Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Pale unapotokea msiba wapo ambao viongozi utoa pole kupitia mitandao ya kijamii, ipo misiba Mhe Rais utumia barua ya Ikulu nk Napenda kufahamu ili Mhe Rais atoe pole kwa kupitia akaunti yake ya...
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Ni ushauri tu kwa Wanahabari nguli kama Pascal Mayalla na Aloyce Nyanda, nk, wakachukua ombi la Tanzania huko Umoja wa Africa kama ni fursa itakayoanzia hapa nyumbani. Midahalo inasaidia sana...
4 Reactions
19 Replies
786 Views
Ukweli ni kuwa Nyerere alikuwa na maono, aliweza kujua nani kiongozi ambaye atatumikia wanyonge kwa manufaa ya taifa. Na nani atakuwa mpigaji. Wapigaji wanajulikana. Mfano Jakaya alipokuwa...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Tumesikia namna Rais anavyolalamika kuhusu ufisadi sehemu mbalimbali. Hata PM Majaliwa naye tulimsikia last week akiwa ziaranya mkoa wa Mara. Nauliza DPP, IGP, DG-TISS na DG TAKUKURU mnasubiri...
11 Reactions
78 Replies
4K Views
Mapendekezo ya bajeti kwa mwaka wa Fedha unaokuja 2024/2025 ni kuwa bajeti ya Matumizi ya Kawaida kufikia ukomo wa Shilingi tilioni 33 na bajeti ya Maendeleo kufikia ukomo wa tilioni 15. Sababu...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Kipindi Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kinamuunga mkono na kumuita Mgombea wake wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Queen Cuthbert Sendiga akitambulika pia kwa...
3 Reactions
9 Replies
995 Views
Salaam sana Tunaandaa vipindi vya TV na Radio vya DSE. Kwa niaba ya Soko la Hisa la DSM DSE, napenda kutoa mualiko kwa watu wachache hasa Wajasiliamali wadogo na wa kati (Small and Medium...
5 Reactions
15 Replies
6K Views
Yaani katika kitu ambacho nawashauri vijana ni kutokuwa na utamaduni wa woga ambao umekuwa utamaduni wa Watanzania wengi. Ukiangalia vizuri kibinafsi na hata vyama vyovyote. Ukubwa wa vyama na...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Tangu CHADEMA ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja. Je, wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa...
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Ndugu watanzania ,nimekuwa nafuatilia kwa muda siasa za hiki chama cha chadema kwa muda sasa.Itoshe kusema kuwa haka katasisi kanao baadhi ya wafuasi wanaojitambua walao kwa kiasi kidogo...
10 Reactions
87 Replies
4K Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), Machi 13, 2024 ameongoza waombolezaji kuaga Mwili wa Marehemu Meja Jenerali Christopher Keraryo Gimonge (Mstaafu)...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Nipo Newala Mjini wiki ya pili sasa hali ya umeme ni mbaya kupita kiasi. Tangu nimefika na sasa shida imezidi wiki iliyopita umeme ulikua unawaka kati ya masaa 4-6 kwa siku. Wiki hii Jumatatu...
1 Reactions
4 Replies
371 Views
Waziri Mhagama: Wanambinga Mhalule Chagueni Viongozi Wawajibikaji Serikali kupitia Halmashauri ya wilaya ya Songea Vijijini yaahidi kushughulikia na kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ardhi katika...
1 Reactions
2 Replies
417 Views
Hongera na pongezi nyingi ziende Kwa Rais wa nchi yetu Mhe.Samia Suluhu Kwa kukubali kutangaza utalii kupitia filamu ya "THE ROYAL TOUR". Mengi ya kukatisha tamaa yalisemwa kabla ya matokeo ya...
0 Reactions
1 Replies
379 Views
MBUNGE wa Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, amesema ahadi ambazo aliwahidi wananchi kipindi cha uchaguzi Mkuu 2020 nyingi amezitekeleza na kuwaletea maendeleo wananchi wa Shinyanga. Katambi...
2 Reactions
5 Replies
506 Views
Asubuhi hii nasikiliza taarifa ya habari, nasikia Zanzibar nako serikali ya huko imetangaza Bei Elekezi kwa sukari! Nafika ofisini mapema n inabidi nijiulize kwa makini. Nini maana ya bei...
12 Reactions
72 Replies
3K Views
Eeh ndio hivyo ,wanasema atasifiwa akiwa hai sio kuleta unafiki akiwa kaburini na hawezi kusikia. Kazi iendelee === Alivyoulizwa na Mtangazaji wa Wasafi kuhusu Rais Samia kustahili kuitwa mama...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mh Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika...
16 Reactions
126 Replies
5K Views
Tuwe wakweli awamu ya 4 Sare za mbogamboga zilikuwa hazivaliki lakini awamu ya 5 zikawa zinagombewa Nakumbuka Mzee Mgaya alijichanganya na Sare zake pale kimara inaponyweka mbege kilichomkuta...
28 Reactions
83 Replies
3K Views
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, imeishauri Serikali kuagiza magari yenye mfumo wa gesi ambao una gharama nafuu, hali itakayosaidia kupunguza gharama za mafuta kutokana na uwepo wa...
2 Reactions
9 Replies
600 Views
Back
Top Bottom