Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Mhe.Halima mdee anasema... Watz wenzangu,mimi na mheshimiwa Bulaya tulikwenda kumuona Lulu O'bay Police.She really needs our support. Kwanza she is only 17... Pili anahitaji sana Psychological...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
BADO sakata la kifo cha Steven Charles Kanumba ‘The Great’ ni bichi na kwa mambo yalivyo, kuna uwezekano watu wengi zaidi wakaingia matatani kwa namna moja au nyingine. Habari zinadai kuwa...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kwa taarifa nilizonazo kutoka Tandahimba ni kwamba wananchi walikusudia kumuua mkuu wa wilaya hiyo Bi Hasna Mwilima kutokana na majibu mabovu aliyowajibu wakulima hao walipotaka kujua kuhusu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Leo nilikwenda kumtembelea jamaa yangu kimara b maduka saba. Wakati natoka huko taratibu kwenye kagari kangu, kuelekea temboni kuna mtu akaanguka kama nimemgonga na alikuwa na bandage kama mtu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni muathirika wa MABOMU ya G'LAMBOTO wa kuumia na kuvunjika Mguu.Mpaka leo serikali haijatulipa.Je naweza kuipeleka serikali Mahakamani.
0 Reactions
2 Replies
934 Views
Ni kweli au alitudanganya au tumedanganywa.Naamini kwamba ni kosa kwa mtu kudanganya kuhusu umri wake mfano ;aliyezaliwa mwaka 1984 Mchanganuo wake uko hivi 1992 alianza darasa la kwanza 1998...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ndugu wana JF wote wale wanaochukia madhila kwa wananchi munaalikwa nyote katika maandamano ya kupinga kuwepo kwa BAR maeneo ya kiembe samaki maana imekuwa kero sana wanasumbua kwa miziki na fujo...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Hello, Please can you,suggest how to tackle this matter legally?The police officers in one of the notorious police stations in Dar es Salaam,took the original documents(SALES AGREEMENT) from the...
0 Reactions
2 Replies
953 Views
Wadau nauliza? Hivi hawa jamaa wa Airtel wanamaana gani kututangazia kuwa mtandao wao una kasi ya 3.75 G,ili khali hamna lolote, hapa Singida tulipo ni nafuu ya mwendo wa kobe. Hakuna kipengele...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hwy Nilikuwa nimesafiri.... Mfanyakaz mwenzangu huku nyuma katukanwa kwenye kikao cha wafamyakazi, matusi ya nguoni. Nataka kumsaidia tumpeleke mahakamani, naomba procedure za kufuata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
salam wadau,naomba nielekezwe process za kupitia ili nipate passport.So far nipo mbinga,lengo ni kwenda kusoma abroad.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
IN THE HIGH COURT OF TANZANIA AT ARUSHA MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO. 13 OF 2010 (IN THE MATTER OF AN ELECTION PETITION UNDER THE NATIONAL ELECTION ACT CAP 348 R.E. 2010 AND THE PETITION...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
We dare say we are a free people? The Scourge of Corruption taking its toll on Tanzanians (and foreigners alike) By an Innocent Bystander The level of corruption in the Tanzania Police Force...
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Habari zenu ndugu! Ninataka kusoma LLB kwa intake ya 2012/2013, naomba kujuzwa ni chuo gani kinatoa LLB kwa Madarasa ya Jioni na ubora wake ktk utoaji wa hiyo elimu ya sheria kiujumla. Nilipata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna mtu anakua interviewed TBC anasema mchakato wa kupata sheria mpya ya haki miliki kwa ajili ya kulinda maslahi ya wasanii imefikia sehemu nzuri sana, jamaa anadai mapendekezo ya wasanii ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani mm sheria imenipitia kushoto kabisa! na hili shirika la ndege ya ethopian wamenipotezea mzigo wangu wa biashara ndani kulikua na simu za mkononi ambao tathmini yake ni dola 7000 mpaka 8000...
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Nimesimamisha masomo ya chuo kikuu kwa kukamatwa na wenzangu tukiwa kwenye gari ambalo ndani yake kulikuwa na wenzetu wamevaa nguo na nembo za CHADEMA nakuambiwa wote ni wafuasi wa chama na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau embu naombeni msaada wenu mimi binafsi nimeumizwa sana na matusi aliyotukana lusinde mbunge wa mtera huko arumeru, kifupi namfungulia mashtaka ya kutukana hadharani na kutukana wanachama wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu mmoja ambaye yupo karibu sana na jaji aliyetoa hukumu ya Lema, ambaye pia ni kiongozi wa idara nyeti serekalini na kuniambia kuwa jaji Rutakibalila alitishiwa...
1 Reactions
96 Replies
11K Views
Habari, Kwa nini hawa ndugu zetu wamekuwa wakiongoza kuvunja sheria hasa za barabarani. Mara nyingi hutanua kwenye barabara na kupita njia ambayo kisheria hairuhusiwi. Wanajifanya wana haraka...
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Back
Top Bottom