Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

naomba mwanasheria yoyote anisaidie kunipa exact au walau estimates za gharama zake kama mwanasheria kwa kuandika memorandum na articles of association, ku-notarize na zote zingine zinazo apply...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana-JF Nakumbuka, miaka ya nyuma, Serikali iliondoa kila aina ya kodi kwenye miradi ya nishati mbadala, ili kuhamasisha uwekezaji kwenye sekta hiyo. Hili lilitokea baada ya uhaba mkubwa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ningependa kuwauliza wanasheria, raia anapokamatwa na askari pasipo kufuata taratibu za kisheria, mfano kupigwa, kuhojiwa na kupekuliwa kabla ya kufunguliwa mashitaka, na baadaye ikagundulika...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mimi ni mdau katika secta ya madini na nahitaji kupata soft copy ya sheria za matumizi ya baruti kwa ujumla wake kwani nimejaribu kucheki kwenye website ya wizara husika sijaipata so, naomba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina mpango wa kuchukua hati ya nyumba yangu,sasa mke wangu anataka tuandikishe majina yetu wawili ili isomeke wamiliki ni familia,sasa nauliza je ikitokea mkaachana hatuombei ila imetokea...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Huyu Slaa naona anahitaji msaada wa wanasheria. hii jumuiya yenu inaheshimika na watanzania wote. zungumzeni ukweli. hali za watu wa vijijini na watu wengi wa mijini ni mbaya mno sote...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamvi Napenda kujua nini tasfri au kama ni halali na ni sawa kisheria Mtu aliyeteuliwa na rais/bunge akajiuzuru baadaye kutokana na uwajibikaji. Je rais/bunge ana haki uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
What is the position of law for the company that is not trading to stay domant without filling annual returns and conducting annual general meeting as required by the companies act no 12 of 2002?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
No judicial era - here in Arusha- invokes fear, dismay and despair than the judicial reign of Judge Ernest Mwipopo at the then Industrial Court of Tanzania. Most of sacked employees perceive...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hili angalizo nimeona nilitoe mapema baada ya Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI, Bw. Mbatia, kuitishia Chadema kuipeleka mahakamani kwa madai ya fidia ya TSHS 3 bilioni kwa kile alichodai kudhalilishwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni afisa wa serikali. si mjuzi sana wa mambo ya sheria. natatizwa na mikwara ya maafisa wa serikali wa ngazi za juu kupenda kutoa vitisho na kufanya vitendo vya kibaguzi au uonevu kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
A ZANZIBAR PROBLEM IS A CONSTITUTIONAL ONE. (By Rutashubanyuma Nestory) The Sunday Citizen editorial commentary of January 14, 2007 certainly took the Zanzibar problem by its horns when it...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Now it is official in Kenyan courts that the new dawn of automation has been embraced..........No more members of the Bar writing court proceedings....but presence of stenographers and...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
KUTOKANA na wadhifa aliokuwa nao mtuhumiwa wa kesi ya usalama barabarani ya kukabiliwa na shtaka la kuua inayomkabili Jaji wa Mhakama Kuu ya Tanzania, Protest Rugazia [56] jalaada linalohusiana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwalimu machachari ambaye amekuwa akiisumbua tawala za CCm kuhusiana na utawala bora amejikuta kesi yake ya kumpinga JK asigombee Uraisi kwa kushindwa kuzuia ufisadi na hivyo kukiuka katiba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UCHAGUZI mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 31 mwaka huu unaweza kuingia mushkeli baada ya mkazi wa Dar es Salaam, Denis Maringo kufungua kesi ya kikatiba akihoji sheria inayozuia matokeo ya...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wajumbe hii ilikuwa taarifa ya habari ya leo ITV; wameonyesha jinsi ambavyo serikali yetu inajali wazee wake wa tangu enzi hizo; mpaka sasa imefikia mzee kafariki kwa stroke wakati akifukuzwa na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Any reported cases in this issue.local and international cases
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Kampala Dr Kizza Besigye yesterday called for the resignation of the Director of Public Prosecutions and the Attorney General after the Constitutional Court ordered that he and 10 others...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Back
Top Bottom