Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
MAKAME, KIRAVU WASHTAKIWE HARAKA! :A S-danger: Watanzani nchi nzima wanasubiria Matokeo ya Kura zao walizopiga kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani wao. Cha kushangaza matokeo mengi yanatangazwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani mlio karibu na matangazo tunaomba mtulete hapa matokeo ya jimbo la kawe!!Tafadhali:peace:
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Tume ya uchaguzi Zanzibar imetangaza matokeo ya kura ya Urais katika majimbo kumi na tano ambapo mgombea wa Chama cha Mapinduzi, Ali Mohamed Sheini ameibuka mshindi katika majimbo kumi na tatu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Huko maswa imetangazwa na channel ten kuna kituo kiko 150 mts (nyalikungu) kutoka ofisi za msimamizi wa uchaguzi matokeo yake hayajamfikia msimamizi. lakini kuna box za kura zimetoka zaidi ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mkwere ana hali Mbaya Rungwe Mashariki & Magharibi pamoja na Kyela
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ktk hali isiyo ya kawaida katika siasa za Tz, matokeo ya awali ya Jimbo la Kyela yanaonyesha kuwa wana Kyela wamemchagua Dr Slaa (CHADEMA) ili awe Rais, aidha mpambanaji na kipenzi cha wengi Dr...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa batilda buriani ametangazwa mshini watu washerehekea barabara zafungwa walioko maeneo ya clock tower watuhabarishe nasikia watu wamejikusanya kwenye jengo la manispaa
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Nimepata taarifa njia hazipitiki tandika sokoni.Polisi wanatumia mabomu kutawanya raia wanaosubiri matokeo kutangazwa rasmi.Walioko huko tupeni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sorry Wanajamii Excel sheet ya orodha wa wagombea wote wa CHADEMA imenikatalia kukaa vizuri kwenye hii thread. Poleni kwa usumbufu
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Can't help but laugh nikikumbuka yule mnajimu aliyeliweka taifa kwenye hali tete kuhusiana na uchaguzi huu...nadhani hapa kuna Kesi nzuri tu kwa watu wenye profession yao:rockon:....
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naipongeza serikali ya CCM kwa kusimamia uchaguzi ulioiondoa yenyewe katika uongozi wa nchi! Asante mama demokrasia!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Uchaguzi wa mbunge haukufanyika jimbo la Nkenge wilaya ya Misenyi kutokana na kasoro ktk karatas za kura
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Niko kwenye mafungo na Kondoo wachache kuombea taifa zidi ya uchakachuaji! Sina update za kwa mama Leticia na kule kwa Fineas Magesa! Naombeni mwenye fununu! Mch Masa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kuna kitabu cha MUNGU kinasema haki huinua taifa JK, unayaona ,Mkapa ni heri ungenyamaza ,KEJELI za JK kwetu watumishi wa umma zitaitafuna CCM mileele hadi pale itakapo fanya maamuzi magumu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
matokeo ya awali ya Uchaguzi yakiemdelea kuonesha kutofautiana na tafiti za Redet na synovate. Je, taasisi zilizofanya utafiti na kutoa matokea hayo ziendelee kufanya kazi zao hapa Tz? Watendaji...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
jamani mwenye update za kule kwa Lowass naomba atupatie wadau, Mungu amesikia kilio cha watanzania kwa kweli
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Wadau, Mpaka sasa CUF wameshachukua majimbo mawili ya Unguja ambayo ni Mji Mkongwa na Mwanakwerekwe. Kumbuka Unguja ndiyo kambi ya CCM. CCM hawategemei kuchukua jimbo lolote lile kule Pemba...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari zilizotufikia muda wanachama na wapenzi wa CUF wamejazana kwenye ofisi za ZEC mwenye taarifa kamili watupe
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau... Nimejiuliza sana kuhusu hiki chama chenye miaka kede wa kede na mfumo unaoongoza nchi tangu izaliwe Nikawaza sana kama CCM inayumbishwa na vyama vya kifamilia (allegedly), na vya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimesikitishwa sana na baadhi ya watanzania wenzangu haswa wa vijijini, yani wanafanya uchaguzi kama mechi ya simba na yanga, hatukomoani hapa, tunasimama juu ya haki kwa kila mtanzania na si sisi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom