Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Mwananchi-leo WANASIASA wa Tanzania siku hizi, wanashangaza kutokana na tabia yao ya kutaka kuonekana safi, hata wanapotuhumiwa na mambo mazito yanayohusiana na matumizi mabaya ya nafasi na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Huwezi kukwepa wajibu wako kama kiongozi. Uongozi kazi yake ni kuamua mambo mazito, na wakati wote unaweza kuwa na wasiwasi, lakini unaamua kwa maslahi ya taifa. Hata kama katika kuamua huko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Heshima zenu wana JF, Tunawashukuru nyote kwa ushirikiano mnaotupa. Aidha tunaomba ushirikiano zaidi katika hatua mpya tunayokaribia kuingia... Siku si nyingi zijazo tutafanya marebisho makubwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
ThisDay, May 7th, 2008 ANALYSIS: JK stuck at Mkapa’s bridge? IBRAHIM JOHN Dar es Salaam TANZANIANS have stumbled upon stunning revelations on a sealed chapter of history that was never...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Chama cha Wananchi CUF kimesema kiko tayari kurejea kwenye mazungumzo ya muafaka na Chama cha Mapinduzi endapo mazungumzo hayo sasa yataongozwa na Rais Kikwete mwenyewe kama Mwenyekiti. Mwenyekiti...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
  • Closed
Shahidi kesi ya Kubenea: Watuhumiwa waliahidiwa mil. 2/- Na Mwandishi Wetu SHAHIDI wa kwanza katika kesi ya kuwajeruhi na kuwamwagia tindikali waandishi wawili wa magazeti ya Mwanahalisi na...
0 Reactions
107 Replies
17K Views
mwezi huu siku ya sikukuu ya wafanyakazi Jiji la London waliweza kuchagua Mayor wao japo siku hiyo ilikuwa ni siku ya wafanyakazi ila chama cha wafanyakazi/Labour kilishindwa kuitumia siku hiyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1 CCM (Chama cha Mapinduzi) is the quantity of stupidity in 1000 mature people who have lost 63.3% or (1-exp(-1)) of their reasoning power. The level of stupidity in a normal person is between 2...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kweli kabisa jama ukitaka kumuua kobe wewe shika jisu lako kubwa tu halafu mwekee majani kinywani na kuvizia akichiomoza kichwa tu unamkata! usemi huu unadhihirika katika mambo mengi sana katika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo ni Muungano 2008-04-26 09:18:54 Na Mhariri. Leo ni Kumbukumbu ya Siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutimiza miaka 44 ambapo sherehe hizo kitaifa, zinafanyika katika Uwanja wa...
0 Reactions
74 Replies
9K Views
Pinda tumechoka na usanii. Fisadi Mkapa kama kiongozi wa CCM alijihusisha na ufisadi, Sumaye naye kama waziri mkuu alikuwamo kwenye ufisadi, Lowassa naye, Karamagi, Msabaha, Chenge, Mramba...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Juzi juzi nilikuwa matembezini katika wilaya ya Karagwe. Kilichonishangaza ni kukuta barabara kati ya makao makuu ya wilaya na tarafa moja ya nyabionza, umbali wa zaidi ya km 30, inatengenezwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Kapelekwa Lugalo na hali yake ni mbaya sana still developing...na source yangu ni very credible...ile ile kama iliyonipa habari za Chenge kuresign Anyway kama kanywishwa au kanywa mwenyewe then...
0 Reactions
270 Replies
31K Views
Ndugu wa JF It is not time to talk na kulumbana na mafisadi but time to act .Let us Act now .Mwanakijiji pokea minchango .Mafisadi wanataka kutumaliza .Wakimmaliza Kubenea wana hamia Tanzania...
0 Reactions
322 Replies
32K Views
Hawa wamakumbukwaje? Kwangu mimi hawa ndio mashujaa pamoja na Wazanzibar waliomwaga damu kwenye mapinduzi Asha
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Je Umoja wa Nchi za Afrika lazima? Bara letu hili la Afrika ambalo linajulikana Ulimwenguni kama jeusi, limejaa UMASIKINI MAGONJWA na VITA na wakati huhuo ni bara ambalo limejaa Rasilimali-...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wandugu, Hivi karibuni nilialikwa kwenye screening ya hii filamu iitwayo What are we doing here? Ni filamu nzuri kwa kweli. Inahusu: WHAT ARE WE DOING HERE? explores why the charity given to...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakenya kukomba almasi za Tanzania :: Kiwanda kujengwa Nairobi kwa msaada wa Urusi :: Ahadi za kuzuia madini ghafi bado hazijatekelezwa :: Madini yetu yawatajirisha watu India, Afrika Kusini...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
CUF: SMZ ya Karume ina Ukaburu Mwandishi Wetu Aprili 30, 2008 KUNA madai ya kitakwimu, ambayo yanaonyesha kuwa kuna ubaguzi wa dhahiri dhidi ya Wazanzibari wenye asili ya Pemba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Imekuwa kama vile serikali ya Kikwete ni serikali yenye mikosi vile, kwa maana kila jambo wanalojaribu kulifanya hawaachi kukosea.wakitaka kuboresha Elimu ya juu wanakosea,wakitaka kuboresha...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Back
Top Bottom