Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Jamani wana JF, naomba kuuliza, pedofil si ni mtu akutanae na mtoto ambaye hajafikisha miaka 18? kama ni hivyo, je sheria hii inafanya kazi Tanzania? kama ndo itakuwaje Kanumba awe maarufu na hta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WATAALAMU TUSAIDIANE MAANA KUNA MSHIKAJI WANGU KAPATA ENEO AMBALO LINA GOLD ZAMANI WALISHAWAHI CHIMBA LIKA FUKIA WATU ,MSAADA a) sheria zipi zinayosimamia madini utafutaji na upatikanaji ,umiliki...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
It is not disputable that Kanumba "The Great" now Kanumba "The Late" was Man of the people. It shows that he was loved with Children,Youth and Elders. My question is.... Can people(especially...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wana JF leo nimemskia rafiki sana wa karibu wa Mch Mtikila kuwa anajiandaa kufungua kesi ya kikatiba ya kumshtaki mh Lusinde(mb) kwa kuwa ametamka yeye Mwenyewe kuwa ni Kichaa wa kuzaliwa na...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
​kwa jina naitwa classroom teacher,mkazi wa jiji mwanza nina elimu ya juu kutoka chuo kilichojengwa na baba yangu (udom). my dears...ninaufahamu kidogo sana na masuala ya...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Ndugu WanaJamii Forum wenzangu, Naombeni msaada wenu wa kisheria, kimawazo ama ushauri. Mimi niliwahi kuajiriwa na taasisi moja isiyo ya kiserikali (yaani NGO) kama mhasibu. Baada ya kufanya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Lundo la chaguzi ndogo na hali ya uchumi wa Tanzania,unadhani ni nini kifanyike katika KATIBA MPYA?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wahenga wanasema hakuna masika yasiyokuwa na mbu, kwa haya yanayotokea miongoni mwetu si vibaya kufanya tafakuri ya mustakabali wa yote haya...yamkini kuna wengi ambao ndoa zimevnjika, mapenzi...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Watanzania, ukitaka kujua rushwa imekithiri kupita kiasi ni kuhusu kesi inayoendelea hivi sasa katika mahakama zetu. Kesi hiyo ina husu mfanya biashara ya ngozi za ng'ombe wa anaitwa Salum Ally...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nimeshikw ana kigugumizi leo nilipoona itv habari rwanda wamekubali sheria ya utoaji mimba kwa minajili 1.kama mhusika alibakwa na akizaliwa mtoto atokuwa na uwezo wa kumhudumia 2.kama alibeba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Engineer Petro Kingu....Mweneyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro anashikiliwa na jeshi la polisi mkoa wa Morogoro kwa tuhuma za kumpiga ngumi askari wa usalama barabarani. Lakini mwenyewe amekanusha...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
I think with the knowledge I have this is what was to be followed with KANUMBA’s ISSUE All murder investigations start with the murder itself, which is usually reported by someone who comes...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanabidii tafadhali naombeni kama kuna mwenye Law of sales of Goods Act ta Tanzania
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Katika nchi za Ulimwengu wa kwanza ukimuingilia mwanamke (force yourself into her) bila idhini yake kwa mfano akiwa kalala , kalewa inahesabika ni Raping (umembaka)swali linakuja hapa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Utaratibu wa kuchukua PF3 FORM kwanza kituo cha POLISI na ndipo upeleke mgonjwa hospital ambaye kila Sekunde inayogonga ni muhimu sana kuokoa maisha yake, imapitwa na wakati. Kuna uwezekano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii habari niliisikia kama tetesi siku ya ijumaa tarehe 2/3/2012 kwa kuwa nilikuwa nadai vihela vyangu huko Kasulu na niliahidiwa kuzipata Jumatatu nilifunga safari Ijumaa na kufika jioni na...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
www.eastafriclaw.com A complete defence to murder &the elements of murder The elements for murder are: The victim died; The act or omission of the accused caused the death of the...
0 Reactions
3 Replies
951 Views
Wanasheria wa JF,nisaidieni msaada wa kisheria.Hivi kisheria ni kosa kuendesha gari yenye fire extinguisher ambayo haijakaguliwa na watu wa FIRE na kupewa sticker?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pamoja na Mauaji yaliyofanywa na Police wanne na kusababisha kifo cha kijana mmoja mkazi wa Urambo, Police wa kituo hicho wakiongozwa na Police January Pantaleo wameendelea kufanya matukio ya...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Nahitaji soft Copy ya Sheria la Baraza la Usalama la Taifa . mwenye kuipata aiapload hapa . Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom