Yale mabango yaliomwaga kila kona ya mji na kukera kila anaepita si mtoto waa mkubwa yakiwa na mapicha ya ukubwani /utototni/ ya rais kikwete sasa yameanza kuondolewa rasmi...mabango haya yalianza...
Chadema wataka matokeo ya ubungo yatangazwe haraka kabla yajachakachuliwa kuna vuruguzimetokea hapa naona mabomu ya machozi naskali kibao wametandazwa kila konaa
Hapa Sugu, Lema,akija Zito, Mdee na Mnyika we acha wakisaidiwa na Ndesa pesa mzee wa CUF Hamadi Rashid na wengineo! Tuombe uhai hapo mjengoni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa waliowahi kufuatilia historia ya Seif na uchaguzi zanzibar nadhani watanisaidia kwa hili. Maalim seif ana historia ndefu sana na siasa za ZANZIBAR yaani toka enzi za mwalimu yeye ni mpinzai...
It is time Jakaya Mrisho Kikwet's government realize that, the country is soon going to explode if they continue holding their votes. People have spoken, their votes have been counted but the NEC...
Brazil wako 201,103,330 people na jana tulianza nao kupiga kura lakini wenzetu washampata Raisi wao
CCM naona wako bize na uchakachuaji.
Ivi kusum up matokeo jamani to me you just use an excel...
PONGEZI ZANGU:
NDG ZANGU WA-TZ, NAPENDA KUCHUKUA FURSA HII KUWAPONGEZA SUGU NA MNYIKA KWA KUFANIKIWA KWAO KUINGIA BUNGENI.
HASA UKIZINGATIA SUGU WENGI WETU TUNAFAHAMU TOKA ENZI ZILE ANATOA...
habari zilizofika kwa source ya ITV huko mwanga
Udiwani CCM wamechukua viti vyote vya udiwani 20 kati yao wanne wamepita bila kupingwa
Kwenye Ubunge
CCM 20730
Chadema 4716
CUF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.