KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
NI BAADA YA RASIMU KUPITA: *Ataka nakala nyingi zisambazwe kwa wananchi *Akiri mengi ni yale yaliyopendekezwa na Tume *Ahoji masharti yanayombana mgombea binafsi *Ukawa wajiandaa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hatimaye mjini Dodoma siri za kupitishwa kwa rasimu ya Sitta kimizengwe zimeanza kuvuja, nimethibitisha. Miongoni mwa mambo yaliyoshtua ni kuwa baadhi ya wajumbe waliopiga kura ya siri ya...
10 Reactions
77 Replies
11K Views
(5) Pamoja na wajibu na madaraka yake yaliyotajwa kwenye masharti yaliyotangulia ya Ibara hii, Mkuu wa Mkoa yeyote wa Zanzibar atatekeleza kazi na shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Wale mliomsoma fasta na kuelewa kwenye katiba inayopendekezwa je kuna kifungu kinaelezea familia na kama ndoa ni kati ya watu gani? Nakua na wasiwasi kama tafsiri ya ndoa imo kwenye katiba. Kama...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba tuwe wawazi kujua nini hasa UKAWA na watu wengine wanakipinga. Ukisoma ndani ya hiyo KATIBA PENDEKEZWA utakutana na hicho kipengele cha "Uhuru wa Imani ya dini" Je nacho ni kibaya? SURA...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
MAHARAMIA WAMEPITISHA KATIBA HARAMU; WAMEANZISHA MGOGORO CHANYA NA MWANYA WA MABADILIKO Dira ni kuwa na katiba bora itakayojenga Tanzania yenye demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli na maendeleo...
39 Reactions
195 Replies
27K Views
Jamani mwenye kufahamu alipo mbunge wa bukoba mjini na waziri wa maliasili na utalii aliyejiuzuru Mh. Balozi Hamis Kagasheki atujuze cz mara zote mbili alipoitwa kwenye upigaji kura BMK amekua...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wazanzibar wanakatiba yao ambayo imewajengea umoja na mshikamano mkubwa ambao haujapata kuwapo Zanzibar tangu enzi za kudai uhuru wa Zanzibar. Katiba hii ya mwaka 2010 imewafanya wazanzibar wawe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Zanzibar Attorney General (AG),Othman Masoud Othman The just ended Constituent Assembly (C.A) is likely to heighten political temperature in Zanzibar, causing more cracks in the Isle's...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau wa jf nadhani hamjambo. Nilikuwa naipitia katiba iliyopendezwa na bunge maalum la katiba, kuna kipengele cha wabunge kinachosema hamsini kwa hamsini. Uwepo wa kipengele hicho unaua...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
UKAWA waliamini kuwa 2/3 haiwezi kupatikana. Waliposusa walitegemea kuwa halitawezekana.Kutabiri vitu vya mbele ni kazi ya manabii,wanajimu na washirikina. UKAWA hawajawahi kuwa manabii, wapiga...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, wakati wa vikao vya Bunge, nipatapo nafasi, hutia timu viwanja vya Bunge Dodoma kuamkuana na huyu na yule!, this time, nimetia tena timu, na kudodosa haya na yale...
18 Reactions
79 Replies
8K Views
Baada ya kukamilika kwa mchakato wa kuandika rasimu ya tatu ya katiba yamesemwa mengi na watu wengi, wengi wakiisifia na wengi wakiiponda lakini kati ya hawa wote hakuna anayeisifia au kuiponda...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukweli binafsi siwaelewi kabisa viongozi wa UKAWA. Waliwashawishi wafuasi wao kususia BMK kwasababu walizozitaja ambazo sitaki kujiingiza kwenye mjadala Kama zilikuwa valid or not. Kwa mantiki ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni Ukweli ambao hauna mbishi kuwa matazamio juu ya wasiwasi wa kupita kwa rasmu pendekezwa yalikuwa yanaleta mashaka huko Zanzibar. Naomba Wazanzibar watwambie ni kitu gani wamekiona katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mada ni mapendekezo katika rasimu inayopendekezwa na Bunge Maalum la Katiba je imekidhi matarajio ya wengi? Karibuni.
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Mzee Kingunge ambaye wakati anaitwa na alipofika mimbarani alikiri kutojiandaa kuongea kwani hakudhani angepewa nafasi alisikika wakati wa kuota neno akisema kwamba alikua anaisubiri kwa hamu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jana bila ya kutegemewa Mwanasheria mkuu wa Zanzibar alijitokeza BMK baada ya kutokuwepo Bungeni kwa muda mrefu na kususia kuwepo kwenye kamati ya uandishi chini ya Bwana Chenge. Sababu kubwa...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
In simple terms hakukubaliana na rasimu ya katiba ya JMT inayokinzana na Katiba ya ZNZ! Achilia mbali kanga moko, viduku, vigodoro, vijembe, kejeli nk.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu mimi sio mtaalamu wa sheria ila naona makosa haya yanafaa kabisa kubatilisha Rasimu ya bunge maalum kwa hoja zifuatazo 1.Mwenyekiti alivunja sheria ya mabadiliko ya katiba na kanuni za...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom