Nyumba nyingi za Ulaya na Marekani hujengwa kwa mtindo huu, na wakishafunika juu yake kwa makaratasi na maplastic inaonekana bomba sana kumbe ni mbao tu na hata sakafu imesakafishwa kwa mbao...
Wadau naomba kama kuna mdau ana software ya kudizaini paa la nyumba katika 3D format, naomba anisaidie tafadhari!!
Nataka software ambayo ni rahisi kutumia, isiyohitaji degree ya architecture au...
WAKUU HABARI ZENU ebwana nilikuwa najaribu kuangalia picha za hii nyumba inayopatikana hapa palo alto calofonia but nikawa nafikiria hii nyumba japokuwa ni kind expensive huku kibongo bongo kama...
Habari zenu wanajamvini, kwanza kabisa nimezunguka kutafuta viwanja kila sehemu bei juu yaani kila kitu siku hizi kimepanda, msadaa wa kwanza nataka kununua kiwanja nielekezeni ni mitaa ya wapi...
Jamani tafadhali naomba msaada wa software za mambo ya civili engineering hasa mambo ya ku design water structure kama mabwawa,water supply kuna moja inaitwa watergerm nani anayo?
Shirikisho la Mashirika na vyama vinavyotetea masuala ya Makazi Tanzania (HAFOTA) wamesema wanaandaa mpango wa kuzibana benki kubwa kupunguza riba na kuongeza muda wa marejesho mpaka miaka 15...
Ujenzi wa nyumba kwa siku moja wazinduliwa.
Na Peter Mwenda: Majira
TATIZO sugu la ukosefu wa makazi nchini limepata ufumbuzi baada ya kampuni ya Moladi Framework ya Afrika Kusini kuzindua...
By David Stephenson
Published by Elsevier Scientific Pub. Co., 1976
Original from the University of Michigan
ISBN 0444414177, 9780444414175
222 pages
NOTE:
Picture above shows newer, 3rd...
Baada ya kukaa ughaibuni kwa muda mrefu nikawaza kujenga kibanda changu huko mbweni hivyo nikaomba ushauri kutoka kwa ndugu na jamaa.Vitu vingi nikiuliza naambiwa ni vya kutoka South Africa,mabati...
Jamanieee, samahanini, pamoja na kwamba nitakuwa naiba haki miliki ya watu, naombeni kama kuna mtu mwenye ramani za kujenga nyumba, yaani design za nyumba, muwe mnatuwekea hapa tuweze kudownload...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.