Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema wanawasiliana na wanasheria wao ili kuona hatua za kuchukua baada ya kungundua kasoro nyingi katika mchakato wa uchaguzi wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Deus Bugaywa INAWEZEKANA kuwa ni kiburi au jeuri ya madaraka au tu hulka inachukua mkondo wake; wahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa. Hii ni kweli kwani kitu kikianza kuoza hakiozi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilibahatika kuwemo katika msafara wa wapiganaji wa misituni wasiokuwa na kombati wala vyeo wala pasipoti kutembelea nchi zinazoongozwa na maraisi waliokuwa wapiganaji wa misituni za Rwanda,Sudan...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni ukweli usiofichika kuwa ukiacha madhehebu ya dini, hakuna taasisi au chombo chochote chenye uwezo wa kuimbia CCM we acha unavyofanya si vizuri. Ulipotoka waraka wa Kanisa la Kikatoliki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
2009-10-03 10:15:00 TRA, Tanesco in showdown over stolen taxTanesco CEO Dr Idris RashidIf the money was stolen from TRA that has nothing to do with Tanesco, says utility official BY Mkinga...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salim Said Mwananchi October 2, 2009 Mkuu anayeshughulikia Sera na Bunge Philip Marmo, amesema Katiba ya Jamhuri ya Muungano inakwamisha utekelezaji wa mapendekezo ya Kamati teule ya Bunge...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siku ya Jumatano 30 Septemba 09 Judge Warioba alinukuliwa na vyombo vya habari hapa nchini akizungumzia mambo mbali mbali ikiwemo na swala la ufisadi. Aligusia kuhusu ufisadi wa EPA, Meremeta na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Date::10/2/2009Kamati kumhoji waziri kuhusu operesheni Loliondo Exuper Kachenje WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, atalazimika kutoa ufafanuzi mbele ya Kamati ya Bunge ya Ardhi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kamati kumhoji waziri kuhusu operesheni Loliondo Exuper Kachenje WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, atalazimika kutoa ufafanuzi mbele ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
'Waliohukumiwa kifo watej wenzao' Written by Administrator Thursday, 01 October 2009 07:12 Na Benedict Kaguo MWENYEKITI wa Chama cha Albino nchini (TAS), Bw. Ernest Kimaya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Madiwani Korogwe wamtimua mhasibu, DED amkingia kifua Tuesday, 29 September 2009 16:30 Na Yusuph Mussa, Korogwe BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe wamemtimua...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Waliofanyiwa mtihani IFM wakalia kuti kavu Thursday, 01 October 2009 08:19 Grace Ndossa na Neema Kalaliche WANAFUNZI wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) waliofanyiwa mtihani wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
RAIS wa Zanzibar na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Amani Abeid Karume amesema hali ni shuwari Zanzibar na kuwataka wanasiasa katika Kisiwa cha Pemba kupingana kwa hoja na wale...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Salaam, Niko ndani ya ukumbi huu wa AICC unapofanyika mkutano wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola. CBA. Kinachoendelea sasa ni wajumbe wameshakaa sehemu zao, unasubiriwa ujio wa Rais...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Jana katika taarifa mbalimbali za habari, Makamu wa Rais Mh. Dr. Shein alisikika akiwahutubia wananchi kwamba serikali inatambua matatizo ya waalimu kama ambavyo yeye na viongozi wenzanke...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM), Serikali yake na watendaji wa umma (civil servants) wanatangaza na kuhamasisha sera/kauli mbiu mpya ya KILIMO KWANZA. Taifa letu limepita katika vipindi mbalimbali...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Godfrey Dilunga UNAPOZUNGUMZIA uwezo wa kiuongozi wa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, yapo masuala muhimu ambayo ni lazima kuyataja, kuyatafakari na hata kuhoji. Masuala kama kifo cha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aliwachachafya maprofesa Mlimani Alikwenda vitani Vietnam na Msumbiji Na Born Again Pagan KWA wale wenye kupenda kumjua Yoweri Kaguta Museveni, mwanafunzi wa Mlimani, someni yafuatayo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kule nako kuna madudu kibao yanaendelea na pamoja na uhuni unaofanywa na baadhi ya watu kama vile kutolipa intime ni ukweli usiopingika kuwa itakuwa ni project ambayo CCM na JK atajivunia sana...
0 Reactions
76 Replies
13K Views
Back
Top Bottom