KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Jee ni Sababu ipi inayo kwamisha mchakato wa Mabadiriko ya Katiba Nchini Tanzania,.?[emoji848][emoji848]
1 Reactions
4 Replies
563 Views
NIMEKUA JAPO NI KIDOGO. Nimefikisha umri wa miaka 27, ninaishangaa akili yangu inayoanza kunirudisha miaka kumi na mitatu 13 nilipokuwa shule ya msingi huku ikiniambia itazame jamii yako...
1 Reactions
4 Replies
685 Views
Ni wakati sahihi sasa Tuwe na KATIBA MPYA KATIBA ambayo Watu wote Mil.60 tutatoa Maoni na Mapendekezo yetu na hiyo itaitwa KATIBA ya WANANCHI kwani ndio wenye NCHI. Watanzania tumechoka kuwa na...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
UTANGULIZI Maisha ya mwanadamu yamejikita katika ngazi mbalimbali za kijamii kulingana na muundo au mfumo ambao jamii husika hujiwekea. Ukubwa wa jamii zetu huanzia chini kabisa na hatimae...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Yapata miaka 7 tangu 2015 Mchakato wa mabadiliko ya katiba mpya ulipokwama baada ya wawakilishi wa makundi mbalimbali katika bunge la katiba kushindwa kuafikiana kupitisha katiba pendekezwa...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Sababu mama ni kuwa Katiba mpya ndio Tiba ya matatizo yote ya Tz,kama ilivyoelezwa kwenye rasimu ya Jaji Warioba na mama alikua Mwenyekiti wa Bunge la katiba anajua zaidi yangu faida za katiba...
6 Reactions
17 Replies
2K Views
Maoni ya kikosi kazi, kilichokuwa kikiongozwa na Profesa Mkandala, kimewasilisha rasmi maoni yake kwa Rais Samia, iliyoyakusanya kutoka kwenye makundi mbalimbali ya wananchi. Hata hivyo...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Wapendwa, bila shaka kila Mtanzania ana shauku ya kuona Katiba mpya inapatikana sasa. Nitoe rai kwa wenye mamlaka. Ni muhimu sana kutilia maanani suala la upatikanaji wa Katiba mpya sasa.
3 Reactions
2 Replies
507 Views
Mfungwa wa Kisiasa aliyeishinda Serikali ya Tanzania Mahakamani , baada ya kupangua mashitaka ya uongo yaliyotungwa na RPC wa Mbeya Ulrich Matei na washirika wake ya kusafirisha na kusambaza...
22 Reactions
104 Replies
8K Views
Katiba mpya yaja na hili sio jambo geni wala la kubahatisha tena. Tumetoka mbali na tumepitia mengi mabaya na mazuri ya kushangaza na ya kuleta matumaini pia. MOJA LILILO WAZI ni kwamba KATIBA...
9 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari! Natafakari hapa kazi ya siku moja inamezwa vipi na semina ya wiki tatu sipati majibu. Kazi ya ukarani ambayo sifa ni kidato cha 4 na kujua kutumia smartphone tu. Programs zote zipo...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Ifikie hatua tuseme ukweli. Huwezi mchakato wa mzee Warioba ukaukejeli mchana kweupe ukidhani ni sawa kumbe unatafuta laana tu ya bure. Tanzania inanafasi kubwa ya kupata katiba mpya na bora...
0 Reactions
4 Replies
955 Views
Vyama vya Siasa ni sehemu ya serikali japo watu wengi wanaukwepa ukweli huu Itoshe tu kusema Wananchi ndio wenye wajibu wa kujitengenezea Katiba yao na siyo wanasiasa Mungu wa mbinguni awabariki
0 Reactions
1 Replies
646 Views
Katika chapisho la kwanza nilieleza namna mapendekezo ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA yasivyoweza kutupatia Katiba mpya, bora na shirikishi kama alivyosema. Kwa ajili ya kumbukumbu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tanzania inayo Katiba halali hivyo haijitajiki Katiba mpya kana kwamba tunaasisi taifa lingine. Wanachopigania Chadema ni Toleo Jipya la Katiba ya JMT yenye marekebisho makubwa. Ukielewa maana...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Japo mchakato wa katiba haujaanza lakini sio vibaya kuanza kujadili kwenye mitandao ya kijamii. Kwa upande wangu ningeambiwa nitaje vitu ambavyo vingewekwa kwenye katiba mpya mimi ningesema hivi:-...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watanzania! Poleni KWA tozo,ugumu wa maisha na kizungumkuti cha kodi ya kichwa ijayo! Mungu atupe uvumilivu katika mateso tunayopewa na Watoto tuliowazaa sisi wenyewe! Wakati kelele za mchakato...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Hii ndio taarifa inayotembea mitandaoni kwa sasa, hasa baada ya kikosi kazi cha serikali kinachoongozwa na Profesa Mukandala kusoma mapendekezo ambayo hayafahamiki yalikookotwa. Mukandala huku...
14 Reactions
62 Replies
39K Views
Miezi nane ijayo Raisi Samia atakuwa madarakani kwa mwaka wa pili tangu amrithi hayati John Magufuli na hadi sasa atakuwa amejifunza mengi na sasa unaonyesha kusimama ingawa bado, kuna figisu za...
0 Reactions
1 Replies
859 Views
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, imesema hakuna haja ya kuwa na Katiba Mpya kwa sasa kwa kuwa Katiba ya Jamhuri ya...
1 Reactions
153 Replies
46K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…