Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Wakuu katika sheria ya ndoa kuna hiki kipengele ''An order of maintenance'' Je nini tafsiri yake haswa?
0 Reactions
0 Replies
628 Views
ninasumbuliwa na taasisi moja inayopeleka wanafunzi nje ya nchi kusoma nimelipa pesa tare7/7/2019 mpakal leo nazungushwa nifanye nini nipate haki zangu nitapata wapi mwanasheria wa kunisimamia
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wapendwa, Naomba kwa mwanasheria yoyote ambaye atakua tayari kunisaidia naomba tuwasiliane pm ... Kuna Jambo ambalo nahitaji msaada na muongozo , Na hatimaye kufungua kesi ... Na anisimamie...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba mwenye KANUNI ZA UTUMISHI UMMA 2003 Anitumie
3 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu, Kuna bwana mdogo kaniomba ushauri, katika ofisi anayofanyia kazi ilionekana kuwa alitenda kosa fulani, akaandika barua ya kukana kosa hilo, ila ofisi ikasema imefanya uchunguzi ikabainika...
2 Reactions
43 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu? nimemkopesha mtu bila maandikishiano, kwenye kulipa ananikwepa. Naweza kumfungulia kesi? Naomba taratibu zake.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu naomba mnisaidie, Katika kesi ya jinai siku ya kwanza uwa naona wanamsomea mshitakiwa kosa lake, na siku ya ph wanasoma maelezo kiundani zaidi. Je, siku ya ushahidi ni sahihi kwa shahidi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
The country United Republic of Tanzania is made up of Tanganyika mainland and Zanzibar islands across Indian Ocean. The estimated population size of Tanzania in 2019 is 60.4 million, with an...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
There some few amendments to our Political Parties Act of United Republic of Tanzania:
1 Reactions
2 Replies
984 Views
Habari kwenu wasomi na wabwebwezi wa sheria! Moja kwa moja niende kwenye shida yangu..nimekua nikifahamu makosa au case za jinai zinaendeshwa na Jamuhuri hivyo zinakua ktk mtindo huu..MF:Juma V/s...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari waungwana. Naomba msaada wenu wadau Mimi ni muajiriwa wa Serekali niliajiriwa kwa cheti cha Form Four tuuu nikiwa kma muhudumu nami nikaamua kujiendeleza kimya kimya Bila muajiri wangu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman naombeni msaada Nahitaji passmark za udsm na tumain katika kozi ya sheria
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Niliajiriwa serikalini kwa masharti ya kudumu. Nilifanya kazi kwa muda wa miaka 15 na miezi 9 niliacha kazi bila kufukuzwa na wala siku andika barua kwa Katibu mkuu wangu wa wizara. Nina vielelezo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 45, ni Mkristo dhehebu KKKT, mwaka 2001 nilifunga ndoa ya Kikristo na nimefanikiwa kuwa na watoto 5, mwaka 2007 kulikuwa na mgogoro mkubwa katika ndoa...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wana Jamii Forums Ninaomba msaada wa kisheria kuhusiana na mambo ya Bank kama mteja sikutendewa HAKI. Tatizo lenyewe limetokea hivi. Ilikuwa ni siku ya tarehe 4th / 08/ 2016 muda wa saa...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Serikali ilianzisha sheria ya mitandao ili kulinda uhuru wa watu kulingana na matumizi ya mitandao. Sasa binafsi nimekuwa nikijikuta naungwa kwenye makundi ya whatsapp bila kuulizwa wala bila...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mm ni miongon mwa wafanyakaz katika kampun binafsi ya usalama(ulinzi)maarufu inaitwa Kk security company. Kuna madai kwamba kampuni imeingia ubia na kampun ya kigen kutoka Canada inaitwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mm ni mfanyakazi katika tasisi moja hapa Dar es salaam nimefanya kazi katika tasis hii miaka 2 ba miezi sita, niliahidiwa kupewa mkataba ila ilichukua takribani mwaka mzima pasipo kupewa mkataba...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji mwanasheria wa kunisaidia kwenye ufafanuzi wa sheria na kesi za co-parenting....
1 Reactions
2 Replies
864 Views
Habari, Jamani naomba kusaidiwa kiushauri kuhusu mkopo niliochukua benki fulani ambayo kwa sasa imefilisiwa na serikali. Mkopo nilikopa mwaka 2012 kwa makubaliano ya kulipa miaka mitatu yaani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…