilia kisanga cha Polisi wetu Morogoro kubambika mtu kesi ya kichwa na baada ya game lao kushtukiwa wao sasa wanapambana na mkono wa sheria.Naomba nijulishwe mashtaka...
0 Reactions
1 Replies
747 Views
Whoever loves 4 Allahs sake..hates 4 Allahs sake..gives Allahs sake..n withholds 4 Allahs sake has a perfect faith(Abu Dawud)..,,Muslims thru ur in hartimes in Kuffaris hands but dont fear...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Back
Top Bottom