Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Kwanza kabisa anza na kuchimba na kujengea mashimo ya choo. Hii itasaidia ule udongo au mawe uyajaze ndani ya msingi wa nyumba na kama ni sehemu ya mchanga basi utatumia ule mchanga kufyatulia...
19 Reactions
94 Replies
36K Views
Serikali imeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa nyumba 10,000 kwa ajili ya makazi ya wanajeshi kote nchini. Hayo yalisemwa na Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Josephat...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
NHC wana mradi mzuri wa ujenzi wa nyumba. Hivi kwanini wasingejenga ghorofa (condominiums) badala ya nyumba za kawaida (za chini) ambazo zinakula maeneo ya ardhi kuliko ghorofa ambaz0 ujenzi wake...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Wadau namalizia ujenzi wa kibanda changu na sasa nipo kwenye ujenz wa fensi ya tofali. Napata kigugumizi nijenge fensi ya namna gani kati ya ile yenye kuta ndefu kwenda juu kiasi mtu wa nje haoni...
0 Reactions
11 Replies
20K Views
Mim ni graduate na Sina uzoefu wa hiyo biashara, lakini ndo biashara niliyo amua niifanye, naomba ushauri kwa wenye uzoefu nayo na kwa kua mtaji wangu ni mdogo. Naomba ushauri nianze na vitu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasalaam wana JF, Naomba kwa wazoefu kujulishwa makadirio ya kupaua nyumba kama hii hapa (picha) kwa maeneo ya Kibaha. Nategemea kuezeka kwa bati sio vigae. Upana wa nyumba ni kama mita 10 na...
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Mi nikijana ambaye nahitaji kujenga ila nataka kujenga nyumba nzuri kidogo ambayo ikotofauti na jirani zangu Kwa wale mafundi cement mifuko mingapi inaitajika hapo juu vyumba 2 na sebule chini...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za mchana wadau, Kama mnavyojua vijana siku hizi tunachakarika ili tuweze kukaa kwenye nyumba zetu, ila sijaona uzi unaozungumzia ujenzi wa nyuma, watu kupeana ideas mbalimbali za...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
natafuta partner mwenye vifaa vya ujenzi.kampuni valid na kazi zipo kibao naftuta mm.call 0712660713
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nahitaji kujenga nyumba kwa sasa,idadi ya vyumba ni vinne, jiko, store, public toilet,vyote ndani kwa ndani" msaada unahitajika hapa 1:kwa makadirio ya jumla niandae tsh. ngapi mpaka nyumba...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
wanajf sikuhizi maeneo mbalimbali nchini viwanja vinauzwa si tena kama zamani unapata shamba, nusu heka etc, kiwanja hiki kinaukubwa wa mita 15 kwa mita 20, wataalamu wa ujenzi, niambieni hiki...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia wakandarasi wa mabarabara sehemu mbalimbali, nikagundua kuwa wengi wao baada ya kumaliza shughuli za ujenzi wa barabara walizopewa, vifaa vungi kama makatapira...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Members nina kiasi cha Tshs.milioni hamsini je ninaweza kujenga nyumba ya vyumba vinne ikaisha? Naomba ushauri kutoka kwa wale ambao wameshajenga nyumba. Na kama hujajenga basi unafahamu usisite...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Sekta ya ujenzi wa nyumba imezidi kupata ahueni baada ya Benki ya CRDB kuzindua mkopo maalumu kwa ajili ya ujenzi wa nyumba uitwao ‘Jijenge’, utakaokuwa mfumbuzi wa tatizo la changamoto...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Habari wana JF, jana usiku kibaka kabenjua luva za madirisha nyumbani kwangu na kufanikiwa kuondoka na simu HTC ya wife! Kotokana na tukio hili imenibidi long term plan yangu ya kujenga uzio iwe...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wa JF , naomba msaada wa kimawazo na ushauri, Nina Mil.10 ninaplan ya kujenga nyumba yenye vyumba 3, Je kwa hiyo pesa nyumba yangu itaishia wapi? Kwa wenye uzoefu wa mambo ya ujenzi...
1 Reactions
74 Replies
17K Views
Heshima kwenu wakuu, Mwanajamvi anayekwenda kwa jina ritz alituhabarisha juu ya mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa kitongoji cha Kaloleni. Mradi wa ujenzi Kaloleni umekaa kifisadi zipo sababu...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
JAMANI WADAU HAABARI ZA JIONI NAOMBA KUULIZA ETI UTARATIBU WA UJENZI WA NYUMBA KATIKA MIJI NA MAJIJI, MANSPAA PAMOJA NA NYUMBA SERIKALI NA TAASISI ZAKE NI UTARATIBU UPI UNAOTAKIWA KUFUATWA NA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kikwete sasa ameanza kazi, Nondo mm 12 ef 14500, sementi mfuko sh 12400,misumari,bati bei ni bwereree,hadi raha.kama una ujenzi wako wakati ni huu.
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Habari wanajamii ninaduka la vifaa vya ujenzi hapa Dar maeneo ya kitunda mtaji wangu mdogo nahitaji mtu anayeuza vifaa vya ujenzi kwa bei ya jumla anisaidie vifaa kama Rangi, vifaa vya umeme...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom