Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mahakama ya Sokoine Drive imewatia hatiani na kuwahukumu kifungo cha wiki 2 wasichana waliokua wakijiuza. Wasichana hao ni Aisha Nassoro(20) na Upendo Julius(39),hukumu hiyo ilifuatia baada ya...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Joseph Nyamu is one of four judges to be dismissed Four senior judges in Kenya have been declared unfit for office in a landmark ruling by a new committee investigating the impartiality of the...
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Salaam! Ninampango wa kuagiza gari ya kwanza kutoka nje ya nchi. Nimfanyakazi wa serikali na ninajua kwamba kuna exemption ya kodi kwa wafanyakazi wa serikali. Kwa anayefahamu habari ya...
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Kesi ya masanii wafilamu Tz Elizabeth Michael kama 'Lulu' kesi yake imeahirishwa mpaka 7-may 2012! source: Tbc1
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Imekuwa sasa ni kawaida kuwa kila anayetaka kuiibia serikali anatumia CRDB. Ushahidi: EPA pesa zilizo nyingi zilipitia CRDB. Haijatosha, Ezekiel Maige, Waziri wa Utalii anasema mkopo wa kununua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The law is an a** – No matter what you want to do there will have been a time and place when it was legal and another time and place where it was illegal. The following are some of the strangest...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
NAHITAJI MSAADA WA KISHERIA JUU MIRATHI YA WAZAZI WANGU, Baba yangu alikuwa ni daktari na mama yangu muuguzi(Nurse midwife) wa hospitali ya serikali pale AMANA! walifariki nikiwa mdogo sana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MIMI NI MUAJIRIWA WA SERIKALI, NILIPATA DHARURA NIKAONDOKA KITUO CHA KAZI KWENDA DAR BILA RUHUSA YA MWAJIRI SIKU YA JUMAMOSI ASUBUHI, NIKARUDI JUMATATU, JUMANNE NIKAINGIA KAZINI... NIKAKUTA...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Waungwana msaada wenu nani anafahamu range ya mshahara wa PGSS 12
0 Reactions
1 Replies
926 Views
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Habari za masiku jamani. Naomba mwenye soft copy ya Village Land Act ya 1999, aiweke hapa jamvini, nina shida nayo sana. asanteni na jioni njema
0 Reactions
5 Replies
4K Views
habari wadau wa sheria, mimi sio mwanasheria ila naomba msaada wa kufahamu hili je mtu ambaye amefikia level ya country manager au managing director wa kampuni fulani hapa nchini lakini mtu huyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sheria inasemaje kama mpelelezi kabadilisha exhibit,na kuweka ya kwao,na kukulazimisha ukubali ni ya kwako?Mahakamani mtu anaweza akatumia sauti aliyerekodi akitishiwa kituo cha polisi kama ushahidi?
0 Reactions
1 Replies
778 Views
In what extent, domestic workers are protected by The Employment and Labour Relation Act of 2004.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Napenda kutoa tahadhari kwa mtu yoyote anayetaka kulala katika hii hotel iliyopo mbeya aogope sana kwani inashirikiana na wezi. Unaibiwa katika mazingira ya kutatanisha kwani hawana air condition...
0 Reactions
84 Replies
14K Views
tafadhali naombeni mnisaidie kuzifahamu sheria za tanzania zinazohusika na haki za wafungwa kuexpress view zao pamoja na jinsi wanavyohusishwa kuchangia kwenye mchakato mzima wa katiba mpya.
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Kweli bongo tambarare....kizazi cha dotkom kimeharibu jamii
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Walinzi wawili wa Kiwanda cha Afroplus Mwenge walitekwa na Wafuasi wa Mwingira Efatha mwenge na kufanyiwa Unyama mkubwa pamoja na kungwa kamba na kukatwa mdomo na Jambia angalia picha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
IN THE HIGH COURT OF TANZANIA AT ARUSHA MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 13 OF 2010 (IN THE MATTER OF AN ELECTION PETITION UNDER THE NATIONAL ELECTION ACT CAP 348 R.E. 2010 AND THE PETITION...
26 Reactions
143 Replies
18K Views
Hii ni barua yangu wa watu wa airtel baada ya kuwa nimeuziwa vocha fake. Dear sir/madam I am your customer with telephone number xxxx-xxxxxx On 17th April 2012 bought airtel voucher with serial...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…