Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS), Eng. Mohamed Besta kufanya tathmini ya eneo la Mtanana katika barabara kuu ya Morogoro – Dodoma...
1 Reactions
0 Replies
565 Views
Naomba wale wataalamu wa ujenzi engineering wanipe gharama za mjengo kama huu
1 Reactions
7 Replies
737 Views
Natafuta fundi tiles mzuri mwenye kazi safi. Asante
0 Reactions
6 Replies
506 Views
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kujenga na kupanua Miundombinu ya Viwanja vya Ndege ili kujihakikishia utoaji wa huduma ndani ya nchi na nchi Jirani Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri...
1 Reactions
3 Replies
657 Views
Hii inamhusu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Mheshimiwa watu wako wataangamia kwa kukosa maarifa! Kuna watu wanafanya biashara ya kutengeneza na kuuzwa matofali kila mahali. Ni...
4 Reactions
1 Replies
356 Views
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi inaandaa Mpango Mkuu (Master Plan) wa Miundombinu ya nchi kulingana na mahitaji ya kiuchumi na kijamii itakayowezesha kurahisisha usafiri na usafrishaji kulingana...
0 Reactions
2 Replies
349 Views
Habari wakuu. Nimekua nikiona members humu wakiulizia kuhusu idadi ya material kwa nyumba. Sasa kwa ufupi ukitaka kupiga hesabu kwa uhakika unatakiwa kujua 1. urefu (running meter) wa nyumba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nimeona kuna post za members kutaka kujua idadi ya material ya nyumba. Sasa Ili kuanza ujenzi unatakiwa kuwa angalau na idadi ya material ya kuanza kujenga mpaka kupaua. Kisha...
1 Reactions
0 Replies
987 Views
Wakuu wasaalam Mwezi huu nimefanikiwa kupaua nyumba yangu, kuweka magrill, kuchimba shimo la choo na nina mpango wa kupiga plasta nadni na nje pamoja na jamvi. kinachoniumiza kichwa mwezi Januari...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Fyi Unadhani imejengwa kwa sh ngap??
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Kuna kampuni inaitwa noble real estate wanuza viwanja madale kwa sh 40,000 kwa square meter, nataka kiwanja cha 800sqm ambapo jumla ni 32M, ukizingatia ni pesa nyingi na ni saving yangu na mikopo...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
habari za jioni wadau heri ya mwaka.mpya naomba kuuliza kama nimepata coordinate za eneo usiku kwaajili ya kurasimisha kiwanja changu nawezaje kupata ramani ya mipango miji ya eneo husika na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwema wakuu, Mdogo wenu huu mwaka nimejitafuta nataka nikanunue uwanja mwsho wa upepo uko ndani ndani. Sasa sijui chochote kuhusiana na kununua uwanja naombeni mnipe muongozo mdogo wenu napoenda...
0 Reactions
8 Replies
702 Views
Habari ya wakati huu, poleni na hongereni pia na harakati za kila siku na nawatakia heri na pongezi za msimu huu wa sikukuu Uzi huu uko inspired na nyuzi mbali mbali kutoka hapa jf, lakini zaidi...
1 Reactions
15 Replies
695 Views
Hi, Kwa yeyote anaeweza kunisaidia kupata connection ya nyumba NHC mkoa wa Dsm, nahitaji kupanga katika hizi nyumba mda wowote kuanzia sasa. Naombeni msaada wenu please, naamini wapo wapangaji...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna uzi humu tuliwahi kuchangia jinsi majrani wanavyoleta tafrani ya mipaka kwa sababu ya maisha yao duni. Hivi na nyie mmewahi kukutana na adha hii ya kujenga kamjengo kako ka ndoto zako lakini...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam, Re bagging kwa tafsiri ya kiingereza…to unbag an item and put it in another bag, or to put an item back into its bag na kwa tafsiri isiyo rasmi ya lugha ya kiswahili ni kutoa kitu kwenye...
0 Reactions
2 Replies
367 Views
Kila mtu ana dream yake Muda mrefu saana niliona nyumba mbali mbali walizojenga watu lakini kiukweli hazikunishtua mshipa ht kidogo Sasa hivi karibuni tiktok niliona jengo fulani...
5 Reactions
64 Replies
22K Views
Habari. Muda wa ku renew bima za vijibanda vyangu umekaribia ila kusema ukweli kampuni niliyopo niliingia tu kwa ushawishi wa rafiki yangu anayefanya hapo ila natamani kujua kama kuna kampuni...
0 Reactions
7 Replies
844 Views
WAZIRI BASHUNGWA: BILIONI 11.4 KUJENGA DARAJA LA SUKUMA NA BARABARA UNGANISHI KM 2.2 Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tayari ameshatoa Shilingi Bilioni...
0 Reactions
3 Replies
490 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…