Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Habari za jioni wana jf hivi tabia ya polisi kuwabambikizia makosa rahia itaisha lini sio siri inaniuma sana umefanya kosa kidogo utapewa kosa hilo adi utashangaa utasikia umevunja maduka ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hallo wanajamii, muwe na siku njema
0 Reactions
3 Replies
853 Views
BBC News Ex-Bosnian Serb army head Ratko Mladic has made his first appearance at The Hague war crimes tribunal, saying he will not enter a plea to the "monstrous" and "obnoxious" charges. He...
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Hati ya mashtaka ndiyo inayoanzisha rasmi mashtaka dhidi ya mshtakiwa yeyote wa makosa ya jinai.Hati hiyo hutayarishwa kwa msingi wa kisheria ambapo lazima izingatie masharti kadhaaa muhimu
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kwa wanasheria.Hapa tunapata funzo gani Soma hii story chini. nimeipata hapa Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam, leo imekataa kupokea hati ya kiapo ya rais mstaafu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NINA RAFIKI YANGU ALIKIUWA NAKESI HUU MWAKA KARIBU WA12.IPO HIVI BABA YAKE ALIKUWA ANAMILIKI ENEOMAENEOYA FERY KIGAMBONI KABLA YA SERIKALI HAIJAPIMA ALIKUWA YUPO HAPO.WAKATI SERIKALI INAPIMA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Fr. Sseppuuya presiding over the wedding of Martin Okumu Masiga and Margaret Mbakire Kyakuwa in Kampala in 2006 By VISION REPORTER A Catholic priest has been dragged to court for allegedly...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, bila shaka mwajua mpango wa serikali kujenga mji wa kisasa Kigamboni. Vikao kadhaa vimefnyika baina ya wakazi wa huko na Serikali lakini hakuna mwafaka ingawa serikali imeahidi fidia kubwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Mimi nimekuwa nafanya kazi na wajerumani katika mradi fulani hapa Tanzania. Niliajiriwa nao pindi tu nilipomaliza degree ya kwanza, bahati nzuri baada ya kukaa nao kama miezi nane...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
wanajf ninaomba msaada wa kisheria kuhusu hili.namdai mtu shilingi milioni tano.hatukuandikishana popote nilipokuwa nampa hizo pesa.yeye anakiri kwamba namdai ila kulipa ndo anasumbua.nimejaribu...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Wandugu nina hali mbaya mwajiri wanagu anataka kunipiga chini kazi. Naombeni mwenye nakala ya sheria ya kazi Tanzania aiweke jamvini ni-download na kujisomea ili nizijue haki zangu katika kipindi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
ndugu zangu wanajukwaa hili naomba kwa anaejua namna malipo ya fidia yanavyofanywa kwa mtu ambaye barabara ndilo limemfuata,naomba nipewe utaratibu mzima na bei na vipimio vitumiwavyo na bei...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wana jf naombeni eilimu juu ya haya 1.kuna madhara gani nikipangisha nyumba bila mkataba. 2.je mkataba wa kupangisha nyumba nautoa wapi-je naubuni tu mwenyewe.na kama nikiubuni tu mwenyewe...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Na Benjamin Masese KESI ya ya wizi wa mabilioni ya fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu Tanzania (BoT) inayowakabili, Bw. Johnson Lukaza na ndugu yake Mwesiga Lukaza...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kufuatia kuibuka kwa kampuni feki za nje hapa tanzania na kuisababishia serikali hasara kubwa.je, kwa taratibu za usajili wake chini ya sheria ya Makampuni ya 2002 yaani (THE COMPANIES ACT, 2002)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
25th May 2011 Mvulana mwenye umri wa miaka 14, mkazi wa kijiji cha Senani kata ya Ipililo wilaya Maswa mkoani Shinyanga, amehukumiwa kifungo cha maisha jela na kuchapwa viboko sita akiwa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakubwa Msaada tutani tafadhalini...! Contract ya miaka miwili ninaimaliza 30th ya next month na I don't feel ku-renew. Je nalazimika kutoa notisi ya intent of not going to re-new contract?? Ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wa tz wenzangu naomba mwenye kuweza kuwa au kupata sheria za mikataba kwa tanzania animwagie copy hapa ninashida nayo sana. Ndugu nisaidie kwani muda si mrefu haki yangu nitanyanganywa. Nataka...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Chanzo blog ya Francis Godwin,Iringa MAHAKAMA ya hakimu makazi mkoa wa Iringa kwa mara ya pili imemwachia huru aliyekuwa mshindi wa kura za maoni ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) katika...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
THE Parliamentary Justice and Constitutional Affairs Committee has recommended legalisation of cultivation of a narcotic plant, known as bhang, to boost incomes. The committee made the...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…