Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Ndugu wasomi (learned Brothers), Naulizia kama kuna mtu anajua/anafahamu kama kuna software kwa ajili ya Lawfirms? Je ni software gani? Inapatikana wapi na kwa bei gani? Please help...!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naangalia kama hawa wasimamizi wa sheria zetu wanajua ni sheria ngapi Rostam amezivunja hadharani hivi karibuni katika suala hili la majadiliano ya Richmond. Najizuia kuanza kuzichambua nikiamini...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
jamani naomba mchango wa mawazo kuhusu ndoa hivi mke anapoamua kutelekeza ndoa yake mwenyewe bila kufukuzwa na mume wala kupigwa na kusema sipo tayari kuishi na ww zaidi ya mwaka alafu anakufata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WanaJF inaonyesha kuwa katika nchi hii kuna wakati au mazingira ambayo sheria inaruhusiwa kuvunjwa. Na kwa mantiki hii, basi kuna watu wapo juu ya sheria kama tunavyoshuhudia siku zote, lakini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huu ndiyo wakati wa kuweka Sharia Law ndani ya Tanzania. Mambo muhimu ambayo Sharia Law itayatatua haraka ni: Mafisadi hawatakuwepo. Rushwa haitakuwepo. Let's do it.
0 Reactions
50 Replies
6K Views
Je, aliyedanganywa ndoa ana haki ya kudai fidia???? Kama ilivyo kwa Sheria za mikataba ambapo mtu anayetoa ahadi anapaswa kutekeleza, sheria ya ndoa pia inamtaka mtu anayetoa ahadi ya ndoa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
i Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema, naye amekiri kuwa kuwakamata mafisadi ni kazi ngumu. Na Boniface Meena UCHUNGUZI wa Sh42.6 bilioni zilizochotwa kutoka katika Akaunti ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie wanasheria. Kuna uwezekano gani wa kutumia sheria ili kuwabana warithi wenzako wa mali ili wasifanye maamuzi juu ya vile mlivyorithi bila ya kukushirikisha? Kwa mfano- kama ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna shule ambayo rafiki yangu ana soma sasa kamaliza first year sasa anataka kuchukua second year hiyo shule ikamwambia kama wanaifunga shule coz hawana hela na course anayechukua ni btec na hiyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Please i need help on this question concerning our Constitution,"According to the classification of Constitution, what is the classification of constitution are we practicing? is it...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nakuja tena na video kuonyesha msisitizo. Najua baadhi yetu mtakuwa mmeshaangalia video hizi za Unyanyasaji wa polisi wa tanzania (FFU). Ni kwamba elimu yao haiwatoshi? au viongozi wao waliowatuma...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I wish na sisi tungeanzisha 'special court' kudeal na wahujumu uchumi katika kuanzia 1990s to date! Ongera SA kwa kusoma alama za nyakati na kuwa -pro active!! South Africa to fast-track World...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MWANAMKE Asha Ally [28] mkazi wa Mabibo Jeshini, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Magomeni kwa kosa la kumtukana mwanamke mwenzake matusi ya nguoni kinyume na sheria...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ugly Truth: Most U.S. Kids Sentenced to Die In Prison Are Black By Liliana Segura, AlterNet. The U.S. stands alone in the world in condemning thousands of juveniles to life without parole. And...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A gay in Uganda who disguised him/herself with a mask for fear of stigma. Patience Ahimbisibwe Kampala Legal experts and activists have warned government against passing the Anti-Homosexuality...
0 Reactions
0 Replies
998 Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema, hivi karibuni alibatilisha hukumu 75 za vifo kuwa vifungo vya maisha. Mbali na kubatilisha huko amesema licha ya Tanzania kuwa na sheria ya Kunyonga katika vitabu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MKURUGENZI wa Fedha wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Julius Andrew amesema malipo mengi makubwa yaliyofanywa katika ujenzi wa majengo mapacha ya benki hiyo yaliidhinishwa bila idhini ya bodi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya ndio mambo ambayo yalizua mjadala wa kwa nini jeshi letu lina aina flani ya ubaguzi katika swala la ajira kati ya wanawake na wanaume.. soma hii habari kutoka USA then niambie we unaonaje...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
BETTY BHOKE, 17th November 2009 @ 11:33, Total Comments: 0, Hits: 111 THE Director of Public Prosecutions (DPP) has dropped fraud charges against three former Civic United Front (CUF) Members of...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ebu fikilia, jamaa yangu kaibiwa tv yake, mwizi kakamatwa, baada ya kesi kumalizika huyo jamaa kahukumiwa miaka 6 jela, akitoka anunue tv ya huyu jamaa yangu, swali ni hili, -Kufungwa kwa huyu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom