Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA Salamu wakuu, naona weekend nayo inasogea taratibu. Nimewaza tu hapa. Kumekuwa na fedha nyingi sana inayotolewa mahakamani na watuhumiwa mbalimbali kuhusu kesi...
4 Reactions
39 Replies
10K Views
"Kwa nini hela zangu zitungiwe sheria za ajabu?" Amesikika mdau mmoja aliyeachishwa kazi na bahati mbaya kupata ajira nyingine imekuwa ngumu kwake. Alipofuatilia mafao yake NSSF kaelezwa akae...
0 Reactions
1 Replies
733 Views
Wakuu habari zenu. Ndugu zangu me niko Arusha mitaa ya Njiro Nanenane hapa kwenye kijiwe changu ninapofanyia biasha ndo inafanyika mikutano ya kampen juzi alikuja Mrisho Gambo Kufanya kampeni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa kifungu cha 25 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007(PCCB Act, 2007); Rushwa ya ngono ni pale ambapo mtu aliye katika mamlaka na katika kutekeleza mamlaka yake...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakubwa natarajia mko wazima. Msaada wa kisheria (Ki mawazo) unahitajika jamani. Ninaona dalili za kudhulumiwa haki yangu zinaninyemelea naombeni mawazo yenu wakuu. Nina kadaladala kangu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi kijana mpambanaji nimekuwa kwa muda mrefu nikifanya mishe zangu na biashara ndogo ndogo. Kama mwenzi moja kuna dada moja ni rafiki yangu sana yule dada kwa bahati mbaya alikutana na wale...
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Habari za muda huu ndugu wanasheria Tafadhali naomba kupata ufafanuzi je sheria inaongelea nini kwenye mkataba wa kazi maalumu.
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wadau,kumekuwepo taarifa kua mkataba wa kisheria ukiwa na dosari unakosa uhalali wengine wanadai unaweza kua na dosari lakini bado uko sahihi je hili likoje?
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka kununua kiwanja kwa Hawa Ma-Agent Wa kuuza Viwanja na Mashamba na kuna Marafiki zangu kama wawili hivi wameshanunua viwanja kwao, Kwa Upande wangu kiwanja ambacho wanataka kuniuzia kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimepita sehemu nimekuta jamaa katolewa vyombo na mama mwenye nyumba. Jamaa amekuta vitu vimenyeshewa na mvua. Wanasheria, imekaaje hii?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hujambo ndugu yangu, kwa almost two weeks nimekuwa nikisoma katiba za baadhi ya mataifa ya kiafrika nilianzia ya Mauritius nikaenda Angola, nikaenda Cameroon, nikaja kwa Wahabeshi nikashukia kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Ipo hivi nina jirani yangu mwanae anasoma shule fulani hapa jijini Dar es Salaam pale eneo la Temboni-Ubungo. Ni shule ya sekondari ipo chini ya umiliki wa serikali. Wiki...
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Ndugu wadau wa sheria nmekuwa na kesi ya madai, mimi nikiwa mdai. Miezi 6 iliyopita nilitafuta fundi welding nikampa kazi na pesa jumla tsh 1,200,000 ili anitengenezee fens za kuweka juu ya ukuta...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Miaka 3 iliyopita nilipata ufadhili wa kusomeshwa huko Ulaya! Kabla sijaenda mwajiri alinitaka nimsainie mkataba kuwa nitakaporejea nitamtumikia kwa miaka mitatu kabla ya kuniruhusu nifanye mambo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kujua ni sheria ipi imeongelea kosa la kuchana katiba au mtu akichana katiba ni sheria gani inatumika katika hati ya mashtaka(charge)
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nimejaribu kufuatilia hii kesi ya wakenya huko ICC na nimeshtushwa sana mijadala inayoendelea. ukilinganisha na awamu ya kwanza, hii defense team ya sasa inaonekana kuimarika sana. mfano kuna...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi naitwa Gidion, nipo Iringa. Leo Kuna tukio limetokea nyumbani kwetu ambapo kijana mmoja alivamia nyumbani. Katika uvamizi huo alimpiga na jiwe kubwa mzee wangu kifuani hali iliyopelekea mzee...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini waheshimiwa, X alianza kutoa lugha za matusi kwa Y kupitia simu yake ya mkononi pasipo Y kutambua X ni nani,Y alimuonya juu ya matusi yake, baadae Y uvumilivu ulimshinda nayeye akatumia...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Heshima yenu wakuu, niendee kwenye mada. Vyomba vyetu vya kutoa haki vimekuwa na changamoto nyingi katika kutekeleza haki hususani kwenye kesi zinazohusisha pesa. Pia mahakama zimekuwa na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (2008), inaelekeza kuwa, ni kosa na ni kinyume cha Sheria kwa mfuko wowote wa Pensheni kuandikisha wanachama waliokwisha andikishwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…