KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katiba mpya yafaa kuwa ndio dereva wa maisha yetu watanzania kufikia malengo yetu ya kimsisha
0 Reactions
0 Replies
614 Views
Katika kipindi cha "Je tutafika" cha channel ten, Kingunge ameonyesha masikitiko yake kwa kitendo cha JK kuridhia kuanzishwa kwa mchakato wa kuandikwa kwa katiba mpya kwa sababu CCM haikuwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
October 24th 2013 Rais Kikwete akikaribishwa kutembelea Jengo la Bunge mjini Dodoma na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai leo Oktoba 24, 2013. Rais Kikwete akiangalia sehemu ya viti ndani ya...
1 Reactions
35 Replies
9K Views
KWA UFUPI Hamad alisema mfumo wa urais wa zamu utaipa nafasi Zanzibar badala ya mfumo wa sasa unaotumika ambao unaonyesha Zanzibar itawachukua muda mrefu kutoa nafasi ya urais wa Muungano baada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mdahalo karibu utaanza nitakuwa nawa update kwa walio mbali na tv au wasio na ving'amuzi au dish
0 Reactions
161 Replies
17K Views
Hivi selikari yetu inaogopa debates au tunadanganywa na media? Tulitangaziwa kuwa katika mdaharo wa leo hapa Serena Hotel watoa mada watakuwa ni pamoja na naibu waziri wa sheria na katiba mh...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jamii naomba mawazo yenu hivi kwanini swala la katiba mpya vyama vya siasa wamechukua zaidi jukumu la tume? Watu wanazunguka nchi nzima sasa sijui kuna maslahi gani binafsi mpaka wenzetu...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Wageni waalikwa ni pamoja na: 1. Tundu Lissu Mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni. 2. Mwanazuoni kutoka Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) Mwendeshaji wa kipindi ni Rosemary Mwakitwange...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Jumapili hii live kupitia ITV, kuanzia saa 9 - 12 jioni EABMTI itakuletea Mdahalo wa Katiba Mpya 'tunakoelekea'. wazunmgumzaji kwenye mdahalo huu watakuwa: Mh. Angela Kairuki Naibu Waziri wa...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Kwako Rais wetu mpendwa Jakaya M. K. Kikwete, Kwanza nakupongeza kwa nia yako ya dhati ya kutupatia Katiba Mpya ya miaka 50 ijayo. Naamini ni nia yako ya dhati baada ya kugundua umuhimu wa suala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwandishi Wetu 23 Oct 2013 RASIMU ya awali ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imekwishajadiliwa katika Mabaraza ya Katiba na sasa inafanyiwa uchambuzi na Tume ya Mabadiliko...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Rais Kikwete kuna mambo mengi aliyotaka kuyafanya katika uongozi wake kwa dhamira njema lakini kwa sababu ambazo mimi siwezi kuzielewa vizuri hakufanikiwa kabisa. Miongoni mwa mambo hayo ni; 1)...
1 Reactions
46 Replies
5K Views
tumuombe mungu awaguse viongozi wetu watutungie katiba ya manufaa kwa nchi yetu
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Kwa maelewano haya, katiba mpya itapatikana tu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwanini tuwe na mashaka na wasiwasi, Ambao sisi wenye tunaweza kujiepusha nao? Ni wakati muafaka sasa vyama vya siasa kujiandaa na serikali ya umoja wa kitaifa! Ni muhimu sana, coz in both...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Serikali inatarajia kuandaa hati ya dharura ili kuwezesha kufanyika kwa maboresho ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Mabadiliko ya Katiba ambayo yatajadiliwa upya katika Mkutano wa Bunge...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Yaani mimi binafsi siungi mkono kabisa rasimu hii. Kwa kuwa ukiisoma rasimu nzima hakuna hata sehemu moja imetambua uwepo wa Mhasibu Mkuu wa serikali. Yaani taaluma hii ya uhasibu haikuguswa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamvi Sura ya kwanza ya Rasimu, Sehemu ya Kwanza Ibara 4 (1) inasomeka, "Lugha ya Taifa ya Jamhuri ya Muungano ni Kiswahili na itatumika katika mawasiliano rasmi ya kitaifa na kiserikali...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeomba kuongezewa muda wa mwezi mmoja kutokana na ugumu wa kazi ya uchambuzi wa maoni yaliyotolewa na wananchi na asasi mbalimbali. Tume hiyo inayoongozwa na...
0 Reactions
134 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…