KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Wakuu kamanda Lissu anafanya press, sasa hivi Makao Makuu ya Chadema na haya ndiyo amezungumza; - Wadau wa Zanzibar hawajashirikishwa hata kidogo na hawakuwepo kwenye ratiba ya Kamati. - Kamati...
24 Reactions
463 Replies
39K Views
Baada ya mapambano ya muda mrefu kuhusu kuandikwa kwa katiba mpya, sasa Tanzania imeanza kuandika historia mpya kwa kuandika katiba itakayoshirikisha wananchi wote. Lakini pamoja na furaha...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Kwa taarifa zaidi soma gazeti Raia Mwema la leo. Je kati ya hawa wawili waliotajwa na gazeti hili, nani anafaa zaidi na ni kwanini?
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari, JF Yakiwa yamesalia masaa machache watanzania wakiongozwa na muungano wa vyama vitatu vya upinzani nchini (CHADEMA, NCCR-MAGEUZI, NA CUF) Kuandamana nchi nzima kupinga Rais kutia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Upinzani umeahirisha maandamano ya kupinga Muswanda wa Marekebisho ya Katiba yaliyokuwa yafanyike tarehe 10, mwezi huu. Sasa kukutana na rais kwanza..!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kikwete hajaonyesha ukomavu wa kisiasa na kushindwa kujibu hoja badala yake kumshambulia Tundu Lissu kwa lugha za vijiwe kitu kisichokubalika kwa nafasi na heshima yake kama Rais. Lugha hii...
9 Reactions
74 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa hotuba ya raisi amesema kuwa kaambiwa kuwa wabunge wa upinzani walitoka nje na kwawaacha wenzao wa ccm wakijadili sheria hiyo,hivyo walikosa fursa ya kujadili na wenzao. Kama raisi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ratiba ya kamati ya bunge ya katiba na sheria haijabainisha ni lini muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba utajadiliwa na kamati hivyo mjadala wa muswada wa sheria hiyo kufa na kutorudishwa...
5 Reactions
61 Replies
7K Views
Mbivu na mbichi kuhusu muswada wa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya Katiba zitajulikana leo wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, itakapokutana katika ofisi ndogo za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika hotuba aliyoitoa Rais nilishindwa kujua kwanini kila kitu alikuwa akijiuliza eti kama nikweli? kama taarifa zote akizopewa hakuwa na uhakika nazo!?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
By The Citizen Reporter Posted Sunday, October 6 2013 at 01:00 Dar es Salaam. Opposition parties yesterday welcomed President Jakaya Kikwete’s invitation to hold talks to unlock the...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Inackitisha mwakilishi wa wananchi anasahau majukumu yake yaliyompeleka bungen anayasahau.Katka mikutano nyingi ya bunge tunaona wabunge wetu wanalala,na kuna wabunge tangia wachuguliwe hawajawahi...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Wana jf; Kuanzia hapo awali wakati wa mchakato wa katiba mpya kuna watu au makundi ya watu ambao walionyesha wazi kabisa kuwa hawakubaliani au hawapendezwi na uundwaji wa katiba mpya na katika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hawa maccm wakoje? hivi kilio cha watz kwa miaka mingi tunataka katiba mpya wanajifanya hawakijui,kilio cha watz wengi mchakato hauko sawa wamefumba masikio kwa kisingizio eti wabunge...
0 Reactions
3 Replies
999 Views
Yaani baada ya habari ya ITV kwa mkutano jangwani nikarudi TBC, nimekereka wamekazania habari za watumwa wa CCM vyuoni eti wanampa baraka Mr dhaifu aendelee na kusaini katiba na habari ya kinana...
5 Reactions
70 Replies
5K Views
Ndugu wanabodi, Kama wengine nimesoma hotuba yote ya Rais wetu juzi, na nimeelewa kwamba Muswada utarudi bungeni. Lakini sijaelewa kitakachoendelea. Je, utarudi bungeni kwa sura ipi? 1: Je...
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Jaji (Mstaafu) Joseph Warioba amekemea vyama vya siasa vinavyoelekea kutafuta Katiba mpya kwa njia ya maandamano na kuwagawa watanzania...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanabodi Baada ya kusikiliza kwa makini maoni ya wanasiasa wa vyama vyote na pande zote mbili za Muungano, nashawishika kuamini kuwa kinachogomba si idadi ya serikali katika Muungano huu. Toka...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
- Nimeshitushwa sana na vitisho kutoka kwa Tume ya Katiba kwamba eti watajiuzulu iwapo matakwa yao ya kututengenezea Katiba mpya hayatakubaliwa, well;- nilisema toka siku ya kwanza Tume hiyo...
2 Reactions
82 Replies
5K Views
waziri mkuu Pinda ameyasema hayo mkoani kigoma katika hadhara iyohudhuriwa na wananchi wachache, wengi wao wakiwa watoto. Nakuongeza kwamba tukatae kurudishwa nyuma na watu wanaotaka vurugu na...
1 Reactions
72 Replies
6K Views
Back
Top Bottom