Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nikiwa mmoja wa Beneficiaries, Napenda kuchukua Nafasi hii kumpongeza kiongozi wetu wa TUCTA bwana Nestory Ngula kwa kazi nzuri aliyoifanya. Mimi binafsi nilikuwa naidai serikali malimbikizo ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HIVI kweli tunazungumzia jinsi ya kutumia misaada ipasavyo? Mwaka huu 2008? Hii si aibu jamaa? YAMKINI ni utegemezi wetu wa msaad ndio uliotufukisha hapa tulipo. Kwa sababu hii Waafrika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WAZIRI MHUSIKA KALALA- AU ANAMNGOJEA RAIS AMWAMBIE? KWA KUWA hii ni wiki ya Nenda kwa Usalama Bunge nje ya Bunge limeamua kuanza kuuliza maswali ya msingi ambayo yanakusudiwa kwamba yakipatiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanasiasa mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru(Pichani),amesema Chama Cha Mapinduzi(CCM), kitahakikisha kinawashughulikia wapinzani na kuhakikisha wanaumaliza kabisa upinzani. Kingunge...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanafunzi aliwa na simba 2008-09-01 09:13:16 Na Futuna Selemani, Mkuranga Mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya Msingi, Mwanzega katika Kata ya Mbezi, Tarafa ya Shungumbweni...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Yup, that's right, Divided Attention za Wadanganyika. Why? Coz inashangaza kuona jinsi wadangayika wa JF wanaoijiita "wachukia mafisadi" walivyokuwa "caught up" na kuelekeza attention zao...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mbunge wa Bunge la JMT(CCM) ameponda hoja ya Kambi ya Upinzani ya kutaka mawaziri wasiteuliwe kati ya Wabunge. Bwana Mrope amesema kwamba taifa haliwezi kuokota mawaziri toka mitaani badala yake...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa tangazo la spika wa Bunge alilolitoa muda mchache uliopita ni kuwa Waziri mkuu atawasilisha taarifa yake siku ya alhamisi kuhusiana na utekelezaji wa maazimio 21 ya Bunge kuhusiana...
0 Reactions
175 Replies
23K Views
Mwananchi Date::8/28/2008 Wastaafu Afrika Mashariki waandamana tena hadi Ikulu Na Patricia Kimelemeta WAASTAFU wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jana wameandamana hadi Ikulu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kongamano la Ubungo lilifanyika, na washiriki waliazimia kufanya maandamano siku za usoni. Wameunda Kamati ya Maandalizi. Ifuatayo ni mada ambayo niliwasilisha katika kongamano hilo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
........Nimemaliza kuangalia mbio za marathon ambazo angalau zinatutoaga..washiriki walikuwa 98..wakajitoa 22...wamemaliza 76 ..mtanzania amekuwa wa 55[samson ramadhani]... karibu nyumbani...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Ndiyo sababu wakaona bora wakupue mabilioni ya EPA ili kugharamia uchaguzi mkuu wa 2005. Wanachama hawatoi tena ada, wameshashtuka! Date::8/25/2008 Ukata wakwamisha mchakato wa uchaguzi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amealikwa kuhudhuria mkutano mkuu wa Chama cha Democratic, ambao utampitisha rasmi mgombea urais wa chama hicho, Seneta...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Tanzania wary of free movement of people, labour By FRANCIS AYIEKO THE EAST AFRICAN August 23 2008 at 16:49 The issue of free movement of persons and labour remained thorny even as...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwaka 1967, Rais Julius Nyerere aliunga mkono kampeni ya wananchi wa Biafra, nchini Nigeria, kutaka kujitenga. Alipeleka jeshi kule kwenda kusaidia wapiganaji wa kundi la MASSOB (Movement for...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kale ka"inzi" ka Mwkjj kamenipitia hapa na kunitonya kuwa Muungwana anaingia Washington DC jumatano ijayo kwa state visit ya George Kichaka. Naona timing itakuwa problematic kwa sababu camera zote...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
$25m properties nabbed over BoT fraud The Bank of Tanzania headquarters in Dar es Salaam. By MIKE MANDE, JOSEPH MWAMUNYANGE and WILFRED EDWIN THE EAST AFRICAN August 23 2008 at 08:15...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
huu ukaribu wa Tanzania na comoro umetoka wapi? majeshi tuluyopeleka huko ilikuiwa kwa interest ya nani? na kwa gharama za nani? hotuba ya wizara ya mambo ya nje ilitawaliwa na mambo ya commoro...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
this is the moment of truth. let as be since and disclose what we did in secret ballots!!! did you vote for Kikwete? what were your expectations? if you voted for him, do you regret? is there...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
WATOTO wetu wamefanya kile ambacho sisi wazazi wao tumeshindwa, na badala yake tumeishia kufanya kile watoto hao wanachoweza kusema ni kukalia politiki tu. Watoto wetu hawa wanaosoma shule za...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom