Napenda kuuliza,waraka wa kufungua vyuo novemba baada ya uchaguzi ulitolewa na nani kwenda vyuoni vyote?ki kawaida kila chuo huwa na programme zake na kawaida tz vyuo huanza muhula wa kwanza...
Wana JF,
Naamini chaguzi hi sehemu ya maisha. kwa hiyo napendekeza wale jamaa wanaosoma masters, .... . wachangamkie tenda. Naamini hiyo topic tosha kwa kufanya utafiti. Ila siyo wa kuchakachua...
Jamani, nimepitiwa au ndo hali halisi. Mbona sijasikia kama Tume ya Uchaguzi wako tayari kuruhusu uwepo wa vyombo vya habari kwenye chumba cha kujumlishia na kutangazia matokeo ya uchaguzi mkuu...
Jk akitegemea historia kujirudia yenyewe alitarajia awamu ya pili itakuwa mteremko lakini siasa huwa hazitabiriki kabisa.
Kinyume na matarajio yake amekutana na ghadhabu ya wapigakura wenye kiu...
Katika hali inayoonyesha "La kuvunda halikosi ubani" wana-CCM Arusha wameparanganyika katika makundi matatu makubwa kutokana na kuchukizwa na asiyekuwa mwanajimbo la Arusha mjini, Mheshimiwa...
As we move towards integrating our economies and creating joint market as I read posts on this forum I am getting the sense that alot of people don't really understand the purpose of a common...
hili limekaa vizuri,kufuatana na serikali kuendelea kujishebedua na kusuasua juu ya hatma ya wanvyuo kushiriki uchaguzi mkuu,wanaharakati hao wameamua kuipa masaa 72 kinyumme na hapo ni kuwepo...
FT Interview: Jakaya Kikwete
Published: October 4 2007 23:35 | Last updated: October 4 2007 23:35
Ten years of steady economic growth on the back of a boom in mining and rising tourism has...
Wanachama wote wa CCM ambao ni wapenzi wa dhati kweli kweli - wa chama cha wakulima na wafanyakazi, cha misingi ya Azimio la Arusha, basi October 31, ni kuchagua Chadema ili tupate nafasi ya...
katika pita pita zangu huko Mang'ola Arusha nimekutana na wapigakura wengi ambao wanaghadhabu kubwa na JK kwa ahadi hewa ya mwaka 2005 ya kuwajengea barabara ya lami inayokadiriwa kuwa kilometa...
Wanajamvi,
Tuache uwongo hali ya CCM uchaguzi huu sio nzuri kabisa -mtu yoyote mwenye akili anaweza kuuona. Sual ni kwamba CCM inakabiliwa na upinzani wa aina mbili; yaani toka nje ya chama na...
Wapendwa, Naomba kusaidiwa! Kuna fulani ya campaign yaliyo na picha za wagombea lakini yapo pia yale ambayo yana picha za JK akiwa na watu (yani yanaonesha kuwa amekalia kiti cha uraisi na yuko na...
Wadau;
Habari nilizopata kutoka rafiki yangu aliye Kahama anasema Dr mkombozi wetu amepata mapokezi makubwa mjini humo jana (Jumapili) ambayo hayapata kutokea hapo.
Anasema ingawa...
Wandugu mnaweza sasa hivi kumpata Geeque hewani unaweza kupiga simu +1 312 957 6014 au kama una skype unaweza kumpata kupitia skype:bongo radio
Bongo Radio--Tanzania Best Radio for Bongo Flava...
Kwenye gazeti la Nipashe , 27 Aug. 2010 first lady, Mama Salma Kikwete, amewaomba wanawake wafanye kampeni ya kuwashawishi watu waipigie kura CCM nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba na ikibidi...
Hv JK umewahi kujiuliza kwa nini nyota yako imezimika ghafla? Kama jibu ni siyo, basi huna akili. Je washauri wako wakaribu wanajua jibu? Kama wanajua kwa nini hawajakushauri ili ujirekebishe...
Nawaomba taarifa hii muifikishe kwa wote wapenda mabadiliko kwa haraka
Jana nilipata taarifa kuwa baada ya mpango wa kumpatia Askofu Mokiwa Tshs.11milioni ili asaidie chama Fulani kuwashawishi...
Watetezi wa haki za watoto wa shule tunzeni hii picha. Katika kesi kibao zitakazofunguliwa dhidi ya mafisadi wa ccm, hii ya kulazimisha watoto wa shule kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.