Kuongezeka kwa ubora wa Elimu :SHULE ZA MSINGI
1.Uandikishaji wa Wanafunzi katika shule za msingi umeongezeka kutoka wanafunzi 7,541,208 mwaka 2005 na kufikia 8,441,553 mwaka 2010. Hili...
Nimegundua kuna wanjamii wanapost kwa mtindo wa bora liende.Niwa tahadhalishe kuwa hapa tunaelimishana kwa yale ambayo mmoja hajui.So we must provide information based on informed daata and not...
JK aomba kura kwa kukaa chini
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Jakaya Kikwete ,akiwa ameketi chini ardhini ili kumsikiliza Mama Sara Mageni mkazi wa Wilaya ya...
Mgombea ubunge kwa ticketi ya CCM Jimbo la Arusha Mjini Dkt. Batilda Buriani, anadaiwa kufanikiwa kuukwepa mtego uliowekwa na maafisa wa TAKUKURU Arusha wa kumkamata kwa tuhuma za kutoa fedha kwa...
MAFANIKIO KATIKA SECTA YA AFYA::eek2:
Karibu majengo yote ya Hospitali ya Taifa Muhimbili yamekarabatiwa na vifaa vya kisasa vimekwea vifaa hivyo ni CT Scan ya Kisasa, Magenet Resonance...
EDITOR,
23rd September 2010
A vividly pro-Willibrod Slaa weekly tabloid has used our name in a shameful attempt to prop up the Chadema presidential candidate's campaign, suggesting that he was...
Wana jamvi, katika kipindi hiki ambacho tunaelekea uchaguzi mkuu watanzania hatuna budi kutafakiri kuwa tumetoka wapi,tupo wapi na tunaenda wapi.Maana ya kusema kuwa tunahitaji viongozi bora na si...
JE JK ALIMTUMA KIBOSILE WA DAILY NEWS KUBEZA SHERIA YA UCHAGUZI?
Kutoka TAZANIA DAIMA ambayo nakala yake imeambatanishwa na ninamnukuu Dr. Slaa:-
Akizungumzia tahariri hiyo wakati...
Kwanza napenda kufurah kwa kuona jinsi vijana walivyokuwana muamko wa kila sehemu kuataka mabadiliko tumeona mod wametuwekea jukwaa la uchaguzi ombi langu si haba kukawepo na jukwaa la baada ya...
LULA AMEPOTOSHA HOJA ZINAZOMHUSU DK. SLAA
Novatus .S. kambota
Leo nimejitokeza kwenye gazeti hili la Raia Mwema ili kujibu makala ya mwandishi Lula wa Ndali Mwananzela kwenye toleo namba 149 la...
Nauliza: Kutokana na yaliyojiri hivi karibuni -- hasa kile kiwewe kilichompata mgombea urais wa CCM kutokana na wimbi kali la nguvu za Dr Slaa -- kwanini mgombea huyo asiamuru kufutwa kwa kesi za...
In the past 10 years African economies have grown by 6% on average and foreign investment and exports have increased four-fold. Growing external demand for its goods and Africa's growth as a...
Kabla ya kupanda hapa jukwaani kuzungumza nanyi, mliniona nazungumza na simu alikuwa Balozi wa Marekani, ananiuliza kama nimesikia hotuba ya Rais Obama jana usiku kwenye Umoja wa Mataifa,...
Wakuu,
Leo chama cha Chadema walikuwa na mkutano wao wa kampeini katika kata ya BILELE katika eneo la nje ya Soko kuu ambapo watu walijaa sana na kulazimika kuifunga barabara ya Jamhuri kwa masaa...
WAGOMBEA urais kwa tiketi ya vyama vya Chadema na CUF jana waliendelea na kampeni zao wakitumia mbinu tofauti za kujenga hoja, huku Willibrod Slaa akimtaka mkuu wa wilaya kupanda jukwaani na...
Ndugu zangu!
Naomba tuchambue sera hizi za vyama objectively kutoka kwenye ilani zenyewe za vyama.
CCM: Ilani ya uchaguzi 2010-2015
9:Majukumu ya Msingi
(a) Kuimarisha na kuboresha elimu.
(b)...
Hali ya Kisiasa Tanzania Ni Ubabaishaji 60 29.4%
Inahitaji uongozi Mpya 54 26.5%
Katiba Irekebishwe 32 15.7%
Inaridhisha 26 12.7%
Inahitaji Kuboreshwa 23 11.3%
Hairidhishi kabisa 9 4.4%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.