Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari za siku wana jf na watanzania wenzangu, kwakweli nilikuwa sijawahi kufuatilia kile kilichokuwa kikizungumzwa mtaani kwa masikitiko makubwa juu ya mh. Lusinde kwa kile kilichoitwa lugha...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
salaam,nahitaji kujua gharama za wakili katika kesi inakuwaje? Kuna mtu katufungulia kesi ya madai ya uharibifu bomba la maji lenye gharama la tsh laki tatu mali ya serikali ya kijiji,je...
0 Reactions
3 Replies
941 Views
Napenda kutoa mada tajwa hapo juu, Je wananchi wanapaswa kuziamini mahakama hasa kwenye kesi za kisiasa. Nasema hivi kulingana na hukumu iliyotolewa kuhusu uchaguzi na kuenguliwa kwa mbunge wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimesoma maoni ya wengi humu ni kuwa chadema wasikate rufaa.Premise kubwa wanayorely ni kuwa chadema itashinda Arusha,na pia maamuzi ya rufaa yatacheleweshwa. Naomba kutofautiana. 1...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
www.eastafriclaw.com Now learn on how to draft legal documents eg wills,sale agreements,power of attorney,lease agreements etc.click the link to join us no East African Online Library
0 Reactions
6 Replies
1K Views
• MAWAKILI WATEMA CHECHE Na Mwandishi wetu MAWAKILI wawili wa mjini hapa, wamedai kuwa hukumu iliyomua ubunge Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, ilikuwa na dosari nyingi za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana FJ, hivi ni jaji gani ameisikiliza kesi ya Lema. Nina wasiwasi na majaji wetu watukufu waliomwagwa na JK kama fadhila au kutimiza azma ya kuwepo na majaji wengi/wakutosha bila kuzingatia...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
wakuu heshima yenu.. naomba msaada hivi mtu anayepatikana na hatia ya kupigwa fain mfano milioni moja,sheria inasemaje kuhusu kulipa hiyo fain? mfano hai ni kosa la uharibifu wa mali na kapatikana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wataalam wa sheria nijulisheni, road liences yangu ime expire juzi kesho nikiikgia barabarani na gari langu nitakuwa nimevunja sheria???
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kinachoonekana mbali ya kuwemo na mambo kibao ambayo yanakatazwa katika sheria ya uchaguzi ya 2010 naona sasa suala la matusi ndo limeonekana liwe msingi wa kesi dhidi ya CDM,lakini tuulize...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi katika Tanzania kuna watu wengine wako juu ya sheria? Mbona Andrew Chenge ambaye amethibika kuwa fisadi/mwizi wa fedha za umma hashitakiwi? Ina maana Chenge ameweka serikali mkononi? au Yuko...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
What is category of judge who concludes lema's case!?
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Je iwapo hakimu akiwa mahakamani akisoma kesi kwa ajili ya mtuhumiwa wa jambo fulani, ikatokea mtuhumiwa kumpiga hakimu. Je hapo itakuwaje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kuwa updated kuhusu wale vijana wawili waliopigwa risasi na Polisi Arusha maeneo ya Kijenge kwa kile kilichoitwa Majambazi yaliishia wapi? Je hivi nao swala lao lilikwisha kama lile la kina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna advocate ambaye ni mwaminifu na anaozoefu na wateja wake kuna firm ipo kariakoo, he can pm me if possible for more details
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Ningependa kwa wale wenzetu wenye uelewa mkubwa wa kisheria watujuze juu ya hili. wasiwasi wangu ni kwamba Dr. Batrida Buriani atamfungulia kesi ya udhalilishaji na madai kwa reference ya hukumu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
www.eastafriclaw.com Now learn on how to draft legal documents eg wills,sale agreements,power of attorney,lease agreements etc.click the link to join us.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni mnisaidie wanajf, hivi mtu ukiomba likizo ya uzazi maana yake umepoteza kabisa haki yako ya likizo ya mwaka na stahiki zake? Sheria inasemaje kuhusu hili?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Haya hapo chini yalitazamwa mwaka 2009 na Kamati ya ILO kwa upande wa Tanzania kushindwa kuzingatia Mkataba wa ILO kuhusu kukomesha ajira za lazima (Forced labour): Hata hivyo, pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tukumbushane misemo inayotingisha Mahakamani: 1.Msomi mwenzangu(My Learned brother/Sister)-Wakili anapomtaja Wakili mwingine Mahakamani Karibuni wana JF..
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom