Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Where by a blanket prohibition of abortion may be achieved.How having a constitutional provision which sets out that "LIFE STARTS AT THE MOMENT OF CONCEPTION"will protect the life of the unborn child.
0 Reactions
1 Replies
940 Views
nilikuwa nasoma katiba siku chache zilizopita ili hali kutafuta kipengele kinachosema migomo au mgomo ni haki ya mwananchi wa Tanzania sasa cjui ni overlook as hicho kipengele sikukiona instead...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kisheria, unaweza kumshtaki LUSINDE kwa matusi aliyomwaga hapa kwenye hii VIDEO? Au kisheria inabaki kuwa ni sehemu ya kampeni? Maana naona kama kwenye kampeni unaweza kupiga hata chini ya...
1 Reactions
113 Replies
11K Views
Kwa wale wanaojua sheria za kazi. Mimi ni mtumishi katika moja ya kampuni binafsi jijini Dar. Mwezi ulopita nilimjibu vibaya bosi wangu wa kitengo (idara). Siku saba baadaye akaniandikia barua ya...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari zenu ndugu wana sheria. Napenda kujua juu ya hili suala. Nimepata kusikia kuwa mtu akipewa termination kazini eti kwa mujibu wa sheria ya kazi hapa nchini mtu huyo aliyepewa termination...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nina mdogo wangu,alifunga ndoa mwaka 2009 akaishi na mume mwaka 1 baada ya hapo wakatengana mwanaume alimfukuza kama mbwa na kufikia hatu ya kumpeleka polisi eti ameiba moja ya gar walizokuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nigependa kupewa ufafanuzi kuhusu hii sheria ya polisi kutotakiwa kumshikilia raia kutuo zaidi ya masaa 24
0 Reactions
0 Replies
996 Views
ni muda sasa sijapata kusikia kuhusu mchakato wakatiba wako wapi wanasheria wetu mtupe ni lipi linaendelea
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani kwa hili naomba wanao jua sheria wa tusaidie. Kwa mfano by law iliyo anzishwa na chuo cha cbe kama inapingana na katiba ya nchi au haki za binadamu! Au pengine ni sawa kulingana na haki...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuzidi kuboreshwa kwa barabara nchini kwa kujengwa kwa kiwango cha lami kumekuwa na athari zake, kikubwa kuzidi kuhatarishwa kwa maisha ya watumiaji wake, hususani waenda kwa miguu. Wakati ubora...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Polisi anayeitwa trafiki kasimu amejeruhiwa sana kichwani na vijana waendesha pikipiki.tukio lilitokea ijumaa kama saa 2 usku wakti anarud nyumbani kwake eneo la makaburi akitokea...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana JF, naombeni msaada hapa , nilikua na uguliwa na mume wangu ambaye alikua in a very critical condition, nikaomba likizo ya siku 28 kazini nikapewa, siku zilivoisha nikaenda kazini, kufika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF, Naomba tafsiri ya kifungu hiki 42.-(1) For the purposes of this section, ''severance pay'' means an amount at least equal to 7 days' basic wage for each completed year of continuous...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
MSHITAKIWA Rajabu Athumani (20) jana amehukumiwa kifungo cha siku 14 kwa kosa la kuonekana mahakamani akiwa amevalia kaptula chini ya makalio maarufu kama mlegezo. Athumani ambaye alifika...
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Bwana Mdogo ameshinda kesi Mahakamani ya kutaka kukaa na mtoto wake wa miaka tisa baada ya mzozo na mama mtoto wa karibu miaka kadhaa!! Bwana Mdogo alipeleka malalamiko yake serikali za mitaa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hiv majuz naona tangazo la hakim mkazi ambao watafanya kazi zao primary court, katika mahakam mbali mbali nchin. Mahakim hao watatakiwa kuwa na degree la sheria/LLB na wawe wamepta Law School of...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Activists yesterday described the release of Asian businessman Sharma Kooky, who was sentenced to death for the murder of his wife about 12 years ago, as a ‘shock’, questioning the criteria...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Kuna ubabaishaji bodi ya mikopo, nahitaji mawakili wawili nguli wa kusimamia kesi ninayoenda kuifungua mahakama kuu kitengo cha biashara. malipo ya kesi ni ya mdaiwa. naomba tuwasiliane kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kuna tetesi kuwa wizara ya afya na kamati ya bunge ya huduma za jamii ziko chini ya shinikizo kubwa la kutakiwa kupeleka mswada washeria utakaoruhusu utoaji wa mimba yaani abortion. Ngo moja...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Binafsi ndugu zangu watanganyika nimechoka kusoma habari za kikafiri na za uchafu zinazofanywa na jeshi letu la polisi kama vile linaongozwa na al shabab..si kosa kuona matukio yanayoendelea hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom