Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

KIONGOZI wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (chadema) Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara ( jina linahifadhiwa) anashikiliwa polisi akidaiwa kufuja Sh 600,000 fedha za mfuko wa Elimu wa wakazi wa...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Mambo aliyodanganya Dr. Slaa 1. Kwenye Rada kulikuwa na Rushwa 2. Kuna wizi wa EPA ulifanyika 3. Kuna rushwa katika ununuzi wa ndege ya Rais 4. Kuna Rushwa kwenye ununuzi wa umeme wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Catholics wary over Mutunga Updated 41 min(s) ago Related Stories...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetazama documentary moja kuhu Miami Mega Jail. I have just been shocked kuona kumbe baadhi ya jela/ Rumande za huko USA hazina tofauti na jela zetu. Tena mbaya zaidi hizo kwao sio Jela ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhali naomba kama kuna mtu anayeweza kunisaidia sample ya mkataba ya kupangisha fremu ya duka... naomba anisaidie. Asante!
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Naombeni mnisaidie maswali haya. 1. If the International Court of Justice could not find solution in one source to settle a dispute between two nations it has to refer to another? Explain in...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Superinjunctions...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wana JF naomba kujuzwa kujua sheria inayo govern online defamation na pia katika sheria za Tanzania Internet service provider ni wakati gani atakuwa liable na kwa sheria gani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bandugu, Ninakaribia kurudi nyumbani, ila nina vitabu ninavyovitumia binafsi kwa malengo ya elimu. Nakumbuka kusikia kuna vitabu vilishawahi kupigwa marufuku Tanzania (najua vingine kwa uhakika...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wanasheria naomba msaada wenu. Hivi kama mtu ana ndoa ya kanisani(RC) na baadae akaenda akafunga ndoa kiserikali(civil) je 1)kote huko anapata vyeti?Maana nasikia kote huko vyeti vinavyotolewa ni...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
NDUGU JAMAM NA MARAFIKI NIMEONA WATU WENGI WANAULIZA NANI ANAHAKI KUFUNGISHA NDOA NA NDOA IPI INAYO TAMBULIKA KISHERIA NA NANI ANAYR RUHUSIWA KUFANYA HAHYO??? NIMEONA NIWASAIDIE KUWA MWONGOZO...
0 Reactions
0 Replies
18K Views
Brazil’s Supreme Court has issued a ruling making same-sex unions equivalent to marriage. Auxiliary Bishop Henrique Soares Costa of Aracaju, Brazil said the court’s ruling was anti-democratic...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi karibuni imeripotiwa kuwa Serikali imepima viwanja vipatavyo 20,000 huko Kinyerezi> Lengo kuu la uanzishwaji wa upimaji huu ni kuhakikisha kuwa Watanzania wanaacha ujenzi holela, wanakuwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF. Rafiki yangu anatuhumiwa katika kesi, jana baada ya kufika mahakamani na kusikilizwa kesi yake kwa mlalamikaji kuleta shahidi Hakimu wakati anaahirisha kesi alimwambia...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nyumba ya Kikwete yazua utata Rais Jakaya Kikwete anatuhumiwa kuchukuwa nyumba ya mkazi mmoja wa dare s Salaam na kuigeuza yake, MwanaHALISI limeelezwa. Nyumba hiyo iko kiwanja namba...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Nimeona niulize kwenu wana jf suala hili la jinsi polisi wa nchi hii wanavyoendesha kesi za jinai, Utaona polisi anakamata au analetewa mtuhumiwa kituoni na kumuweka ndani yaani mahabusu kasha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, amevamiwa na wezi katika nyumba ya kulala wageni na kuibiwa fedha taslimu pamoja na kila kitu alichokuwa nacho chumbani kwake. Tukio hilo lilitokea...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
wana jf sect 43 ya ELRA states that where an employee's contract is terminated the employer shall pay for the transportation of that employee to the place of recruitment. swali langu ni; kwa kuwa...
0 Reactions
29 Replies
9K Views
KAIMU Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. Saidi Meck Sadiki, ametishia kujiuzulu endapo itathibitika kuwa amechakachua posho katika milipuko wa mabomu iliyotokea katika kambi ya Jeshi Gongo la...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajameni nachukua LLB-Tumaini Iringa,1st yr,cna mkopo na mambo ni tight(uchumi) kuliko navyoweza kusema.naomba km kuna m2 anaweza kunidirect walau nipate sponsor(ship) anisaidie, atakuwa ameokoa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom