KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe

JF Prefixes:

UTANGULIZI Sisi watanzania tunakiri kwa mamlaka ya mwenyezi muumba wa viumbe wote; tuna waheshimu tunawathamini na kuwakumbuka kwa ujasiri wao, Ndugu zetu ambao wamejitahidi kuleta uhuru haki na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Huu ni mtazamo wangu binafsi Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia wakati wa kuunda katiba mpya TANZANIA SIO TAIFA LA DINI YOYOTE Tanzania haitumii Quruani wala Biblia kufanya maamuzi kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katiba ya ukweli ni ile isiyokuwa na wingi wa wanasiasa bali wingi wa wananchi .
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Nimefuatilia yanayoendelea Lindi na Mtwara na hoja za Serikali pamoja na wadau mbalimbali nikagundua serikali inataka kupingana na ukweli tu bila sababu. Nimeshindwa kuelewa maana ya kauli ya...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanafunzi wakitanzania wamekosa fursa yakueleza fikra zao katika serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kutokana na kutokuwepo kwa mwakilishi wa moja kwa moja bungeni. Nadhani ingekuwa jambo...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Kwa kuwa sasa tunaelekea kutoa suala la mafuta na gesi katika orodha ya mambo ya muungano, NI DHAMBI KUBWA NA UTAPELI PAMOJA NA UNYONYAJI KAMA TUTARUHUSU SUALA LA ARDHI LIENDELEE KUWA LA MUUNGANO...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Bado nawaza! Watanzania watazidi kurubuniwa na sisi wachache mpaka lini? Hayaa.. Huku kwenye chama tawala tunapeana moyo sana!! Tunaamini kabisa watanzania watakubali kikatiba tuwe na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
KWA WANAO FAHAMU MH.JAJI JOEPH WARIOBA WAKISIMULIA HISTORIA YAKE YA KUONGOZA WATAKWAMBIA NI TU MAKINI NA MWENYE UTASHI BINAFSI KATIKA KUFANYA MAAMUZI HASA YENYE MASLAHI KWA UMMA; BINAFSI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunahofia nini kurudia uchaguzi wa mabaraza? TANZANIA ipo kwenye mchakato wa kupata Katiba mpya inayotarajiwa kuwa suluhu ya upungufu wa Katiba ya sasa iliyotuongoza kwa miaka 51 baada ya...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Katika huu mchakato wa katiba mpya kuna mambo hatuyaelewi kabisa imekuwa ni kama desturi wanakuwa kimya kwa mda flani halafu wanakuja kushtukiza jambo na kwa nilivyoona katika mchakato huu...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
wadau napendekeza katiba mpya itupe haki sisi watumishi wa serikali tunaoipenda CDM fursa ya kugombea vyeo vya kisiasa kama udiwani na ubunge bila kulazimika kuacha kazi ....wapenda mabadiliko...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Edson Kamukara CCM haina dhamira na katiba mpya NAJUA ni maeno ya kuudhi, lakini sina budi kuyasema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina dhamira ya dhati kuwapatia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni vema katiba yetu mpya izingatie Mifumo ya Azimio la Arusha hasa Kipengele cha KUTAIFISHA MALI KUTOKA KWA WATU WASIOWAAMINIFU AMBAO WAMEJILIMBIKIZIA MALI NYINGI ISIVYO HALALI(illegaly Obtained...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inaonekana katiba hii mpya inawajali watu wa mjini tu,maana kwetu mchakato huo haupo kabisa.
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Nina maswali yafuatayo kuhusu hadhi au wadhifa wa baba a Taifal 1.Je,wadhifa huu uko katika katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania? 2.Kama haupo sababu ni nini au ni wadhifa usiostahili...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
http://youtu.be/VklyqVLs4c0
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Ndugu wana JF, Nimekuwa nikifuatilia kuhusu mchakato mzima wa upatikanaji wa katiba yetu mpya na sasa tumefikia kwenye hatua ya uundwaji wa mabaraza ya katiba ya kata,.Hapa ndipo napoomba msaada...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
inasikitisha sana ila ndio sms zinazosambazwa kwenye mitandao ya simu kuwa shambulizi la leo lililenga kuwapa onyo kali wakristo hususani wakatoliki kutoshiriki katika kura ya maoni ya katiba mpya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
KASORO KWENYE MCHAKATO WA KATIBA: JAJI WARIOBA ATUELEZE UHALALI WA MABARAZA YA KATIBA YALIYOCHAGULIWA Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji Warioba ametoa tamko lenye utata mkubwa kuhusu uamuzi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Najipanga kwenda kujiunga na jukwaa la katiba katika kata yangu lakini sijajua vizuri kabla ya majadiliano itakuwaje. -Je tutapewa hiyo rasimu kwanza tusome au nini kukusanya mawazo mapya kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom