Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

KAMPUNI ya Usambazaji Maji kwa Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, Dawasco, imekata maji katika Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam kwa kujiunganishia maji kiholela. Hoteli hiyo imekuwa ikitumia...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kesho siku ya Jumapili kuanzia majira ya saa saba za mchana (EST) sawa na saa tatu za usiku (Saa za Afrika ya Mashariki) tunatarajia kuwa na mahojiano na Dr. Harrison Mwakyembe Mbunge wa Kyela na...
0 Reactions
42 Replies
7K Views
SIKU moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza matokeo yanayoonyesha asilimia 65 ya wapigakura wote kutojitokeza, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejigamba kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikishinda ubunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini, chama hicho kimeshindwa katika viti vya udiwani katika Kata za Machinjioni Kigoma Ujiji Kigoma na Mnyawa Tandahimba...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Gazeti la Mwanahalisi huenda likajikuta tena matatani kwa kufungiwa kama ilivyokuwa awali baada ya toleo jipya la 28 Jan.-Feb.3, 2009 kuchapisha habari kama zile za awali kuhusu baadhi ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha. Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wizara ya Habari kupitia Idara yake ya Maelezo imesimamisha Usajili wa magazeti kwa sababu ambazo mpaka sasa hivi hatuzijui. Tofauti na Kenya ambako unaweza kuanzisha gazeti halafu baadaye...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
CCM imeshindwa vibaya na CHADEMA katika uchaguzi wa udiwani wa kata ya machinjiano. Kwenye kata hiyo, CCM iliweka kambi kwa siku 30 na viongozi mbalimbali wa kitaifa wa chama hicho walikwenda...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mini-budget plan to be moved in Tanzania Parliament Share Bookmark Print Email Email this article to a friend Friend's Email Address Your Email Message Submit Cancel...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ikiwa mara ya kwanza tangu awe raisi wa taifa kubwa kiumbo, kubwa kiuchumi kuliko zote dunia, kubwa kijeshi, raisi Obama jana alihutbia press conference. katika press conference hiyo Obama...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bila ya kuyaweka majina ya waliorudisha mapesa hayo na kiasi walichorudisha na pia pesa hizo zimewekwa Bank gani, sitaamini kwamba hata senti tano ilirudishwa huu ni usanii wa hali juu. The...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
EDITORIAL: Let MPs express their views freely on matters of public importance EDITOR THIS DAY DAR ES SALAAM THE 14th parliamentary session begins in Dodoma today to deal with some...
0 Reactions
0 Replies
980 Views
Scholarship to honour leader of Tanzania Date: 27 January 2009 A NEW Julius Nyerere Scholarship at Edinburgh University will commemorate the life of Tanzania's first president. In 1949...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dar road works at risk as WB bans 3 firms The three companies, which are involved in multimillion-dollar road and bridge construction works in the country, have already been handed letters to...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Watawala mmemsikia Obama? Ansbert Ngurumo KASI ya wananchi kuishutumu na kuituhumu Serikali ya Awamu ya Tatu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanabodi, wakati nafanya uchambuzi kuhusu matokeo ya Mbeya, nimeona katika archive yetu hotuba ya Bwana Shitambala, nimeisoma imenifanya nijiulize maswali mbalimbali ambayo pengine wapo ambao mna...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
2009-01-24 07:34:00 Richmond scam taught us - Sitta By Vicent Mnyanyika THE CITIZEN The Richmond emergency power supply scandal that was investigated upon by Parliament has shown...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Yowel Kaguta Museveni leo anatimiza miaka 23 madarakani baada ya kuipindua serikali ya kijeshi ya Major jenerali Tito Okello Mnamo January 26,1986. Museveni ameonyesha kila dalili ya kwamba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Polisi watawanya msafara wa Mbowe Na Mussa Juma MSAFARA wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana ulivunjwa wa polisi kwa madai kuwa ungesababisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jumapili Jan 25, 2009 • Mifumo ya ubaguzi haipaswi kukumbatiwa Habari Zinazoshabihiana Na Peter Masangwa Majira INASIKITISHA Tanzania kugeuka uwanja wa mapambano kati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom