Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakuu nimekuwa nikifuatilia namna ambavyo matokeo yanaripotiwa japo si official CCM inaonekana kuweza kutetea kiti cha urais. Kwa nini,Zanzibar inachuana na CUF zaidi kwani CHADEMA haionekani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekuwa natafakali sana kuhusu uchaguzi mkuu wa mwaka huu. sasa naona Dr. Slaa amemfunika Kikwete. Mimi nasafiri jijini dar mara kwa mara. nina ndugu, jamaa na marafiki katika mikoa mikoa ya...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Naanza kumwamini jk. Kwa jinsi matokeo yanavyoenda, hakuna uchakachuaji! Bravo! Angalau wameshindwa hata kama walidhamiria
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Sengerema Manyoni singida Singida mjini
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Yaani natazama international News kote naona sioni sehemu ambayo inautaja uchaguzi huu wa Tanzania ,upo wa Brazil,Upo wa Somali au wamesahau kama nasi leo WaTz wanachagua Raisi ,basi wafuate...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mchukia fisadi tupe habari za bukoba
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kumbe kweli CHADEMA walifanya utafiti kabla ya kumweka DR Slaa kugomea Urais maana haya matokeo ya awali yanatisha saaaaaaaaana duuuuh nimeamini, huyu jamaa kiboko, JK aliwaonya Wana CCM mapema...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Jana nilikuwa katika vituo kadhaa. Mfano mtu amekuwa anapiga kura kituo cha Mwalimu Nyerere (kata ya Ndugumbi) tangu mwaka 2005. mwaka huu anaambiwa jina lako halipo! anakosa haki yake ya kupiga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndio hiyo. KATA 8 matokeo yametangazwa 4 CCM - 4 Upinzani 1. Kata ya Ijugayondo ilikotua Elcopter ya Slaa - CHADEMA (ilikuwa CCM) 2. Kata Kibeta kwa Lwakatare - CHADEMA (ilikuwa CUF) 3...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, vyombo vingi vya habari huko Zenji vimekuwa bubu ktk kufuatilia na kutangaza matokeo ya awali. Tofauti na vyombo km TBC ambayo inaendelea kufuatilia kila tukio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The table below displays data from ten key polls in the run-up to the 2010 general election. You can follow the link to track the average results and select each poll to view the data in more...
0 Reactions
112 Replies
9K Views
Heshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi...
0 Reactions
86 Replies
8K Views
Mimi niko hapa Kata ya Kimandolu anakotoka Meya wa manispaa ya Arusha ndugu Laurent Hedi. Tayari matokeo yametoka na ameshindwa vibaya na Ndugu Estomih malla wa CHADEMA. Katika kata hii ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
raisi CHADEMA 100 CCM 68 CUF 1 HARIBIKA 4 UBUNGE CHADEMA 102 CCM 55 NCCR 7 CUF 1 UDP 1 APPT 1 HARIBIKA 3 DIWANI CHADEMA 98...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ki utaratibu, Rais anayemaliza muda wake ameishaona kuwa kuna uwezekano wa kushindwa. Je ameishafunga vilago ili kama Dr. Slaa akishinda ampishe? Maana wengine wataniuliza eti, je akishinda? Hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ANKAL NA mJENGWA UWA WA KWANZA KWA BREAKING NEWS CCM INAPOFANYA VIZURI KIMYA CHAO INAONEKANA CCM MAMBO SIO SHWALI.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wanabodi nikifuatilia hii tsunami ya ushindi wa Chadema kwa Bara na CUF Zanzibar. Najaribu kuimagine headlines za magazeti ya kesho espc.magazeti ya Mtanzania, Uhuru,Habari Leo etc.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wana JF, Tarifa nilizo zipata muda si zaidi ya 10mins kutoka Arusha Kuna maeneo ya mji huo umeme umekatwa na wako giza tororo, Wakati kura zahesabikana umeme umekatika kwa 10mins na kurudi ...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
habari Wana JF, Natumai wengine kwa sasa wanasherehekea na wengine wapo hospitalini kwa mchakato ulivyowashtua, biafsi naomba kusaidiwa matokeo ya vijana zaidi wawe chama chochote simaind... kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakati napita pita mitaani mida ya saa 1:30 kuangalia matokeo ya kura iringa,katika kila lituo iringa kilikuwa na taa..,except kimoja ambacho kipo located karibu na ofc ya RC iringa ilikuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom