Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

A COMPELLING CASE FOR A NEW CONSTITUTIONAL ORDER! (By Rutashubanyuma Nestory- A public policy analyst based in Arusha.) Anti new constitution forces are fondly of detonating dynamite...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
HERE IS MY FRESH TAKE ON “PROPERTY DIVISION AFTER CONCUBINAGE.” (By Rutashubanyuma Nestory – A public policy analyst based in Arusha.) A pithy monograph by columnist O.J Kaniki on Sunday...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Salaams Wanasheria, Tafadhalini tena, Nisaidieni majina ya vyuo vikuu vya nje vinavyotoa degree za Sheria zinatambulika hapa TZ. Umri wangu (49 yrs) kuketi na darasani ni noma. Sijapata chuo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni kwenye kesi za uchaguzi Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The 2010 General Elections will be held on Sunday, 31st October, 2010. On 17th September, 2010 the National Electoral Commission (NEC) granted the Tanganyika Law Society (TLS) with Local Observer...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika toleo lilolopita mwandishi wa makala hii aliandika juu ya hatari ya kupata hasara kwenye kesi ya madai iwapo mwenye kesi husika asipokuwa makini katika kumchngua wakili ambaye ni mweledi...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
I was able to download the New Tanzanian Labor Law in English from this forum. Kindly let me know where I can download the Tanzanian Labor Law Swahili version. Thank you
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) p { margin-bottom: 0.08in; } Watu wanne wakiwemo maofisa wawili wa ofisi ya mizani mkoa wa Pwani, wanashikiliwa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MWALIMU Ally Msanga [39] wa Shule ya Msingi Makumbusho ya jijini Dar es Salaam, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na shitaka la kutaka kumuingilia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada kidogo kuhusu haya malipo wanayodai wanasheria pindi unapopeleka nyaraka zako waziidhinishe. Hivi, sheria inasemaje, ni halali kuwalipa kwa kazi hiyo, na kama ni halali ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba sana nipatiwe msaada wa sheria kwenye hili swala. Hivi ikitokea mtu (Specifically mfanyakazi wa mochwari) amekamatwa na viungo vya binadamu, katika sheria ya makosa ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa chama cha Sauti ya Umma (Sau), Paul Kyara (wa tatu kushoto), akitoka nje ya jengo la Mahakama Kuu, jijini Dar es Salaam na wakili wake Israel Magessa (kulia) baada ya kesi yake...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya kufanya majaribio ya kuona ufanisi wa Vikosi vya Uokozi kwenye majanga mbalimbali yanayotokea kwa kuanzisha ajili za makusudi (au ishara za ajali). Mathalan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DR. SLAA AFUNGULIWA MASHTAKA MAHAKAMA KUU LEO MGOMBEA urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dk. Willbrod Slaa (pichani), amefunguliwa kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaami...
0 Reactions
88 Replies
10K Views
Bila kujali utaifa wetu na hasa katika nyanja ambayo dunia nzima inatucheka kila siku kutokana na soka yetu kuwa hovyo, CCM kwa kuwa alihozi viwanja tulivyojenga sisi, anashindwa kufanya mikutano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa akina Wilb. ndivyo walivyo.Wana chuki sana na waislamu na wanapenda kutumia nafasi zao kutekeleza chuki. Yapo maeneo mengi ambako mavazi yetu waislamu ati hayafai.Tunasubiri siku ikifika...
0 Reactions
53 Replies
7K Views
Maoni ya katuni Miongozi mwa majanga yanayoikabili taifa kwa sasa ni kuporomoka kwa maadili katika jamii; kila mahali hali ni mbaya katika kutii na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Afungwa jela miezi sita kwa kukaidi kuvua baraghashia mahakamani Tuesday, 31 August 2010 Hadija Jumanne MSHAURI wa baraza la kata Gongo la Mboto, anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua na...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
JAJI Mkuu wa Tanzania, Augustine Ramadhani amewaonya wanasiasa wanaozungumzia kesi mbalimbali zilizopo mahakamani, katika majukwaa ya siasa. Jaji Ramadhani alisema kuzungumzia kesi ambazo bado...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunakumbuka jinsi JK alivyodai kwamba hazitaki kura za wafanyakazi wa Tanzania na kwamba hata kama wakigoma MIAKA NANE (8) wasingeweza kuongezewa mishahara! Lakini muda si muda JK pamoja na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom