Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

JF Prefixes:

Salaam wakuu, Kama mnavyojua ndugu zangu ni lazima tuhame kwa wazazi wetu tukaanze maisha. Na kutokana na hayo hatuna budi kufikiria kuwa na makazi yetu. Uhalisia huo umenifanya niijiulize...
2 Reactions
22 Replies
10K Views
NYUMBA 196 ZILIZOJENGWA NA WHI JIJINI DODOMA ZAIKOSHA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA, KATIBA NA SHERIA Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Joseph...
0 Reactions
6 Replies
848 Views
Hongereni mliofikia hatua hii na ambao walishaipita muda mrefu. Msingi, Lenta, Lipu hadi Bati. Karibuni
5 Reactions
92 Replies
8K Views
Habar wakuu Kwanza Natafuta kampuni(sio mtu) iliobobea kwenye maswala ya plumbing inayoweza kufanya plumbing both maji Safi na maji taka kwenye gorofa tatu tatu(zipo gorofa nyingi) na kusambaza...
1 Reactions
6 Replies
835 Views
Habari wakuu, Naomba kusaidiwa mawazo kwa wale WAELEVU wa mambo ya ujenzi, hv 7M naweza kujenga ka'nyumba ka aina gan ka kuanzia maisha! NB: Kiwanja ninacho!! Thanks
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu, week kadhaa nyuma niliomba ushauri juu ya ramani yangu ya kwanza. Refer uzi huu hapa:[emoji116] https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/2067353/ Wengi wenu mlinishauri, na...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
Wakuu wapi nitapata ramani ya nyumba za kizungu. Nataka kujenga nyumba very simple lakini unique yenye muonekano wa kizungu. Kama una picha yoyote nisaidie au kama kuna sehemu naweza kuziona...
5 Reactions
61 Replies
10K Views
Habari wapendwa, niliwahi uliza kati ya Goba & Kigamboni wapi pako poa. Kutokana na uwepo wa jamaa zangu wengi maeneo ya kigamboni, nimeamua kwenda huko. Sasa kisota na kibada ndo napawaza maana...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani nimeahamia Dar ila niliyemtegemea haeleweki Naombeni mnipe ujuzi wa hii kazi na mimi niifanye 0687 164 313 nipo kimara
0 Reactions
1 Replies
494 Views
Nina swali moja kama sio mawili. Eneo lililotengwa kwa ajili ya maziko ya watu (makaburi) ni sawa Serikali ama mtu binafsi kupatumia kwa shughuli za ujenzi kwa maana ya kusambaza makaburi bila...
4 Reactions
9 Replies
750 Views
Wataalamu wa ununuzi wa Majengo, viwanja na mali zisizohamishika. Naomba kujuzwa hatua za kufuata ili kununua nyumba, au kiwanja lakini nisipate matatizo au migogoro, stage 1, mpaka stage ya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
This is for the people how need beauty beauty house, you make a call 0763269695[emoji857][emoji857]
0 Reactions
0 Replies
283 Views
Imekuwa ni jambo la kushangaza kwa watanzania wengi kuamua kujenga na kuendelea kuishi maisha yale yale. Unakutana fundi fenicha aliyefanya kazi miaka 15 anakuambia anamalizia ujenzi ukiangalia...
46 Reactions
169 Replies
10K Views
Natafuta msaada wa jinsi ya kusajili kampuni class6 CRB. Mwenye uzoefu wa jinsi ya kusajili karibu inbox.
3 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Goodone 2. Goodwill 3. Twyfod
2 Reactions
48 Replies
22K Views
MDAU WA MAENDELEO ACHANGIA UJENZI WA MAABARA ZA SAYANSI KWENYE SEKONDARI ZA MUSOMA VIJIJINI Leo, Jumatano, 8.3.2023, mmoja wa Wadau wa Maendeleo hapa nchini, NGUVU MOJA SECURITY SERVICES...
0 Reactions
0 Replies
397 Views
Hivi maeneo ya Mbagala, muda wa usiku kuna mataa ya kutosha mtaani au ni giza giza. Usalama kwa ujumla ukoje hususan maeneo ya ndanindani?
1 Reactions
5 Replies
783 Views
Wakuu mambo vipi. Nina ramani ambayo nimeandaa kwa ajili ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu.(1 master bedroom + 2 normal rooms). Nyumba itapauliwa kwa mtindo wa Hidden Roof a.k.a contemporary...
17 Reactions
101 Replies
10K Views
SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO LA UMEME NA UTATUZI WAKE: Napenda kuwakaribisha katika majadiliano ya tatizo hili ambalo limekuwa likisababisha majanga makubwa sana hapa kwetu Tanzania...
16 Reactions
52 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…