Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kwema Wakuu, Ujenzi umekua gharama sana sababu ya kuongezeka kwa bei za bidhaa kunakoendana na ongezeko la bidhaa zingine zisizo za ujenzi pia. Kwa aliejenga miaka 10 nyuma gharama hizo hizo...
11 Reactions
162 Replies
22K Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Mhandisi, Aisha Amour, kutafuta haraka mkandarasi wa kujenga daraja la Nzali, lililopo wilayani Chamwino...
0 Reactions
0 Replies
346 Views
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Mhandisi Aisha Amour kuwasimamia wataalamu kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS) kuhakikisha hadi kufikia mwezi...
0 Reactions
0 Replies
370 Views
WAZIRI BASHUNGWA AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOA DODOMA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amewasili Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa, Rosemary Senyamule, kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Wadau habarini Hivi gharama ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu dinning na sitting room mpaka kufikia mwenye lentre inaweza kugharim shingap za kitanzania Hapa naulizia kuanzia msingi, gharama za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba? Nimempata fundi aniinulie boma...
3 Reactions
74 Replies
41K Views
Habari wakuu,katika kubana matumizi fundi kaniambia ujenzi wa lenta kwa kusuka nondo 3 unafaa,naomba ushauri wananzengo
1 Reactions
124 Replies
48K Views
Nahitaji kujua utofauti wa hizi rangi ambazo ni vinyl superlux matt emulsion, na silk ambazo sio matt, hizo za kwanza ni zile za kuchanganya na mashine au ni zipi, na matumizi,
0 Reactions
0 Replies
326 Views
Wadau naombeni kujua gharama ya kutumia megapanels kujengea ukuta na pamoja na roofing. Je, ujenzi huu wa kutumia mega panels na ule wa kutumia tofali na bati, upi ni nafuu?. Pia naomba kujua bei...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, Nipo kwenye changamoto na jirani yangu hapa anayetaka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu. Upande mmoja na cha kushangaza analazimisha na Ujenzi umeshafikia level ya...
25 Reactions
101 Replies
12K Views
Wakuu nisiwachoshe, kama picha inavoonyesha hapa, nimejenga mfumo huu wa nyumba. Nifanye nini kuzuia maji kupenya ukutani na kuolowesha hadi ukuta wa ndani? kama kuna nyenzo naweza kutumia...
6 Reactions
51 Replies
5K Views
Ndugu zangu wanajamii forums nielimisheni: Hapo kwetu Bagamoyo kuna ramani mbili; moja ni mpango mjini yaani kwa Chingereza wameniambia wanaita TP. Nyingine wanaita kitu kama saveyi. Vyote hivi...
0 Reactions
3 Replies
425 Views
Wakuu Nina ka ujenzi kanaendelea nimefikia hatua ya kupaua nimeona hii kampuni imefungua ofisi hapa mwanza karibu na site yangu na bei zao sio mbaya wasiwasi wangu ni ubora je kuna mtu anauzoefu...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Ukienda nchi za Ulaya na Marekani, nyumba zimepangwa eneo la wazi na hakuna uzio wa ukuta wala machuma. Nyumba zenyewe za mbao, wanaishi kirahisi sana. Ukija Tanganyika, nyumba zimejengwa kwa...
9 Reactions
59 Replies
6K Views
Nyumba yenye chumba kimoja self sebule na jiko inaweza tumia tofali ngapi wadau
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Kumekuwa na nguvu kubwa na kutangaza mkeka mbao na marble sheet. Wataalamu wanaojua mambo, ningependa kujua uimara wa hizo bidhaa mpya ambazo mimi nazifananisha na plastiki tu, kama zile kapeti.
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jamvi.. Hivi karibuni nategemea kufanya wiring kwenye mji wangu, lakini kuna mdau alinipa taarifa kuhusu vifaa vya tronics, kuwa kwa sasa tronic inazlishwa na mchina hivyo uhakika wa...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni cement inayonishangaza kidogo; ukiwa unaitumia mfano kama mchanga ni mweupe basi ukitumia mchanga unakuwa mweusi na ukitia maji unakua kama una mafuta au oil ivi, yani ipo tofauti na cement...
0 Reactions
4 Replies
787 Views
Huwa naziona sana floor hizi hususani kwenye taasisi Kubwa. Vipi kwa upande wa nyumba za kawaida za kuishi. Zinafaa kutumika? Karibuni.
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…