Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

kutokana na serikali za wanafunzi vyuo vikuu kama vile DARUSO, UDOSO na vingine kutosajiliwa hivyo kukosa mamlaka ya kuwa separate legal entity kushindwa kushitaki na kushitakiwa (to sue and to be...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ma great thinker, hivi ukipata ajali barabarani labda umegonga gari la watu kwa nyuma kisha askari wa usalama barabarani akaja eneo la tukio kuangalia hiyo ajali na nyie mkikubaliana kulipana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kikwete kuitwa mahakamani Na Saed Kubenea - Imechapwa 04 May 2011 RAIS Jakaya Kikwete ametajwa kuwa mmoja wa mashahidi "muhimu sana" wa Profesa Costa Ricky Mahalu anayekabiliwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imeandikwa na Shangwe Thani, Shinyanga; Tarehe: 7th May 2011 WATU watatu akiwemo mgombea ubunge aliyeangushwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Jimbo la Kishapu, mkoani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za kazi wana JF?Nina Babu yangu amestaafu kazi tarehe1/12/2009,akiwa idara ya maji Tabora mjini.Mpaka leo bado hajalipwa malipo yake ya kuustaafu.Kila kinchohitajika tayari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Retired President Benjamin Mkapa will be among key witnesses to testify in defence of Prof Costa Mahalu, who is accused of causing the government a Sh2.5 billion loss in the alleged fraudulent...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
BEST LAWYER STORY OF THE DECADE Charlotte, North Carolina. A lawyer purchased a box of very rare and expensive cigars, then insured them against, among other things, fire. Within a month, having...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
DIWANI wa Kata ya Kwakoa wilayani Mwanga, Dk. Rogers Msangi amekieleza kikao cha Baraza la Madiwani wilayani humo, kwamba amechoka kugeuzwa kuwa pikipiki ya kubeba abiria maarufu kama bodaboda...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimesikia kwenye taarifa ya habari itv kwamba sababu iliyomfanya bi. Josephine Mushumbusi (mchumba / mke wa Dr. Slaa) ashindwe kutinga kortini ni kwamba ni mjamzito so ana maternity leave...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Mahakama ya Mkoa wa Shinyanga imemwachia kwa dhamana Mbunge wa Meatu, Meshack Oporukwa (Chadema), baada ya kushikiliwa kwa saa 24. Akizungumza na NIPASHE jana kwa njia ya simu kutoa mkoani humo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sheryl Cwele, wife of South Africa's intelligence minister, has been convicted of drug trafficking. Cwele, married to Siyabonga Cwele, recruited women to smuggle drugs into the country...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Wadau, Hivi ni kweli kuwa kuna sheria mpya inayomtaka mpangaji kulipa kodi ktk kipindi cha notice -- yaani kipindi ambacho anatakiwa kuhama baada ya kupewa notice?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani, naomba msaada wa kisheria kwa ajili ya kupata malipo ya bima ya ajali iliyogharimu maisha ya mjukuu wangu. Gari lililomgonga halikuwa na bima. Je nitafunguaje kesi ya madai hayo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikuwa naelekea mjini nikiendesha gari langu na nikagongwa ubavuni kushoto na gari la jamaa aliyetokea kwenye barabara ndogo akakimbia nikaweza kuchukua namba ya gari lake, nifanyeje nipate...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tendwa decries cheats in poll expenses returns By Dominic Nkolimwa 14th January 2011 Registrar John Tendwa With only three weeks left before the Registrar of Political Parties closes...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni kutokana na waajiri wake yaani madiwani kufanya maamuzi na mkurugenzi huyo kupinga. Kama serikali watamkingia kifua Chadema watamfungia nje. Walifanya hivyo Karatu na wanaweza kufanya moshi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Chama cha demokrasi na maendeleo chadema kimesema kitachukua hatua za kumfukuza kazi mkurugenzi wa manispaa ya moshi kama ataendelea na tabia yake ya kususia vikao na kuwaacha madiwani na meya wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amesema uongozi utawachukulia hatua kali za kinidhamu madiwani watatu wa chama hicho mkoani Arusha, wanaotuhumiwa kukisaliti kwenye hoja ya kumtambua...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
A three-day strike beginning tomorrow has been announced by the Uganda Law Society as an expression of displeasure at the government’s high-handed clampdown on the walk-to-work protests against...
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Katika hali inayoonyesha kuogopa kasi ya madiwani wa chadema,mwanasheria wa halmashauri ya Arusha Bw Paul Mugasha,ameomba kuhamishwa ghafla,na sasa ataripoti Mwanga kwenye kituo kipya cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom