KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Hivi sasa vyombo mbalimbali vya kimataifa vya habari vya nje kama vile vya CNN, Aljazeera, BBC na vingine vingi, "headlines" ya habari zao ni kukamatwa na Jeshi la Polisi nchini kwa Mbowe na...
19 Reactions
73 Replies
7K Views
Mitandaoni hususan Twitter, kuna kelele nyingi zinazoitwa 'madai ya Katiba Mpya' Ukitazama vizuri utagundua kwamba huo ni mradi wa watu. Yes, kuna mahali wanapata fedha kupiga hizi kelele...
-1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna swali linaulizwa na wengi, hii Serikali ni ya Awamu ya ngapi? Kwa Utamaduni hatarishi ya CCM watakwambia ni Awamu ya 5 iliyoanza na Dk. Magufuli (the late). Ukweli ninaoujua ni kwamba hii ni...
1 Reactions
5 Replies
961 Views
Inawezekana hizi awamu CCM waliziweka kimkakati sana. Pengine labda bila hizi awamu tungekua na katiba mpya. Pengine ndo maana wenye upeo sisiemu walileta awamu (taste tofauti) zitakazofanya...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
MAISHA: Neno hili MAISHA ni mfumo wa namna binadamu duniani, atende kama alivyo agana na Muumba wake Mungu. Lakini kuishi kivingine, hiyo namna nyingine sio maisha. Huwenda tukaiita Unyama...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hakika haiingii akili kumsikia katibu mkuu wa CCM eti anasema wananchi hawataki katiba mpya. Bw. Chongolo napenda nikukumbushe mchakato wa katiba mpya ulifanywa na tume ya Warioba na kina...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanapenda mabadiliko. Hapa ni maalum kwa ajili ya kupata matokeo ya Bunge la Katiba. Nimebaini kuna wadau wetu wengi sana wanakosa pahala maalum kwa ajili ya kufuatilia kuhusu 2/3 na matokeo kwa...
0 Reactions
55 Replies
12K Views
Ndugu zetu wana Chadema mlikuja spidi sana miezi kadhaa na kuanza kudai katiba mpya ,mitandaoni kote hashtagi #katibampya ,mpka lile jaribio kule Mwanza lilipofeli, sasa mbona kama mliwasha moto...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna habari imenifikia mida hii kuwa kuna mtu anaesadikiwa akiwanga kwenye eneo kunapofanyika mkutano wa bunge lakatiba ,mwenyewe anadai ameanguka akitokea Zaire Congo akielekea Msumbiji ,amedai...
0 Reactions
68 Replies
10K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili adhimu sana, Sasa nadhani imefika wakati wananchi tuamke na kukataa huu uzombi unaotutesa; Taifa letu limekuwa halieleweki, mpaka sasa hakuna anaejua kesho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni wazi Rais Samia atasikiliza kilio cha Watanzania juu ya kukamilisha mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya mchakato aliousimamia yeye binafsi akiwa mwenyekiti msaidizi wa bunge la katiba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
21 Reactions
57 Replies
4K Views
Tudai katiba mpya kwa nguvu zote, naunga mkono juhudi zote zinazoendelea. LAKINI NAULIZA SWALI: Kama tuna Majaji kama hawa tunaowaona katika kesi ya Mbowe, je Katiba mpya itawabadirisha? Maana...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
MALUMBANO YA HOJA KESHO ALHAMISI BINGWA WA KUJENGA HOJA NCHINI PIA NI MJUMBE WA BARAZA KUU LA CUF TAIFA, MHE. ABDUL KAMBAYA ATAKUWA KATIKA KIPINDI CHA MALUMBANO YA HOJA KATIKA TELEVISION YA...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nakumbuka niliwahi kusikia kuna Bwana MMoja aliwahi kuisigina Kitabu cha Katiba huko nyuma. Pia vyombo taasisi na watu mbali mbali walikuja juu na kutaka "anyongwe hadharani". Sijui Kashfa hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nawasabahi.Katiba iliyopo ni katiba iliyoandaliwa na makada wa CCM kutoka tanzania bara Tanganyika na Zanzibar kila upande ukiwa na wajumbe wasiozidi 10. Wajumbe hao walijifungia na...
1 Reactions
2 Replies
966 Views
Kwa muda mrefu,pamekuwa na jitihada na mashinikizo kutoka kwa vyama vya siasa,asasi za kiraia na wananchi wenye mapenzi mema na taifa lao la Tanzania.Harakati zote hii zimechochewa na jinsi katiba...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimekuwa anafuatilia baadhi ya hotuba za Hayati Baba wa Taifa hili Mwl. Julius Nyerere Moja ya hotuba yake ni ile aliyoizungumzia Katiba liliyopo kuwa ni Katiba ambayo ikimpata Rais atakayeitumia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Pongezi sana kwa Mbowe lakini watanzania hatujafanya yanayotupasa Nchi ili ikamikishe maendeleo lazima ipitie kwenye hatua chungu na za wakati mgumu kwa baadhi ya wapigania haki kupata mateso...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Katiba inabeba msingi mzima wa mahusiano baina ya watu na watu na pia watu na mamlaka katika nchi. Tuna malalamiko ya msingi kuhusiana na mahusiano haya hapa nchini. Hatuko sawa mbele za haki...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom