KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

wadau amani iwe juu yenu. nimekuwa nikijiuliza kuwa since ikulu ya magogoni ndio ilikuwa makao ya serikali yetu tukufu ya TANGANYIKA (najivunia TANGANYIKA kurudi tena) sasa swali kuu ni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wazanzibari wengi wamesikika wakiiponda Rasimu ya Katiba Mpya iliyozinduliwa jana na Makamu wa Rais,Dr.Mohamed Gharib Bilal. Sehemu kuuw aliyoilenga ni ya uwepo wa Serikali tatu: Serikali ya...
4 Reactions
48 Replies
4K Views
Dar es Salaam/Dodoma: Mapendekezo yaliyotolewa katika Rasimu ya Katiba Mpya na Tume ya Marekebisho ya Katiba yamewavuruga wanasiasa ambao tayari walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kuwania urais...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Barazani kwa Ahmed Rajabu Ahmed Rajab Toleo la 297 5 Jun 2013 JAJI mstaafu Joseph Warioba na Tume yake ya Mabadiliko ya Katiba wametamka na wananchi wamewasikia...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
nimeisoma na kuielewa vizuri rasimu mpya ya katiba ni nzuri lakini katika hili inabidi tulitazame tena lakini kama haiwezekani iachwe kwa sababu mtoto akilia wembe...... 1. Suala la serikali tatu...
0 Reactions
4 Replies
942 Views
Wandugu mimi ni mjumbe wa baraza la katiba la wilaya ila hadi sasa hamna clue yoyote kwa tarehe halisi ya kuanza mabaraza hayo japo tuliambiwa yanaanza mwezi huu wa sita na wiki imeshakatika. Kuna...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Wakuu JF great Thinkers Asalam Aleikuum, Nipende ku express Feeling zangu kuwa kwa Hali ninayoiona kuna uwezekano Rasimu ya Katiba kipengele cha Serikali 3 Kisipite. Kikwazo kikuu cha Kupita...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwa namna muundo wa katiba mpya ulivyo itakua ngumu kuendelea na madaraka kwani kila kitu kitabadilika na tume ya uchaguzi itabadilika na ivo wazee wa kuiba kura kuwa katika wakati mgumu
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Roho yangu ni ngumu kuliko ninavyoweza kuielezea. haswa kwa masuala yanayohusu nchi yangu Tanzania. couse nilijua siku njingi kuwa tanzania ndiye mama yangu mpendwa, na sikupenda abadan kuikosea...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
IBARA 180 (3) (e) (3) Ili kutekeleza masharti ya Ibara ndogo ya (1) na (2), mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria utakaowezesha: (e) kuweka utaratibu wa kuandikisha raia wa Jamhuri ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wenzangu wanabodi, hususan wale waliberali, turudini kwenye ile hoja nyingine, maana mntaka kutumia 'kombora' la uliberali kama exit ya zile tuhuma nyeti zinazowakabili CUF na hasa mwenyekiti wenu...
7 Reactions
87 Replies
7K Views
Nimeipenda sana. Kuna baadhi ya vipengele vimenikosha zaidi. Hebu cheki: 15.-(1) Zawadi au kitu chochote kitakachotolewa kwa mtumishi wa umma katika shughuli za kiserikali ni zawadi kwa Jamhuri...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
SOURCE; MWANANCHI Ibara ya 122 ya rasimu hiyo inazungumzia vitu vinavyoweza kuwafanya wananchi kmng’oa mbunge. Inasema wananchi watakuwa na haki ya kumwondoa mbunge wao madarakani kama atafanya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Nimeisoma ibara ya 113(kama ilivyonukuliwa hapa chini) na nikarudia tena na tena lakini sijaielewa. Aliyeielewa tafadhali anitoe kizani. Utaratibu wa kutunga sheria kuhusu mambo ya...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
Leo,umeanza upotoshaji kuwa eti Marais wa zamani wa Tanzania,Ali Hassan Mwinyi na Benjamini Mkapa,kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wataruhusiwa kugombea urais...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
NAFASI ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na naibu wake imefutwa katika Katipa Mpya ijayo badala yake Spika wa Bunge na Naibu wake hataruhusiwa kuwa Mbunge wala mwanachama wa Chama chochote...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Juzi Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji(rtd)Joseph Sinde Warioba alitangaza uzinduzi wa Rasimu ya Katiba mpya kwa mbwembwe nyingi na hakika imepokelewa kwa mikono 2 na Watanzania...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
1. Mamalaka ya rais kuteuwa viongozi wa juu yaishie ktk ibara zifuatazo tu: Ibara ya 69(2)(e): kuteua wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama Ibara ya 69(3)(c)-(e):kuteua mawaziri na manaibu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na Waandishi Wetu, Mwananchi Posted Jumatano,Juni5 2013 saa 19:53 PM KWA UFUPI "Ukiangalia kwa haraka, hivi Serikali ya Tanganyika itakuwaje? Bunge la Tanganyika litakuwa la namna gani na...
0 Reactions
5 Replies
932 Views
Imefahamika kutoka kwa baadhi ya wajumbe wa Tume ya katiba kuwa kiongozi wa Serikali ya Tanganyika atajulikana kama Waziri Mkuu, vile vile kiongozi wa Serikali ya Zanzibar atajulikana kama Waziri...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…