KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Katiba ya Tanzania - Ibara ya 13. Ibara ndogo ya (1), Watu wote ni sawa mbele ya sheria, na wanayo haki, bila ya ubaguzi wowote, kulindwa na kupata haki sawa kwa mujibu wa sheria ya Nchi. (a)...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
98.-(1) Bunge laweza kutunga Sheria kwa ajili ya kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii kwa kufuata Kanuni zifuatazo:- (a) Muswada wa Sheria kwa ajili ya kubadilisha masharti yoyote ya...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wiki iliyopita niliandika makala iliyokuwa inachambua ni nini iwe njia ya kupita kufikia kukamilisha mchakato wa kukamilisha ‘sheria ya marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
"Ningekuwa mshauri wa Raisi Jakaya Kikwete kuhusu muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba,ningemshauri asisaini sheria hiyo iliyopitishwa na Bunge mwezi uliopita" "ushauri wangu unazingatia...
2 Reactions
60 Replies
7K Views
Tujiulize, Katiba tiba ya maadili yetu? Na January Makamba Posted Jumatatu,Oktoba14 2013 saa 12:54 PM. Tujiulize, Katiba tiba ya maadili yetu? - Habari - mwananchi.co.tz Mwaka 1986...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Walishatengeneza Katiba inayokiuka Katiba ya JMT, Nchi yao ndogo(ni wachache sana) hatuwezi kugawana madaraka sawa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Written by Elbattawi // 12/10/2013 // Habari // 3 Comments...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Matatizo yanayotukabili watanzania kwa kiasi kikubwa ni zao la katiba mbovu tuliyonayo. Katiba hii inawapa mamlaka makubwa na kinga kubwa sana watawala wetu kiasi wanakuwa kama miungu mbele ya...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Jumanne ijayo, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete atakutana na viongozi wa vyama vikuu vya upinzani nchini kujadili kuhusiana na muswada wa katiba mpya. Viongozi hao wa vyama...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Ndugu wana JF, Kauli ya Waziri Wasira kama ilivyoandikwa na gazeti la RAI inaniongezea maswali lukuki kuhusu mchakato mzima wa katiba na umakini wa viongozi wetu. Kwa alichokisema ni kwamba hadi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Closed
Jaji Joseph Sinde Warioba ndio wakulaumiwa katika matatizo yanayojitokeza katika Rasimu ya Katiba. Uhalisia wa tatizo nikua, Jaji joseph Sinde Warioba, ameamua kufuata nyayo za Mwalimu Nyerere, za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama mtoto mchanga ajifunzavyo tabia za watu hususani wazazi wake kwa kuwaangalia sura zao, kuwasikiliza sauti zao huku wakilinganisha na matendo sambamba na sauti zao, ndivyo nilivyo ng'amua nia...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna tetesi kuwa kutokana na kushinikizwa na chama tawala kubadilisha mapendekezo ya rasimu ya katiba, Jaji Warioba yu mbioni kuachia ngazi.
0 Reactions
117 Replies
12K Views
There are two things involved to this issue of new constitution its either they give us constitution we nid or we giv them constitution we need by our own means over no more no less....!!!
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Nimekutana na habari gazeti habari leo ya wanasheria waompinga Tindu Lissu juu ya mswada wa katiba mpya nikaona niilete hapa ili wenye uelewa zaidi wa sheria wanisaidie. “***Wanasheria hao...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Gazeti la Rai wiki hii limekuja na majina mengi lakini kati ya hayo mimi naona mwenye sifa ya kuongozi Bunge hilo la katiba kama tutaweka itikadi za kisiasa pembeni Jaji mkuu mstaafu Barnabas...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Abdallah Bulembo amemshambulia kwa maneno makali Mkiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba. Akihutubia mkutano wa CCM Tanga Bulembo amesema Warioba hana...
2 Reactions
71 Replies
8K Views
Sarakasi walizofanya kwenye mabaraza na lawama na matusi yanayoelelezwa kwa Warioba kana kwamba yeye ndiye anayeamua nini kiwepo na nini kisiwepo katika katiba mpya ni mbinu za CCM kumtisha...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba amesema kuwa maridhiano ya kitaifa ndio yatakayoipa hii nchi katiba bora. Amesema lazima tofauto zote zipatikane kwenye meza ya mazungumzo. Kasema katiba...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Ni kwa mujibu wa Taarifa toka Ikulu: TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Leo, Jumatatu, Oktoba 7, 2013, zimetungwa habari, zikaingizwa kwenye Mitandao ya Kijamii na kusambazwa sana zikidai kuwa Rais...
7 Reactions
177 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…