Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Hivi mtu akitumia chombo cha habari kutangaza au kuandika habari ambayo baadae mahakamani mtu huyu anakiri kuwa hana uhakika na alichoandika/kutangaza anachukuliwa hatua gani kwa mujibu wa sheria?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watanzania – Hebu tuungane wote kuzipongeza kamati teule za bunge. Kila mmoja atakubaliana na mimi kuwa kweli wanatufanyia kazi nzuri ambazo sielewi bila hizi kamati tungekuwa wapi leo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inatiamoyo Majaji wastaafu kutoa tamko lao kuhusu Muswada wa katiba na kutaja upungufu unoonekana wazi wazi. Jambo hili ni lakuunga mkono pamoja na wengine wengi walioko mstari wa mbele...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Do we have any labor act that is for or againt any employer making his/her employees guarantees each other on the loans they take? This is in banking sector or any sector where employees have...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Kwa sasa watu wamegawanyika ktk makundi mawili. Kuna linaloona kwamba maandamano wanayofanya CDM ni uvunjaji wa sheria, na kukaidi amri halali ya jeshi la polisi. Lakini lingine linaona kwamba...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau naomba kujua kama ni kweli ndoa za mikataba zinatambulika kisheria ktk baadhi ya nchi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Naomba mnisaidie. Mimi nina mdogo wangu wa kike ambae anasoma kidato cha tatu, ameyakimbilia maisha hivyo amepata ujauzito. Aliyempa ujauzito alipoona hali imekuwa ngumu kwake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu habari za shughuli, Kwenye taasisi ninayofanya kazi tuna mpango wa kufanya ujenzi wa majengo kadha wa kadha ikiwamo majengo ya utawala kwa fedha yenye thamani kama ya 160M na nilipenda kama...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
PAMOJA na dhamana kuwa haki ya msingi ya mshitakiwa, katika kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), Mahakama ina haki ya kuizuia dhamana hiyo. Wakizungumza na gazeti hili hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hello to jamiiforum community
0 Reactions
0 Replies
817 Views
lawyers please help answer the following qn"in the ligth of modern formulation of the rule of law,how far is the application of the doctrine of law in tz.with practicle example lets substantiate...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Helo. Kwa anayeifahamu sheria ya Adoption Je ina mruhusu mtu aliye single kuadopt?? Na kama aliye adopt ni female anaweza kumpa sir name yake mtoto aliyemu adopt? Masaada Please!
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Wanajamvi nina kijana wangu alifanya interview ya kazi TANESCO, kama kawaida majibu yanafuata bgaadae. Baada ya wiki mbili kijana wangu alitumiwa barua iliyosainiwa na meneja wa Tanesco ikimpa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nimekuwa nikisoma mara nyingi sana kwamba ofisi kama TRA wamejazana wachaga,TBC wanyakyusa etc.sasa nawauliza wandugu mnajua sehemu kubwa ya judiciary imeshikwa na wahaya?Robo tatu ya maicharge wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau nawasalimu!<br><br>Nimetembelea wavuti ya The global Publisher leo tarehe 11-11-11 kujaribu kupata habari mbalimbali za yaliyojiri katika sehemu hii ya wadau wa habari pamoja na wengine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF mliobobea katika sheria za kazi. Hivi nikichukua likizo ya uzazi ya siku 84 sitakuwa na haki ya kuchukua likizo yangu ya mwaka ya siku 28? nisaidieni
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Jamani nimeingia naomba kukaribishwa
0 Reactions
2 Replies
856 Views
The Leader of Rubaga Miracle Center Cathedral, Pastor Robert Kayanja this morning took to the witness stand to testify against four fellow pastors who together with two believers allegedly...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello Wadau, Naomba msaada wa link ambayo naweza kupata the three Basel Accords. NImejaribu sana naishia kupata definitions au explanations za wikipedia. Kwa yoyote anayeweza kunisaidia...
0 Reactions
1 Replies
839 Views
WApwaz nifahamisheni kuhusu mchakato mzima wa custodianship baada ya talaka
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom