KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

Na Mussa Juma Posted Jumanne,Juni4 2013 saa 21:3 PM KWA UFUPI Urais ni nafasi ya juu kabisa katika nchi, lazima Rais ajulikane anatoka chama gani, ana sera gani na kundi gani linamuunga...
1 Reactions
157 Replies
12K Views
Kwa hesabu za haraka haraka, ni asilimia mbili tu (2%) ya watanzania wanaishi Tanzania Visiwani (1.3mil), inayojulikana sana kama 'nchi' ya Zanzibar. 98% ya watanzania (zaidi ya mil. 40)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jf salam ! Tunapoelekea kwenye Uundwaji wa Katiba Mpya ambayo kwasasa inatuelekeza kwenye Muundo wa Serikali tatu yaani :- 1. Serikali ya Tanzania Bara 2. Serikali ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kinana: Hatuungi rasimu ya katiba kwa 100%. Hii ni kauli ya Kinana kama ilivyoandikwa na magazeti mengi ikiwemo lile la Nipashe. In fact, ameitisha kikao cha CC kujadili rasimu hii na kutoa...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa Aliyesoma Na Kuielewa Rasmi Ya Katiba Mpya Bila Shaka Anaweza Ungana Nami Ktk Kutoa Maoni Ya Kulitetea Taifa Letu. Madhalani Naweza Gawa Rasmi Hii Ktk Makundi Mawili (a). Utaifa Na Mfumo Wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ukienda katika rasimu sura ya sita 57.-(1) Jamhuri ya Muungano itakuwa na muundo wa shirikisho lenye serikali tatu ambazo ni: (a) Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; (b) Serikali ya...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Napendekeza aqepo rais mmoja wa Muungano na awe na makamu wawili wa marais mmoja atoke bara na mwingine atoke visuwani. Na rais wa muungano awe anatoka sehemu yoyote ya muungano. Nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Maoni yangu kama ningekuwa karibu na warioba. Naunga mkono serikali tatu ila kuwe na raisi mmoja wa jamhuri wa muungano, kuwe na waziri mkuu wa tz bara na waziri mkuu wa zenji. Raisi wa muungano...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimemwona katika luninga, ITV , na kumsoma vizuri Katibu Mkuu wa CCM, juu ya rasimu mpya ya katiba na msimamo wake kichama. Naona Kinana anajaribu kutembea katika mto wenye mawe ya utelezi...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Mwandishi Wetu Toleo la 297 5 Jun 2013 Ni pamoja na kutoishi jimboni, kutohudhuria vikao vya Bunge KAMA rasimu ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimeipitia rasimu ya Katiba mpya iliyosomwa na Warioba na nimeshangaa kuona kwamba inapendekeza Rushwa na Ufisadi vishughulikiwe na Polisi. Warioba alikuwa mwenyekiti wa tume iliyoitwa kwa jina...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
Wandugu Hebu jioneeni wenyewe hiki kinachoandikwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya. Si maneno yangu. 77.-(1) Katika Uchaguzi wa Rais, kila chama cha siasa kinachopenda kushiriki katika uchaguzi wa...
0 Reactions
0 Replies
665 Views
nipo mkoani tabora.ntapataje rasimu ya katiba?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wapenda wana JF hii rasimu ya katiba kweli ni nzuri ila kuna mambo kama mabaraza ya katiba yasiporekebisha na ikapita hatimaye ikaleta katiba mpya basi utsatokea mgogoro wa kikatiba moja kati ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimefuraishwa na mapendekezo ya majimbo ya uchaguzi kupunguzwa sana. Faida zake ghalama za kuendesha serikali kushuka. 2.wajumbe kupata muda wa kutosha kuchangia 3.kupunguza wabunge...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Napata walakini Kuwa Tume ya Warioba haikwenda Zanzibar!!Na kama ilikwenda haikufanya kazi iliyowapeleka!Na kama iliifanya basi haikuwawakilisha mawazo yao kwenye Rasimu hii!! Kama kweli...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Kutokana na kutokuwa na uzoefu wa mfumo wa nchi kuwa serikali za zenye mamlaka ya ndani na serikali ya Muungayo yenye mamlaka ya juu na kimataifa, pamoja na shaka la namna yakupata nguvu za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tume ya Warioba imebeza na kupuuzia kurudisha mfumo wa Majimbo ikidai itajenga ukanda na ubaguzi. Halafu "magenius wetu" hawa wakaamua kupendekeza kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika na ya...
11 Reactions
84 Replies
6K Views
wadau hili mnalionaje kama likiwepo kwenye katiba mpya? Moja wapo ya matatizo yanayoikumba sekta ya elimu ni kutelekezwa na viongozi,watoto wao wanasoma shule za nje ya nchi au shule binafsi za...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Barazani kwa Ahmed Rajabu Muundo wa Muungano bado hauridhishi .. Ahmed Rajab Toleo la 297 5 Jun 2013 .. JAJI mstaafu Joseph Warioba na Tume yake ya Mabadiliko ya Katiba wametamka na...
0 Reactions
1 Replies
918 Views
Back
Top Bottom